Ni kama nchi iko kwenye Auto Pilot

Ni kama nchi iko kwenye Auto Pilot

ProMagufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
253
Reaction score
270
Auto Pilot, kwa uelewa wangu tafsiri isiyo rasmi, nchi inajiendesha.

Kwa sababu gani nasema hivyo. Ni kama ifuatavyo.

1. Kuhusu tozo. Mheshimiwa waziri wa fedha na Mipango ndugu Mwigulu Nchemba alisema mama amesikia kilio cha Watanzania ila cha ajabu mpaka leo hakuna kinachoendelea kuhusu mchakato wa kusikiliza hicho kilio. NI HUZUNI 😒

2. Kuhusu kamata kamata, pia hii sielewi inaendeshwa je na mratibu wa hii kitu ni nani.! Maaskari wameachiwa wafanye vile wanaona vyema. HII NI MBAYA.

3. Japo si kwa umuhimu Raisi hajatoka hadharani kusema na wananchi kujua nini kinaendelea hapa Tanzania.

Pia kuna Mambo kibao yanaendelea hayaeleweki. Ni kama vile tuko Laissez-faire leadership.
Nimeona sehemu, itakuwa ipo chini ya system sasa.

TUNATAKA KUMSIKIA.

Nimemaliza. Pro Magufuli.
 
Mistake ilifanyika pale mwanzo. Wafitini na watesaji wanatazamia point ambayo mama atazira ( wanasema ana mtindo wa kuzira).

Mauharibifu yatachukua usukani na kufufua wafu ili watende kazi. The second blow is expected to be worse au mbaya zaidi kuliko zote.

Ninachokushauri mtanzania mwenzangu ,,watch the heading" and prepare well to abandon the vessal at the right time and place.

Kwani pigo la mwisho ni Farao na majeshi yake wanapoteza mazima.
 
Auto pilot ndo kiwango cha juu cha kujiongoza...

Sisi tumezoa matamko ya kila wiki ndo tunafikiri ndo Uongozi..

Swissland waliwahi kukaa miaka mitatu bila Rais na Baraza la mawaziri ....

Zipo nchi wanakaa hata miezi sita hakuna hotuba wala event ya kisiasa.,.

Mliozea makeke ya Magufuli mnafikiri nndo normal..
 
Nchi iko Autopilot wakati watu wamekamatwa Mwanza usiku wakasafirishwa usiku huo huo to Dar na wakapewa kesi ya Uhaini,hayo ni maelekezo toka juu
 
Auto pilot ndo kiwango cha juu cha kujiongoza...

Sisi tumezoa matamko ya kila wiki ndo tunafikiri ndo Uongozi..

Swissland waliwahi kukaa miaka mitatu bila Rais na Baraza la mawaziri ....

Zipo nchi wanakaa hata miezi sita hakuna hotuba wala event ya kisiasa.,.

Mliozea makeke ya Magufuli mnafikiri nndo normal..
Mtaji wa CCM kubaki madarakani ni kuwafanya raia kuwa mazuzu to the fullest.
Wanaharibu mifumo ya elimu purposely ili nchi iwe ya mbumbumbu, itawaluke kirahisi.
Gari ya diamond platnumz nalo ni agenda ya taifa
 
Mtaji wa CCM kubaki madarakani ni kuwafanya raia kuwa mazuzu to the fullest.
Wanaharibu mifumo ya elimu purposely ili nchi iwe ya mbumbumbu, itawaluke kirahisi.
Gari ya diamond platnumz nalo ni agenda ya taifa
😱😱😱
 
Auto pilot ndo kiwango cha juu cha kujiongoza...

Sisi tumezoa matamko ya kila wiki ndo tunafikiri ndo Uongozi..

Swissland waliwahi kukaa miaka mitatu bila Rais na Baraza la mawaziri ....

Zipo nchi wanakaa hata miezi sita hakuna hotuba wala event ya kisiasa.,.

Mliozea makeke ya Magufuli mnafikiri nndo normal..
Kumbe we are on right track
 
Auto Pilot, kwa uelewa wangu tafsiri isiyo rasmi, nchi inajiendesha.
Kwa sababu gani nasema hivyo. Ni kama ifuatavyo.
1. Kuhusu tozo. Mheshimiwa waziri wa fedha na Mipango ndugu Mwigulu Nchemba alisema mama amesikia kilio cha Watanzania ila cha ajabu mpaka leo hakuna kinachoendelea kuhusu mchakato wa kusikiliza hicho kilio. NI HUZUNI 😒

2. Kuhusu kamata kamata, pia hii sielewi inaendeshwa je na mratibu wa hii kitu ni nani.! Maaskari wameachiwa wafanye vile wanaona vyema. HII NI MBAYA.

3. Japo si kwa umuhimu Raisi hajatoka hadharani kusema na wananchi kujua nini kinaendelea hapa Tanzania.

Pia kuna Mambo kibao yanaendelea hayaeleweki. Ni kama vile tuko Lasser fair leadership.
Nimeona sehemu, itakuwa ipo chini ya system sasa.
TUNATAKA KUMSIKIA.

Nimemaliza. Pro Magufuli.
Lipa kodi wewe, kama huwezi acha kutumia miamala na peleka hela utakako kwa miguu. Nchi inajengwa na kodi za wananchi.
Autria, finland, canada wanatoa misaada kwetu na nchi zingine na wana bonge la facilities na huduma ila raia wanalipa kodi zaidi ya 50%....
 
Lipa kodi wewe, kama huwezi acha kutumia miamala na peleka hela utakako kwa miguu. Nchi inajengwa na kodi za wananchi.
Autria, finland, canada wanatoa misaada kwetu na nchi zingine na wana bonge la facilities na huduma ila raia wanalipa kodi zaidi ya 50%....
Uh, tumepewa Danganya toto.!
Mimi nasubiri tozo zipungue nifanye muamala.
 
Auto pilot ndo kiwango cha juu cha kujiongoza...

Sisi tumezoa matamko ya kila wiki ndo tunafikiri ndo Uongozi..

Swissland waliwahi kukaa miaka mitatu bila Rais na Baraza la mawaziri ....

Zipo nchi wanakaa hata miezi sita hakuna hotuba wala event ya kisiasa.,.

Mliozea makeke ya Magufuli mnafikiri nndo normal..
Swissland? Una hakika wewe kweli ni Boss?

Amandla...
 
Auto Pilot, kwa uelewa wangu tafsiri isiyo rasmi, nchi inajiendesha.

Kwa sababu gani nasema hivyo. Ni kama ifuatavyo.

1. Kuhusu tozo. Mheshimiwa waziri wa fedha na Mipango ndugu Mwigulu Nchemba alisema mama amesikia kilio cha Watanzania ila cha ajabu mpaka leo hakuna kinachoendelea kuhusu mchakato wa kusikiliza hicho kilio. NI HUZUNI 😒

2. Kuhusu kamata kamata, pia hii sielewi inaendeshwa je na mratibu wa hii kitu ni nani.! Maaskari wameachiwa wafanye vile wanaona vyema. HII NI MBAYA.

3. Japo si kwa umuhimu Raisi hajatoka hadharani kusema na wananchi kujua nini kinaendelea hapa Tanzania.

Pia kuna Mambo kibao yanaendelea hayaeleweki. Ni kama vile tuko Laissez-faire leadership.
Nimeona sehemu, itakuwa ipo chini ya system sasa.

TUNATAKA KUMSIKIA.

Nimemaliza. Pro Magufuli.
Sasa ndio tunarahisi anayesikiliza washauri wake sasa
 
Back
Top Bottom