Ni kama sielewi naombeni ufafanuzi, Kumewahi kuwa nchi au falme inayoitwa Palestina kabla ya 1948 inayoongozwa na waarabu kabla ya 1948 ?

Ni kama sielewi naombeni ufafanuzi, Kumewahi kuwa nchi au falme inayoitwa Palestina kabla ya 1948 inayoongozwa na waarabu kabla ya 1948 ?

Si rahisi sana kupata taarifa ya uwepo wa taifa la Palestine kabla ya 1948. Historia ya watu hawa imefutwa na kusambatatishwa vibaya. Hawana haki yoyote ya maana ulimwenguni! Wanaopigana kurejesha the so called state of Palestine wamepachikwa jina la magaidi na sio freedom seekers. Ukiinua kimdomo unauawa ! Si ajabu Kuna wazee Wana umri mkubwa kuliko taifa lililoanzishwa mwaka 1948. Wana noti na sarafu za lililokuwa taifa lao.
Too sad.
 

Attachments

  • markup_1000088152.png
    markup_1000088152.png
    2.3 MB · Views: 4
  • markup_1000088153.png
    markup_1000088153.png
    2 MB · Views: 3
Maana nimechoka kufanya research siikuti Palestina iliyowahi kuwa nchi au Falme ikiwa chini ya waarabu

Nahitahi kuoneshwa Falme iliyoitwa Palestina iliyokuwa chini ya waarabu kama ilivyokuwa kwa Israel ya wayahudi chini ya Mfalme Sauli, Daudi, Solomon, Herodi, n.k.
Hapo sasa ndipo patamu hata mimi nilikuwa nataka hiyo Palestina ya waarabu rais au mfalme wao wa kwanza alikuwa nani? Na Mipawa ya hiyo nchi ilikuwa inapakana na nchi Gai? Na Sarafu yao ilikuwa inaitwaje? Je Dinnar,Shekel au Shillingi??? Na mimi nasubiri majibu yangu!!!!
 
Si rahisi sana kupata taarifa ya uwepo wa taifa la Palestine kabla ya 1948. Historia ya watu hawa imefutwa na kusambatatishwa vibaya. Hawana haki yoyote ya maana ulimwenguni! Wanaopigana kurejesha the so called state of Palestine wamepachikwa jina la magaidi na sio freedom seekers. Ukiinua kimdomo unauawa ! Si ajabu Kuna wazee Wana umri mkubwa kuliko taifa lililoanzishwa mwaka 1948. Wana noti na sarafu za lililokuwa taifa lao.
Too sad.
Umeulizwa mfalme wewe unaleta noti. Watanzania shule haitusaidii. Kama ni currency hata German ostafrika ilikuwepo kabla ya Tanganyika je tulikuwa na dola ya Tanganyika?
 
Si rahisi sana kupata taarifa ya uwepo wa taifa la Palestine kabla ya 1948. Historia ya watu hawa imefutwa na kusambatatishwa vibaya. Hawana haki yoyote ya maana ulimwenguni! Wanaopigana kurejesha the so called state of Palestine wamepachikwa jina la magaidi na sio freedom seekers. Ukiinua kimdomo unauawa ! Si ajabu Kuna wazee Wana umri mkubwa kuliko taifa lililoanzishwa mwaka 1948. Wana noti na sarafu za lililokuwa taifa lao.

Tatizo lako unatufanya sisi wote wajinga isipokuwa wewe tu ndiyo maana wewe unajiona unajua zaidi ya historia, Na unajitahidi sana kuwasafisha ili wao waonekane kuwa walikuwepo wakati hawakuwepo na hawatakuwepo huu uongo uliomezeshwa na waarabu ndiyo unakuponza unaonekana wewe ndiyo Mshamba namba moja na mjinga kupindukia wewe jibu vizuri hayo Maswali na kama hujui sema wazi kuwa hujui watu wakufahamishe ili siku nyingine u siwe mjinga!!!
 
Si rahisi sana kupata taarifa ya uwepo wa taifa la Palestine kabla ya 1948. Historia ya watu hawa imefutwa na kusambatatishwa vibaya. Hawana haki yoyote ya maana ulimwenguni! Wanaopigana kurejesha the so called state of Palestine wamepachikwa jina la magaidi na sio freedom seekers. Ukiinua kimdomo unauawa ! Si ajabu Kuna wazee Wana umri mkubwa kuliko taifa lililoanzishwa mwaka 1948. Wana noti na sarafu za lililokuwa taifa lao.
Too sad.
Hayo ni makaratasi tu yanaweza kuprintiwa hata hapo kwenye stationary ya mtaani kwako.
 
