Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

tawala za ulaya na mashariki ya kati zilizotawala ulimwengu haziwezi tena kurudi na kutawala ulimwengu kwani muda wao ushapita, ulimwengu sasa hivi unaelekea uchina na nchi zinnazokuja kwa kasi kama india, brazil nk. so kwa ottoman na hao mafarao kurudi kwenye game tena sahau
Pia unasahau Turkey bado inaikalia sehemu ya europe mfano cyprus,,Turkey wana ifluence crimea,ukraine,serbia etc
Turkey inamake inroad into syria na kama siyo Russia na iran,tayari Assad angeshaangushwa na ottoman ingekuwa ishaingia arabuni.
Kwasasa nchi za kiarabu zinafanya juu chini Turkey asikite mizizi libya,,nchi nyingi za kiarabu zilipata uhuru baada ya uturuki kushindwa vitani na majeshi ya kiarabu yakiongozwa na Lawrence of arabia
 
ariel sharon alikua mpaka anaingia msikitini na viatu, alikua haogopi kitu yule
Ariel sharon alikuwa kichwa yule,alikuwa mkorofi hata kwa mabosi wake,,japo kisa cha kuingia na viatu misikitini,sijawahi sikia zaidi ya ile safari moja iliyosababisha intifada
 
ambae hakai kwa amani ni nani kati ya yule aliyejificha kwenye mahandaki na yule anayetembea hadharani? tumia akili kabla ya kuandika
Ukumbuke hizbu niwanamgambo tu tena wapuuzi wapuuzi kama US wanawatambua kama wanamgambo halafu ISRAEL taifa Rasmi kama mnavyolitambua halafu mnalisifia kwanguvu zakijeshi

Bado wakakaa chini wakatia makubaliano nawanamgambo
Bado wakawaachia wanamgambo walokua wanawashikilia
Bado wakafukuzana kazi mara baada yakupelekeshwa vitani
Bado jeshi lilopelekeshwa na wanamgambo mnaliita jeshi imara

Poleni[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwa taarifa yako israel pale middle east anakula bata kwa kwenda mbele na hakuna mwenye jeuri ya kumtoa pale...hao hezbolah wamebaki maneno tu taqbir za kutosha na kupeperusha bendera zao za kijani zile juu
Hzbullah Kawekwa pale kwalengo lakuhakikisha LEBANON inabaki mikononi mwa walebanon
Nabado Myahudi hatubutu kuisogelea hizbullah pale mpakani
 
Ukumbuke hizbu niwanamgambo tu tena wapuuzi wapuuzi kama US wanawatambua kama wanamgambo halafu ISRAEL taifa Rasmi kama mnavyolitambua halafu mnalisifia kwanguvu zakijeshi

Bado wakakaa chini wakatia makubaliano nawanamgambo
Bado wakawaachia wanamgambo walokua wanawashikilia
Bado wakafukuzana kazi mara baada yakupelekeshwa vitani
Bado jeshi lilopelekeshwa na wanamgambo mnaliita jeshi imara

Poleni[emoji23][emoji23][emoji23]
HEZBOLAH SIO WANAMGAMBO NISHAKUAMBIA, NI JESHI KAMILI LILE
 
HEZBOLAH SIO WANAMGAMBO NISHAKUAMBIA, NI JESHI KAMILI LILE
1018316866.jpg

Commando wa IDF

Gay-Israeli-1.jpg


Omer Nahmany, a 25-year-old Second Lieutenant in the artillery corps (gay)

Capture.PNG

Netanyahu amechagua minister shoga.


49211232_303.jpg

Gay parade Tel aviv


49211186_303.jpg

Tel Aviv
Sharon_Afek.jpg

Aluf (General officer) Sharon Afek is the current Chief Military Advocate General of the Israel Defense Forces and is openly gay. He came out in 2017, becoming the first member of the supreme command of the IDF to do so


Israel ina mashoga mpaka wakuu wa majeshi, wale ni wahuni tu pale middle east, ila wazee mmekomaa kuwasifia, endeleeni. Sijakupa ya Netanyahu alivyokuwa ana yasifu mashoga.

Ndio maana yanapigwa na migambo, huwezi sikia Iran wana upumbavu kama huu ndio maana anaya dunda mno.
 
HEZBOLAH SIO WANAMGAMBO NISHAKUAMBIA, NI JESHI KAMILI LILE
Francoo,
Kuna mfano mzuri wa ''Jeshi la Mgambo,'' katika WWII wakati Field Marshall Josip Tito alipoongoza jeshi hilo dhidi ya majeshi ya Ujerumani pale walipovamia Yugoslavia.

Atakae habari zaidi ya majeshi mafano wa Hizbullah anaweza kuingia hapa:
Yugoslav Partisans - Wikipedia
 
Francoo,
Kuna mfano mzuri wa ''Jeshi la Mgambo,'' katika WWII wakati Field Marshall Josip Tito alipoongoza jeshi hilo dhidi ya majeshi ya Ujerumani pale walipovamia Yugoslavia.

