Ni kama Mzee Ali Kibao alijua yupo hatarini?

Ni kama Mzee Ali Kibao alijua yupo hatarini?

Nipo najiuliza ilikuwaje akawa anatumia usafiri wa bus naamini huyu mzee hawezi kosa usafiri wa kusafiri kwenda hapa na pale.

Imani yangu inanituma alijua anafatiliwa akawa anajichanganya mazingira ya watu wengi kama kusafiri na bus ambapo aliona kwake itakuwa ni salama zaidi.

Lakini hawa waliomchomoa kwenye bus kama kuku nao kama wakashtuka hivi maana sio kawaida yao kunyakuwa watu kwenye mabus

Hakuna aliyesalama kama hali ndio hii.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
 
Peter Msigwa ndiye aliyemchoma Mzee Kibao. Kama Mungu aidhivyo natamka laana juu ya Peter Msigwa atakufa kifo cha mateso kuliko mateso aliyopata Mzee wetu Kibao.
1725904773635.png
 
Naamini angekuwa anajua lazima angetoa taarifa Kwa watu wa karibu wakiwepo viongozi wenzie wa chama.

Sidhani kama angekubali kutekwa kiurahisi in public kama angefahamu anafuatiliwa, naamini alitii amri akiamini amri halali ya jeshi la polisi masikini kumbe ilikuwa ni nightmare.

Abiria lazima walipata taharuki wakijua ni jambazi labda walikuwa naye kwenye bus, watumishi waliomfahamu waliokuwa naye kwenye bus ndio walipaswa kupaza sauti kumsaidia Marehemu.
 
Wakina MMM wanapiga spana muda wote ila hawagusi imekuwaje huyu mzee wa chadema alikuwa nini haswa?
 
Peter Msigwa ndiye aliyemchoma Mzee Kibao. Kama Mungu aidhivyo natamka laana juu ya Peter Msigwa atakufa kifo cha mateso kuliko mateso aliyopata Mzee wetu Kibao.
Kumchoma mtu kwa tafsiri isiyo rasmi(mtaani)ni kumfichulia maovu mtu yaliyo sirini.
Kwamba mzee alikuwa na maovu tusiyoyajua isipokuwa msigwa na baadhi ya watu tu cdm??au ulitaka kusemaje mkuu??

Nafikiri labda ulitakiaa useme amekenda kufanya fitina mzee aonekane ni kichomi.ingawa sifikirii pia.
 
Back
Top Bottom