Maana nimechoka kufanya research siikuti Palestina iliyowahi kuwa nchi au Falme ikiwa chini ya waarabu

Nahitahi kuoneshwa Falme iliyoitwa Palestina iliyokuwa chini ya waarabu kama ilivyokuwa kwa Israel ya wayahudi chini ya Mfalme Sauli, Daudi, Solomon, Herodi, n.k.
Haikuwepo, Palestina ilikuwa sehemu ya Ottoman Empire
 
Si rahisi sana kupata taarifa ya uwepo wa taifa la Palestine kabla ya 1948. Historia ya watu hawa imefutwa na kusambatatishwa vibaya. Hawana haki yoyote ya maana ulimwenguni! Wanaopigana kurejesha the so called state of Palestine wamepachikwa jina la magaidi na sio freedom seekers. Ukiinua kimdomo unauawa ! Si ajabu Kuna wazee Wana umri mkubwa kuliko taifa lililoanzishwa mwaka 1948. Wana noti na sarafu za lililokuwa taifa lao.
Too sad.
Nimeona hiyo note pia nimeona maandishi ya Hebrew kwa nini note hiyo imeandikwa kwa lugha ya wayahudi?
 
Kwani ni lazima muwe na nchi au ufalme ndio mtambulike kwamba hiyo ardhi ni mali yenu.
Wanaweza kuwa TAIFA. Na wasiwe na nchi. Kama ilivyo sasa. Kuna taifa la palestina. Na taifa ni mkusanyiko wa watu wenye lugha, tamaduni, mila na desturi zinazofanana.
Palestina hivyo vyote wanavyo.
 
Kwani ni lazima muwe na nchi au ufalme ndio mtambulike kwamba hiyo ardhi ni mali yenu.
Wanaweza kuwa TAIFA. Na wasiwe na nchi. Kama ilivyo sasa. Kuna taifa la palestina. Na taifa ni mkusanyiko wa watu wenye lugha, tamaduni, mila na desturi zinazofanana.
Palestina hivyo vyote wanavyo.
 
Haikuwepo, Palestina ilikuwa sehemu ya Ottoman Empire
Palestina ilianzishwa na dola ya rumi na infact ilianzishwa ili kuwakomoa wayahudi ambao walikuwa wakiasi dhidi ya dola la kirumi lililokuwa likitawala dunia kipindi hicho kwa hiyo mrumi kwa hasira za kukataliwa kuitawala Israel 100% kwa maana ya wayahudi kukubali mioyoni mwao kusahau nchi yao na utaifa wao ndipo rumi ikafuta jina Israel na kuanzisha jina jipya la palestina na pia ikahakikisha inawatawanya wayahudi sehemu zingine za dunia. Na ndiyo maana wayahudi walitapaa nchi nyingi sana za ulaya mfano ujerumani.
 
Kwani ni lazima muwe na nchi au ufalme ndio mtambulike kwamba hiyo ardhi ni mali yenu.
Wanaweza kuwa TAIFA. Na wasiwe na nchi. Kama ilivyo sasa. Kuna taifa la palestina. Na taifa ni mkusanyiko wa watu wenye lugha, tamaduni, mila na desturi zinazofanana.
Palestina hivyo vyote wanavyo.
Na wewe unakuja na Hadithi sisi Wamatumbi huko Kilwa tulikuwa na machifu na Watemi huko usukumani nako walikuwa na watemi na Wanangwa. Nakuomba ujipange vizuri kuwasafisha harafu urudi tena !!! Kwa maneno yako hayo unatakiwa ujipange upya!!
 
Haikuwepo na hakuna nchi ama taifa iliyoitwa/inayoitwa Palestina.

Ni wahuni waliovamia ardhi ya Israel.
 
Maana nimechoka kufanya research siikuti Palestina iliyowahi kuwa nchi au Falme ikiwa chini ya waarabu

Nahitahi kuoneshwa Falme iliyoitwa Palestina na mfalme alieiongoza kama ilivyokuwa kwa Israel ya wayahudi chini ya Mfalme Sauli, Daudi, Solomon, Herodi, n.k.
Haswa. Hata Yesu mwenyewe alizaliwa Palestine,
Mawasiziri wakuu wote wa Israel au Mwenda usiku au Yakobo isipokuwa habithi Netanyahuk walizaliwa Palestine.
Uingereza ndiyo walioua Palestine na kuzalisha kidhabu Israel
KWA HABARI ZAIDI BONYEZA HAPA
 
Umeulizwa mfalme wewe unaleta noti. Watanzania shule haitusaidii. Kama ni currency hata German ostafrika ilikuwepo kabla ya Tanganyika je tulikuwa na dola ya Tanganyika?
Mkuu we ni muchknow sana. Haupo tayari kusikia usichokipenda. Fungua ubongo, sikiliza tafakari.
Na Tena usisahau changia maoni yako huku ukiamini kwamba wazo lako si Bora kuliko yote. Ukubali challenge jibu ki ungwana
 
Back
Top Bottom