Ni kama Mzee Ali Kibao alijua yupo hatarini?

Ni kama Mzee Ali Kibao alijua yupo hatarini?

Wamejiaibisha sana kwa kumuua huyu mzee, hata kama ni kutisha watu si kwa style hii aisee

Huyu mzee hakustahili kua mbuzi wa kafala.
Mambo kama haya ndio yaliyomuondoa Jiwe,roho za watu zilimulilia,pamoja na kujenga madaraja,maflyover, kwenye kuchezea Damu na roho za watu alioumba Mungu ndipo alipoingia mkenge.
Hakuna Maombi ambayo yangeweza kumsaidia

Mungu hadhihakiwi,Mungu Ni mpole na Mkali sana 🙏
 
Peter Msigwa ndiye aliyemchoma Mzee Kibao. Kama Mungu aidhivyo natamka laana juu ya Peter Msigwa atakufa kifo cha mateso kuliko mateso aliyopata Mzee wetu Kibao.
Alikuwa kama Yuda, tuwekeeni clip ya kumchoma Mzee wa watu!! Dah inauma sana
 
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Wamasai ndo maana wanatembea na mapanga viunoni LEO ndo nimewaelewa vizuri wamasai
 
Mambo kama haya ndio yaliyomuondoa Jiwe,roho za watu zilimulilia,pamoja na kujenga madaraja,maflyover, kwenye kuchezea Damu na roho za watu alioumba Mungu ndipo alipoingia mkenge.
Hakuna Maombi ambayo yangeweza kumsaidia

Mungu hadhihakiwi,Mungu Ni mpole na Mkali sana 🙏
Mkuu kuhusu hiyo tabia ya kuua watu aliokua nayo yule jamaa sijui Kwa Nini watu huwa hawasemi! Kwa sababu ya hiyo tabia mm binafsi hata kifo chake sikuguswa totally nisiongee uongo... Kuhusu Makonda tabia ni hiyo hiyo km ndugu yake
 
Hivi aliwakosea nini?
Mtu mwenyewe hata huko chamani alikuwa hajulikani, na hakuwa anajihusisha na siasa za majukwaani!
Naogopa kufunguka.
Ila sikuzote adui hua anapiga pale anaopoona panakupa nguvu.

Fuatilia historia ya marehemu
 
Nipo najiuliza ilikuwaje akawa anatumia usafiri wa bus naamini huyu mzee hawezi kosa usafiri wa kusafiri kwenda hapa na pale.

Imani yangu inanituma alijua anafatiliwa akawa anajichanganya mazingira ya watu wengi kama kusafiri na bus ambapo aliona kwake itakuwa ni salama zaidi.

Lakini hawa waliomchomoa kwenye bus kama kuku nao kama wakashtuka hivi maana sio kawaida yao kunyakuwa watu kwenye mabus

Hakuna aliyesalama kama hali ndio hii.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
Mnaogopa kutaja jina Mohamed?
 
Nipo najiuliza ilikuwaje akawa anatumia usafiri wa bus naamini huyu mzee hawezi kosa usafiri wa kusafiri kwenda hapa na pale.

Imani yangu inanituma alijua anafatiliwa akawa anajichanganya mazingira ya watu wengi kama kusafiri na bus ambapo aliona kwake itakuwa ni salama zaidi.

Lakini hawa waliomchomoa kwenye bus kama kuku nao kama wakashtuka hivi maana sio kawaida yao kunyakuwa watu kwenye mabus

Hakuna aliyesalama kama hali ndio hii.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
Kondoo alikuwa anapita akamuona simba akilia akiwa amenasa kwenye boksi la chuma(grili), simba akamsihi sana kondoo amuokoe na kumuahidi kuwa hatamuua wala kumla, lakini kondoo akakataa.... Baada ya simba kubembeleza sana na kwa upumbavu wa kondoo, akafungua lile boksi la chuma.

Sasa simba alikuwa na njaa kali mno baada ya kukaa kifungoni kwa siku kadhaa bila kula chakula... Mara moja alimrukia kondoo na kukaribia kumuua ili amle, lakini kondoo alimkumbusha kiapo chake.

Waliendelea kubishana hadi wanyama wengine waliokuwa wanapita wakauliza kulikoni? Basi simba na kondoo wote wakaelezea jinsi ilivyokuwa, lakini kwa hofu ya simba na kutaka kupata huruma machoni pa simba, wanyama wote wakamsapoti simba isipokuwa kobe ambaye alidai kuwa hakuelewa mazingira na stori yenyewe.

Sasa kobe akamuomba simba aoneshe mahali alipokuwa kabla ya kondoo kumuokoa, simba akamuonesha kobe kwa mguu wake wa mbele, pale... Kobe akamuuliza tena, "ulikuwa ndani ama nje kabla ya kondoo kuja??"...Simba akamjibu, "nilikuwa ndani".

Kobe akamuuliza tena simba, "sawa, embu ingia tena ili tuone jinsi ilivyokuwia vigumu kukaa ndani ya grili kwani sielewi stori hii yote vizuri"... Simba akaingia, na mara moja(chapu!), kobe akafunga lile boksi la chuma (grili)... Na simba sasa alikuwa amenasa tena!!

Kwa mshangao mkubwa, wale wanyama wengine wakamuuliza kobe "Kwanini?" na kobe akawajibu..."Kama tukimruhusu simba amle kondoo leo, bado atasikia njaa tena kesho na hatujui kati yetu ni nani atakayeliwa kesho..!!"

FUNDISHO

Usiunge mkono uovu leo kwa vile haukuathiri moja kwa moja, pengine kesho inaweza kuwa zamu yako.!!

Nafikri tunahitaji kobe wengi zaidi katika jamii yetu.
 
Back
Top Bottom