mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,400
- 3,853
InawezekanaHapana mkuu.Mama ni kiongozi mzuri na msikivu sana ila anakwamishwa na watu wa MATAGA na sukuma gang.Wanamshauri kuwa awabambike watu makosa ya jinai.Mama atawang'amua na kuwamwaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InawezekanaHapana mkuu.Mama ni kiongozi mzuri na msikivu sana ila anakwamishwa na watu wa MATAGA na sukuma gang.Wanamshauri kuwa awabambike watu makosa ya jinai.Mama atawang'amua na kuwamwaga.
🤣🤣Swissland? Una hakika wewe kweli ni Boss?
Amandla...
Hii nchi hapa ilipofikia ni mahali pabaya sana hata zaidi ya utawala wa DIKTETA MagufuliAuto Pilot, kwa uelewa wangu tafsiri isiyo rasmi, nchi inajiendesha.
Kwa sababu gani nasema hivyo. Ni kama ifuatavyo.
1. Kuhusu tozo. Mheshimiwa waziri wa fedha na Mipango ndugu Mwigulu Nchemba alisema mama amesikia kilio cha Watanzania ila cha ajabu mpaka leo hakuna kinachoendelea kuhusu mchakato wa kusikiliza hicho kilio. NI HUZUNI 😒
2. Kuhusu kamata kamata, pia hii sielewi inaendeshwa je na mratibu wa hii kitu ni nani.! Maaskari wameachiwa wafanye vile wanaona vyema. HII NI MBAYA.
3. Japo si kwa umuhimu Raisi hajatoka hadharani kusema na wananchi kujua nini kinaendelea hapa Tanzania.
Pia kuna Mambo kibao yanaendelea hayaeleweki. Ni kama vile tuko Laissez-faire leadership.
Nimeona sehemu, itakuwa ipo chini ya system sasa.
TUNATAKA KUMSIKIA.
Nimemaliza. Pro Magufuli.
Kwani uongo?Eti eeh
Auto Pilot, kwa uelewa wangu tafsiri isiyo rasmi, nchi inajiendesha.
Kwa sababu gani nasema hivyo. Ni kama ifuatavyo.
1. Kuhusu tozo. Mheshimiwa waziri wa fedha na Mipango ndugu Mwigulu Nchemba alisema mama amesikia kilio cha Watanzania ila cha ajabu mpaka leo hakuna kinachoendelea kuhusu mchakato wa kusikiliza hicho kilio. NI HUZUNI 😒
2. Kuhusu kamata kamata, pia hii sielewi inaendeshwa je na mratibu wa hii kitu ni nani.! Maaskari wameachiwa wafanye vile wanaona vyema. HII NI MBAYA.
3. Japo si kwa umuhimu Raisi hajatoka hadharani kusema na wananchi kujua nini kinaendelea hapa Tanzania.
Pia kuna Mambo kibao yanaendelea hayaeleweki. Ni kama vile tuko Laissez-faire leadership.
Nimeona sehemu, itakuwa ipo chini ya system sasa.
TUNATAKA KUMSIKIA.
Nimemaliza. Pro Magufuli.
Embu tuendelee kungoja.Kwani uongo?
Acheni Mama arekebishe mapungufu ya awamu ya 5 na anafanya kazi viruri sana regional na International diplomacy zinaonekana results zake sasa uchumi uriharibiwa sana awamu ya 5 ndio ikapelekea kuongeza kodi na tozo Mama aunaupiga mwingi sana tumpe muda na nafsi nchi itakuwa vizuri sanaAuto Pilot, kwa uelewa wangu tafsiri isiyo rasmi, nchi inajiendesha.
Kwa sababu gani nasema hivyo. Ni kama ifuatavyo.
1. Kuhusu tozo. Mheshimiwa waziri wa fedha na Mipango ndugu Mwigulu Nchemba alisema mama amesikia kilio cha Watanzania ila cha ajabu mpaka leo hakuna kinachoendelea kuhusu mchakato wa kusikiliza hicho kilio. NI HUZUNI [emoji19]
2. Kuhusu kamata kamata, pia hii sielewi inaendeshwa je na mratibu wa hii kitu ni nani.! Maaskari wameachiwa wafanye vile wanaona vyema. HII NI MBAYA.
3. Japo si kwa umuhimu Raisi hajatoka hadharani kusema na wananchi kujua nini kinaendelea hapa Tanzania.
Pia kuna Mambo kibao yanaendelea hayaeleweki. Ni kama vile tuko Laissez-faire leadership.
Nimeona sehemu, itakuwa ipo chini ya system sasa.
TUNATAKA KUMSIKIA.
Nimemaliza. Pro Magufuli.
Uko sahihi sana.Auto pilot ndo kiwango cha juu cha kujiongoza...
Sisi tumezoa matamko ya kila wiki ndo tunafikiri ndo Uongozi..
Swissland waliwahi kukaa miaka mitatu bila Rais na Baraza la mawaziri ....
Zipo nchi wanakaa hata miezi sita hakuna hotuba wala event ya kisiasa.,.
Mliozea makeke ya Magufuli mnafikiri nndo normal..
you are day dreaming thinking tz is anywhere near swiss,i live in a developed country and our countrys president can stay for upto to 4 months without a speech, but what you should know LAW AND ORDER are what makes this country or these countries move on without the head of state saying anything, if i may kidly ask you which law did chadema break to the extent of charging mbowe with terrorism and putting kina pambalu and heche lock up???????? pls pls know and understand tz is a totaly failed stateAuto pilot ndo kiwango cha juu cha kujiongoza...
Sisi tumezoa matamko ya kila wiki ndo tunafikiri ndo Uongozi..
Swissland waliwahi kukaa miaka mitatu bila Rais na Baraza la mawaziri ....
Zipo nchi wanakaa hata miezi sita hakuna hotuba wala event ya kisiasa.,.
Mliozea makeke ya Magufuli mnafikiri nndo normal..
Nikupe pole.Acheni Mama arekebishe mapungufu ya awamu ya 5 na anafanya kazi viruri sana regional na International diplomacy zinaonekana results zake sasa uchumi uriharibiwa sana awamu ya 5 ndio ikapelekea kuongeza kodi na tozo Mama aunaupiga mwingi sana tumpe muda na nafsi nchi itakuwa vizuri sana
Pokea pole.Umezoea MBWA - Management By Walking Around....hiyo haipo tena🐒