Atakae habari zaidi ya majeshi mafano wa Hizbullah anaweza kuingia hapa:
Yugoslav Partisans - Wikipedia
silaha anazomiliki hezbolah ni zaidi ya silaha wanazomiliki wanamgambo sasa unasemaje ni jeshi la mgambo? uwezo wa jeshi au kikundi cha wapiganaji unapimwa kwa silaha wanazomiliki n ujuzi na vitu vingine
 
1018316866.jpg

Commando wa IDF

Gay-Israeli-1.jpg


Omer Nahmany, a 25-year-old Second Lieutenant in the artillery corps (gay)

View attachment 1473579
Netanyahu amechagua minister shoga.


49211232_303.jpg

Gay parade Tel aviv


49211186_303.jpg

Tel Aviv
Sharon_Afek.jpg

Aluf (General officer) Sharon Afek is the current Chief Military Advocate General of the Israel Defense Forces and is openly gay. He came out in 2017, becoming the first member of the supreme command of the IDF to do so


Israel ina mashoga mpaka wakuu wa majeshi, wale ni wahuni tu pale middle east, ila wazee mmekomaa kuwasifia, endeleeni. Sijakupa ya Netanyahu alivyokuwa ana yasifu mashoga.

Ndio maana yanapigwa na migambo, huwezi sikia Iran wana upumbavu kama huu ndio maana anaya dunda mno.
iran hakuna upumbavu huo kivipi wakati nimekuonesha mashoga waliopo iran?
 
silaha anazomiliki hezbolah ni zaidi ya silaha wanazomiliki wanamgambo sasa unasemaje ni jeshi la mgambo? uwezo wa jeshi au kikundi cha wapiganaji unapimwa kwa silaha wanazomiliki n ujuzi na vitu vingine
Wanamgambo ni kiswahili cha militias,,ambayo hata wawe na ndege za kivita,bado ni militias kwani siyo jeshi rasmi la nchi
 
silaha anazomiliki hezbolah ni zaidi ya silaha wanazomiliki wanamgambo sasa unasemaje ni jeshi la mgambo? uwezo wa jeshi au kikundi cha wapiganaji unapimwa kwa silaha wanazomiliki n ujuzi na vitu vingine
Francoo,
Hakika.

Kuna mfano mwingine katika vita vya Vietnam.
Wapi jeshi lile litawekwa?
 
iran hakuna upumbavu huo kivipi wakati nimekuonesha mashoga waliopo iran?
Naona hujielewi, Iran inatetea ushoga? Leta basi hata source 1 inayoonyesha Khamenei anaya tetea mashoga, kama wapo wanakuwa ni wageni na pia wanajificha mno, ukikamatwa unakuwa executed.

Sasa unaleta tupicha uchwara, hazina details za kutosha, hazielezei hao gay wapo Iran sehemu gani na wanafanya nini, na serikali ina watambua? wanaitwa nani?

Iran
Hawana askari shoga kama Israel
Hawana waziri shoga
hawana sera za kutetea ushoga kama Israel mnayo amini ni taifa teule,wapo smart.

Mimi nakuletea full details, hao mashoga wa kiyahudi nimekupa mpaka jina.
umefeli, usitetee ujinga, Yaani unatetea ushoga?


Hio video netanyahu mwenyewe anasema hapo kuhusu LGBT community, msikilize kwa makini anasema nini, kuna sehemu hapo ana laani Iran kwa kuwaua gays, na anasema Israel gays wana haki kama watu wengine.

Nipe ya kiongozi wa Iran anatetea ushoga na wewe.
 
Wanamgambo ni kiswahili cha militias,,ambayo hata wawe na ndege za kivita,bado ni militias kwani siyo jeshi rasmi la nchi
ni sawa ila sasa hapo unapoenda vitani kupambana na adui yako wewe unaangalia kwamba ni jeshi rasmi au unaangalia nguvu yake? maana adui yako unapambana nae kwa nguvu yake aiyonayo na sio jina alilonalo mfano eti "jeshi kamili" au mwanamgambo, hapo utakua unakosea
 
Naona hujielewi, Iran inatetea ushoga? Leta basi hata source 1 inayoonyesha Khamenei anaya tetea mashoga, kama wapo wanakuwa ni wageni na pia wanajificha mno, ukikamatwa unakuwa executed.

Sasa unaleta tupicha uchwara, hazina details za kutosha, hazielezei hao gay wapo Iran sehemu gani na wanafanya nini, na serikali ina watambua? wanaitwa nani?

Iran
Hawana askari shoga kama Israel
Hawana waziri shoga
hawana sera za kutetea ushoga kama Israel mnayo amini ni taifa teule,wapo smart.

Mimi nakuletea full details, hao mashoga wa kiyahudi nimekupa mpaka jina.
umefeli, usitetee ujinga, Yaani unatetea ushoga?


Hio video netanyahu mwenyewe anasema hapo kuhusu LGBT community, msikilize kwa makini anasema nini, kuna sehemu hapo ana laani Iran kwa kuwaua gays, na anasema Israel gays wana haki kama watu wengine.

