Msela Baharia
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 766
- 1,104
Mbeya moja hyoTupokigwe syamon.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya moja hyoTupokigwe syamon.
Acha uongo bana hiki kistory kila mtu anakijua."Liku Malangu"
Hilo jina alikuja mwalimu wa darasa mpya miaka hiyo yupo na attendance yake akaropoka, walimu waliopita walikua wanaishia tu "Likuuuu" yeye kaenda mazima "Liku Malangu" class zima "Boooooo"
Kukutia Ole Ipumbu
Yes Kututia vs AG (1993) TLR..Huyu tulimsoma kwenye case law
KagongwaEti, ni jina gani ulisikia kwa mara ya kwanza na hukutegemea kuwa ni la mtu?
Tiririka...
NdunguEti, ni jina gani ulisikia kwa mara ya kwanza na hukutegemea kuwa ni la mtu?
Tiririka...
Hutaki tucheke kdg?Acha uongo bana hiki kistory kila mtu anakijua.
Aiseee😂😂Senge kweli 😊
Jina Makonda, sisi wapogoro tukisikia vikonda mawazo yanaenda kwenye vipande vya nyama hususani wanyama wa porini kama tembo ambao huwa tunavipata kule kwetu Bujumbura.Eti, ni jina gani ulisikia kwa mara ya kwanza na hukutegemea kuwa ni la mtu?
Tiririka...