Ni Kama Naiona Barca Ishatinga Fainali Uefa

Liverpool atachezea goli za kutosha kiasi kwamba watapoteana uwanjani!

Fainali ni Barcelona v/s Totenham Hotspurs
Totenham Hotspurs hatoboi kwa Ajax a.k.a 'The Giant Slayers' a.k.a 'The Vikings'.

Wale watoto wanacheza mpira wa kwa kasi , kwa kujituma, na mbinu(tacts) za hali ya juu.

Yeyote kati ya Liverpool na Barca atakaye kutana nae ajiandae hasa, to beat Ajax Armstadam it's not an easy feat.

Ask Barca Real Madrid, Juventus and Bayern.Munchen. Hawa wote walikutana nae msimu huu 2018/2019 kwenye hii UCL.
 
Fainali , ajax vs Barcelona
,ajax anabeba ndoo coz wana spirit sana hawa vijana
 
TOT sio tanzania one theater mkuu!!!
 
Ajax hawezi kumtikisa Barca.

Ajax ana mpira wa kasi mno na anaingia ndani ya box kufanya mashambulizi, wanajitahidi mno kupenya kila eneo ili wapate goli.

Juventus ana mpira kama chelsea, ni timu ambayo inasubiria uishambulie kisha yenyewe ifanye shambulio la kushtukiza. Ajax sio wazuri endapo ukawaruhusu wakushambulie.

Ajax haina mfungaji, hamjui tu. Ile timu ingekuwa na striker mmoja anayejielewa ingewa inapata ushindi mno. Mnazungumzia Barca kuwakabili Ajax ila hamfkirii Ajax wanaweza kumzuia vipi Messi.
 
Sawa mkuu ila kumbuka Barcelona ni kama kinyonga,hua inabadilika kutokana na mazingira,Barca vs Liver,tegemea kuona performance tofauti kabisa toka kwa Barca,natabiri hii game ndio itakayotoa bingwa wa ongoing UCL
Humu ndani watu wanaongea kishabiki, walitabiri Juve kubeba hii ndoo ila leo wapo kimya.

Barca sio mtu wa kumchukulia mwepesi tena kwa timu za epl, Nou Camp Liver atakufa si chini ya 3.

Liverpool hii ni timu ndogo mno kwa Barca.
 
Game kama hizi ndipo dunia inaamini Messi ana kitu cha ziada, Liverpool haitaamini matokeo itakayoyapata Camp Nou.
 
Liverpool siku zote ndio wapo hivyo na kushinda wanashinda rejea vs munchen liver walielemewa wakashinda tatu pia mechi na Porto kaelemewa kashinda nne
Unaamini kabisa Liver kwa mpira wao wa kumuacha mpinzani acheze mpira wataachwa na Messi?
 
Utabiri wangu Anfield liverpool 2 Barceloma 1, Nou camp Barcelona 3 Liverpool 2....

Barcelona out Liverpool In

Amsterdam Ajax 1 Tottenhan 1
White hat lane Tottenham 2 Ajax 1

Fainal Liverpool vs Tottenhamm


Nitarud tena kukamilisha ramli yangu siku ya fainali....
 
Hua nawaza sana akina nani wa kutoa mpira pale kati na kuwapa washambuliaji wa Liverpool ? Kama kupiga mipira mirefu ni yale ya kutoka golini kwa Liverpool ? Liverpool inaweza kufungwa kwa urahisi na Barca zaidi ya Barca kufungwa na Liverpool.
Sioni Barca kutotumia yale makosa ya wazi yanayofanywa na mabeki ya Liverpool.
 
Jina lako ni nani vile.... Nyakubanga. Ok wacha nilisevu hapa
Binafsi naiona liverpool ikitinga fainal japo siipendi

facts

1)barca hawana kikosi imara tangu walipostaafu xavi+iniesta

2)liver wako vizuri kuliko wakati wowote tangu imeanza kufundishwa na klop.
 
Final ni Liverpool vs Totinham



Barcelona anaizuiaje Liverpool.


Time is a good teacher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…