Nipe ya kiongozi wa Iran anatetea ushoga na wewe.

kwanza kabisa sijatetea mashoga ila nimekujibu kwamba mashoga wapo kila sehemu duniani, nikakuprovia kwamba hata iran mashoga wapo, hata tanzania mashoga wapo, so usibishe kwamba iran hamna mashoga wether wanajificha ama la, inawezekana pia jeshini kwao wapo lazima hawawezi kosekana. sasa suala la sera zakutetea ushoga hilo ni lingine unajua wewe ukibanwa upande huu unakuja na topic ingine chap sababu unakosa pa kutokea ha ha haaa. hizo picha sio picha uchwara ni za kweli



 
Francoo,
Hakika.

Kuna mfano mwingine katika vita vya Vietnam.
Wapi jeshi lile litawekwa?
Francoo,
Hakika.

Kuna mfano mwingine katika vita vya Vietnam.
Wapi jeshi lile litawekwa?
katika vita ya vietnam jeshi lile litawekwa kama majeshi mengine ya nchi mfano jeshi la tanzania, uganda, china n.k
ila hapa unatakiwa ujue kwamba ukienda vitani kupambana na adui yako usiende kusema eti huyu si jeshi kamili, huyu ni jesh kamili, huyu ni manamgambo, kwa sababu vitani sio hayo majina ndio yanakupa ushindi, ukienda vitani nguvu ya adui yako, technologia na vingine ndo vinakupa ushindi, mfano wale waasi wa syria walikua wanakaribia kumpindua assad ambae alikua anasaidiwa na hezbolah (hao mnaowaita wanamgambo) na iran mpaka alivyoingia urusi akaongeza nguvu ya angani na nguvu zaidi ya kijeshi ndio waasi wakaanza kupoteza. so ukienda vitani wewe jua huyu ni adui kamili na amejipanga kupambana na mimi kamwe usimu under rate
 
katika vita ya vietnam jeshi lile litawekwa kama majeshi mengine ya nchi mfano jeshi la tanzania, uganda, china n.k
ila hapa unatakiwa ujue kwamba ukienda vitani kupambana na adui yako usiende kusema eti huyu si jeshi kamili, huyu ni jesh kamili, huyu ni manamgambo, kwa sababu vitani sio hayo majina ndio yanakupa ushindi, ukienda vitani nguvu ya adui yako, technologia na vingine ndo vinakupa ushindi, mfano wale waasi wa syria walikua wanakaribia kumpindua assad ambae alikua anasaidiwa na hezbolah (hao mnaowaita wanamgambo) na iran mpaka alivyoingia urusi akaongeza nguvu ya angani na nguvu zaidi ya kijeshi ndio waasi wakaanza kupoteza. so ukienda vitani wewe jua huyu ni adui kamili na amejipanga kupambana na mimi kamwe usimu under rate
Francoo,
Nakuunga mkono unayoeleza ni sawa kabisa.
 
Daaa kweli ukistaajabu ya pharaoh utayaona ya Mussa, yaani hiyoHezbollah ilivyo chakazwa namna ile leo hii mijitu inadai kuwa ilishinda? kweli kuna watu wanajua ubishi
 
Daaa kweli ukistaajabu ya pharaoh utayaona ya Mussa, yaani hiyoHezbollah ilivyo chakazwa namna ile leo hii mijitu inadai kuwa ilishinda? kweli kuna watu wanajua ubishi
Israel iliua raia sio chini ya 1500,,
Hezb iliua wanajeshi wa IDF kama sikosei zaidi ya 150,,sina uhakika sana na raia wa israel about 30,
Hapo maana yake israel ilikuwa ikilenga raia ili kuwakata mori hezb,
Vita pekee vya ana kwa ana,vilitokea Bin jabel,,,israel walipoteza askari zaidi ya 30 kwa masaa machache ikabidi walitreat kurudi ndani ya mipaka ya israel,na huo ndo ukawa mwanzo wa mwisho wa hivyo vita,
Hilo jaribio la kuingiza ground troops za israel,lilikuja baada ya karibu wiki tatu za mashambulizi makali ya ndege,wakilenga raia na kuharibu miundo mbinu kama madaraja,vituo vya umeme na majumba,walidhani wamewatepetesha hezb,,hivyo wakaona waingize ground troops,wakaishia ndani ya ambush kali,

Hii pia ilitokea gaza,2014 baada ya israel kuingiza troops gaza na kupoteza zaidi ya askari 19 na ikabidi wapull back
 
silaha anazomiliki hezbolah ni zaidi ya silaha wanazomiliki wanamgambo sasa unasemaje ni jeshi la mgambo? uwezo wa jeshi au kikundi cha wapiganaji unapimwa kwa silaha wanazomiliki n ujuzi na vitu vingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Acha kuongozwa nahisia kijana wanamgambo watabakia kua wanamgambo tu hatakama watamiliki silaha zanyuklia naukweli upo hv

Kinyume namaneno yako ama maneno yangu leta ushahidi wakwamba hizbullah nijeshi

Naili uwe jeshi lazma uwe official wataifa fulani ....
 
Back
Top Bottom