Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Hezbolla hawaja wahi kushinda vita dhidi ya Israel.


Hakuna taifa la Kiarabu limewahi kushinda vita dhidi ya israel.

Waarabu ni watu wa ajabu sana.. hadi leo wanasema vita ya siku 6 eti walishinda.

Na mtapata tabu sana.

Israel anamkana Mungu wako/Yesu
Hautambui ukristo wako
Anakuona wewe ni taka taka tu usie na thamani yoyote,

Na bado unamkingia kifua,,
 
Sasa ndugu yangu hao ndugu zao waarabu mna connection gani na we mwenye ngozi nyeusi.

Kama kuna ukweli usemwe.

Waarabu hawaja wahi shinda vita hata moja dhidi ya wayahudi.

Maneno mengi, kazi hakuna
Na mtapata tabu sana.

Israel anamkana Mungu wako/Yesu
Hautambui ukristo wako
Anakuona wewe ni taka taka tu usie na thamani yoyote,

Na bado unamkingia kifua,,
 
Na Waziri wao mkuu kujiuzulu daadeki, hawaamini ile vita mpaka leo.
story ya uongo hii, miaka yote israel anatawala anga la Lebanon na hakuna anayemgusa sa anashindwaje na kajikikundi? yaani waarabu washinde si dunia ingesimama kwa shangwe?
 
Sasa ndugu yangu hao ndugu zao waarabu mna connection gani na we mwenye ngozi nyeusi.

Kama kuna ukweli usemwe.

Waarabu hawaja wahi shinda vita hata moja dhidi ya wayahudi.

Maneno mengi, kazi hakuna


Kwenye hiyo vita, nyuma ya israel kulikuwa na wakina nani waliomsaidia? Njoo na fact with evidence
 
Una ahakika gani km hawa jamaa ndio wale waliotajwa kwe ye baibo
 
Kwa hiyo hawa machotara wa kizungu kina Netanyahu ndio waliotajwa kwenye baibo?
Labda,lkn usahihi hasa mungu ndie anayeujua tunaweza walaumu hao kina nyahu lkn inawezekana labda na wao waliongopewa au wanatumika na hao wanaowawezesha.
 
Umenipa mwanga mzuri sana, akhsante sante leta na mwendelezo... Kongole Kongole kwa sauti ya juuuuuuuuuuuuuu
 
hata kwenye global millitary rank ya mwaka 2020 inaonesha iran iko juu ya israel kijeshi.
Iran iko namba 14 na Israel iko namba 18, lakini sasa kinachompa kiburi muyahudi ni marekani kumlinda sana, unaweza kuona sasahivi ashampa na ndege za F-35 fighter jet tiari
 
Usipuuze Iran

Iran siyo ya kupuuzwa mkuu, hakuna nchi ambayo inamnyima muyahudi usingizi kwa eneo la mashariki ya kati kama Iran.

Iran ndiyo inayonyima usingizi Netanyahu kila kukicha.

fuatilia mikutano yote ya UN na ya Baraza la usalama la umoja wa mataifa ambayo israel inakuwa imealikwa then fuatilia israel inachangia nini, asilimia zaidi 80 za hoja za UN ni kuisema Iran kuwa ni tishio kwa usalama wa wayahudi mashariki ya kati

Sasa wewe sema tu ina nini zaidi ya pesa ya mafuta ndo utakupajua hata israel haina kitu zaidi ya jangwa
 
Japo umeandika kiushabiki lakini Nimependa sana hili chapisho lako.

Nimecheka sana hapa
Sijui, imeshwaelezwa hapa yule Samir Kuntar alifungwa kwa sababu gani na Israeli? Kwa sababu alichinja watoto wawili (bila shaka akiamini anatekeleza kazi ya mshujaa kwa ukombozi wa Palestina..). Soma hapa:

"On 22 April 1979, at the age of 16, Kuntar participated in the killing of an Israeli policeman and the attempted kidnapping of an Israeli family in Nahariya that resulted in the deaths of four Israelis and two of his fellow kidnappers.

Kuntar and his team broke into an apartment building and kidnapped a father, 31-year-old Danny Haran, and his 4-year-old daughter, Einat, taking them to a nearby beach. According to eyewitnesses and forensic reports, Kuntar shot Danny to death at close range, and then killed the girl Einat by smashing her skull against the rocks with the butt of his rifle. During the attack, Smadar Haran accidentally suffocated her two-year-old daughter Yael to death while attempting to quiet her whimpering, which would have revealed their hiding place.[11] Newsweek states that the details of Kuntar's attack are "so sickening they give pause even to some of Israel's enemies."

