Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Mtoa maada kupigana na nchi ni tofauti na kupigana na kikundi, ushindi wa kupigana na nchi ni kuteka maeneo lakini kupigana na kikundi ni kuhakikisha una neutralise kitu ambacho ni kigumu sababu kikundi cha kigaidi kama hezbollah hawana makazi maalumu hivyp raia wange pata taabu zaidi.
 
"Katika shambulio hilo askari wanne waliuawa waliokuwa katika meli hio Staff Sergeant Tal Amgar, Corporal Shai Atas, Sergeant Yaniv Hershkovitz, na First Sergeant Dov Steinshuss."

kwenye meli wanakaaje watu watatu?-critical thinking
 
"Katika shambulio hilo askari wanne waliuawa waliokuwa katika meli hio Staff Sergeant Tal Amgar, Corporal Shai Atas, Sergeant Yaniv Hershkovitz, na First Sergeant Dov Steinshuss."

kwenye meli wanakaaje watu watatu?-critical thinking
Kataja walopanda ama walofariki MKUU ?
 
Saiv Kuna tention kubwa San kati ya israil na hizbullah Kuna askar wameuawa sirya Nasrallah ameapa kulupiza kisasi, hivi tunavoongea jeshi la israil limehairisha mazoez yakijeshi likihofia shambuliz kutoka hizbullah
 
SYRIA: Air defence active around the Golan Heights. No confirmation of any airstrikes.
 
but
Hakika middle east kuna vikundi vingi ambavyo ni vi tiifu kwa Iran mojawapo ni Hezbollah kwa ujumla askari hao kwa ujumla katika vikosi hivyo ni zaidi ya 500,000.Hakika vita ikitokea na Iran ikavipa vifaa na mafunzo waliyowapatia Hezbollah, basi Israel itamalizwa na proxies kabla ya Iran yenyewe, kwani active personel Israel ni kama 170,000.
Hakika Israel itakuwa Ghost City.
Thubutuuuuuuuuuuuu! Irana na hivi vikundi kamwe kwa Israel hawawezi kufanya lolote zaidi ya kuangamizwa.
 
Hiyo Google ni ya waarabu au ya mashariki?

Kama haina jeshi zuri mbona waarabu (waislamu) wameshindwa kuwaondoa waebrania kabisa na wasiwahi kurudi tena?
Palestina wanaramani yao inayoonyesha kuanzia mwaka 47 hadi sasa "eti" territory zao zilivyochukuliwa, nchi zote za kiislamu haziwataki waebrania na zinatamani sio tu waondoke waangamie kabisa.

Swali kama Hezbollah walishinda kwa hizo missiles mbona hawakutumia mbinu hizohizo waongeze na zingine wawamalize kabisa kama wanavyootaga?
Swali dogo tu la kawaida TAIFA LA ISRAEL KWANINI LILIUNDWA 1947 KWA HISANI YA MATAIFA YA MAGHARIBI? Nini kilichokuwa kimewapata mashujaa hao wa kiebrania chungu ya miaka iliyokuwa imepita?
Si vibaya mtu kuamini alichoaminishwa bali kibaya ni kutia akili uzembe wa kufikiri.
Sijasema nini kilitokea wakati wa Otoman wala sitosema Israel imetawaliwa miaka mingapi na waarabu... wala sihitaji kuandika kwanini wapalestina wanawekewa vikwazo vya kuwa na silaha huku Israel ikilimbikiziwa silaha kali za maangamizi.
UKWELI UTABAKI: HEZB WALIWACHAPA WAZAYUNI
MSIFANANISHE UKRISTO NA UYAHUDI, WAYAHUDI SI WAKRISTO NA UKRISTO UKO PALESTINA KULIKO ISRAEL.
WAGALATIA SOMENI..
 
Samahani hivi Yesu alipokiita kile kizazi "kilicholaaniwa... joka wana wa majoka..." hivi kilicholaaniwa huwa kimebarikiwa? Hivi aliposema "...hakuna hata jiwe moja litakalobaki bila kubomoshwa!!" Alimaanisha mashujaa hao "waliotawaliwa na wamisri, waajemi, waroma kisha waarabu ushujaa na ubarikiwa wao ulikuwa wapi dahari ya miaka hiyo hata wakakimbilia mataifa ya ulaya ambako nako walikutana na Hitler wateule hao?
 
Hezbolla hawaja wahi kushinda vita dhidi ya Israel.


Hakuna taifa la Kiarabu limewahi kushinda vita dhidi ya israel.

Waarabu ni watu wa ajabu sana.. hadi leo wanasema vita ya siku 6 eti walishinda.
 
Walikuwa na malengo yapi?
Kumbuka Hezbollah hakuingia mwenyewe walikuwepo
Amal, PFLP-G, LCP.


Israel haikushindwa unamjua Mkuu wa majeshi aliyetamka Israel imeshindwa nini kilimpata?

Wewe ni mbishi sana, unabisha kitu usichokijua. Shame on you
 
Back
Top Bottom