Je ni ajabu Israeli hawakutaka kumwacha (hata hivyo, hawakumnyonga, bali walimpa nafasi ya kusoma gerezani na kufikia digrii ya kwanza)?
Hatimaye walimwacha, ila si mwaka unaotaja 2006, bali 2008. Vita ilikwisha bila kurudishwa kwa Kuntar.

Sioni ni namna gani Hezbollah ilishinda? Tangu vita ile wamekaa kimyakimya. Yaani wanapiga makelele kwa sauti, lakini hawa shambulii tena mpakani. Walirusha roketi elfu nyingi ila waliua watu kama 40 tu.

Israeli nayo haikushinda. Walionyesha kwamba si watu wa kuchezwa na walifaulu Hezbollah ilipaswa kupunguza askari zake mpakani. Lakini hawakuweza kuvunja Hezbollah.

Wahanga walikuwa Lebanoni na raia zake.

NB: Kuntar aliuawa hatimaye 2015 pale Dameski,Syria. Hizbollak walidai kwamba aliuawa na roketi za Israeli, lakini Jeshi Huru la Syria (wapinzani wa Assad) walisema ni hao wenyewe waliomwua.
 
Iran ni taifa la kiislam Hezbollah ni jeshi la kiroho kwa mujibu wa vitabu vya kiroho ktk uislam wayahudi wataangamizwa ktk siku za mwisho mwisho kwetu sisi wayahudi ni watu waliolaaniwa na mungu kwa sababu mungu aliwatea mitume kadhaa hawakuamini na mwisho walimslubu issa bin mariam . Kufikia hapo mungu aliwalaani.ila tukumbuke pamoja na lana hio mungu hatowanyang'anya neema yao aliyowaahidi na kuwapa ya hekima na busara ambayo ndio inayowapa jeuri na kiburi hiki mpk leo ila ahadi ya mungu muumba ipo palepale wataangamia na kudhalilika siku za mwisho mungu alimlaani shetani kwa kutomsujudia adam lkn hakumnyang'Anya uwezo wake mpk leo hii kwa hivo tofauti yetu waislam na waikristo ipo hapo sisi tunaamini waisrae wamelaaniwa lkn wenzetu mnasema ni taifa teule.
 
Kilichopo pale si Israel ile UK,US, Ndani ya middle east lkn muisrael kama muisrael haipo na nguvu kama wengi wanavyodhani 'iran anauwezo wa kuifuta israel ndani muda mfupi sana lkn kitakacho fuata UK na us nao wataiangamiza iran na kuhakikishia israel kama Israel si lolote si chochote
 
Jikwamue kutoka utumwa wa fikra
 
Kuna kinanitatiza sana sisi waislamu tunawachukia waisrael kwa sbb wamelaaniwa na mungu tunaamini hivyo kwa mujibu maandiko ya kitabu chetu lkn upande wa wakristo wanawatukuza waisrael na kuwaweka ktk daraja la taifa teule la mungu swali langu ni je waikristo wanampenda yesu au wa awapenda waliomsulubu ambao ni waisraeli? Na ktk maandiko ya waikristo mtawala wa kirumi aliwapa chaguo waisrael wachague aachiwe baraba ambaye alikua jambazi ili yesu auwawe au amuachie yesu ili baraba auwawe waisrael walichagua aachiwe baraba jambazi na muuaji yesu asulubiwe swali je wakristo mnapenda yesu au waliomuua?
 
Chanzo cha vita ni wafungwa na mwisho ni wafungwa Hezbollah mdai israel ni mdaiwa mwisho wa siku wafungwa walibadilishana hivyo mdai alishinda kama israel alishinda kwa nn aliwaachia wafungwa? Kuhusu hasara kila upande ulidai kumtia hasara mwenzie lkn ukweli utabaki ukweli kwa sbb hezbollah waliwapata wafungwa wao na kama israel alimtia hasara kubwa Hezbollah kwa nn alikubali kuwaachia wafungwa? ni dhahiri walipata hasara ndio maana walikubali madai ya awali ya Hezbollah kabla vita kuanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…