HahahFungeni zipu na vyupi hivyo...
Wanateseka msijipe moyo ooh mbona hawakondi mbona hawafi wakiwa mifupa...hilo tizi la dawa daily ni zaidi ya kukongoroka....
Unakuwa mwaminifu kumbe mwenzako kiguu na njia, haya mambo ni kuomba tu tuyaepuke.Fungeni zipu na vyupi hivyo...
Wanateseka msijipe moyo ooh mbona hawakondi mbona hawafi wakiwa mifupa...hilo tizi la dawa daily ni zaidi ya kukongoroka....
Bora kuogopa kuliko kuwa shujaa na kufa kinyonge!!!naogopaa😭😭😭
Ndo la muhimu hilo..ukiwa mwaminifu Mungu kuna namna atakuepusha na mabalaa...Unakuwa mwaminifu kumbe mwenzako kiguu na njia, haya mambo ni kuomba tu tuyaepuke.
Vyote vinasababishwa na ngono zembe,so bado mzembe hachomoki!kunae hio homa ya ini ukimwi ukasome
I can't use itYani vijana sasa hivi ni kavu kavu huku wakiwa na fikra ya kuchukulia aids kwa uwepesi sana.
"aaah huyu haonekani kama ana ukimwi".
"aaah siku hizi sio kama zamani ukimwi haupo kirahisi rahisi".
Kama tunavyo amini siku hizi tunaweza kupatiana UTI kirahisi basi hivyo hivyo HIV/AIDS inakukamata kirahisi tu.
USE CONDOMS.
Tamgazo la mwaka 2004 miaka 20 imepita🎵🎵🎶Usione soo Sema naye, Kuhusu Kusubiri ,Kuwa mwaminifu au Tumia kondom..🎶🎶
Ishi campaign..
View attachment 2927239
Madogo wa 95-2003 hawaelewi hii kitu[emoji444][emoji444][emoji445]Usione soo Sema naye, Kuhusu Kusubiri ,Kuwa mwaminifu au Tumia kondom..[emoji445][emoji445]
Ishi campaign..
View attachment 2927239
Aisee miaka ya 2000 ukimwi ulimaliza watu vibaya mnooooTamgazo la mwaka 2004 miaka 20 imepita
Wakina stara thomas, mr II, banana zoro
Kitambo sana
Hell of a fight 4 sureMadogo wa 95-2003 hawaelewi hii kitu
We came so far to fight for stigma and discrimination
Watu wengi umri ulioenda wanakunywa dawa kila siku
2000's kidogo awareness ilikuwepoAisee miaka ya 2000 ukimwi ulimaliza watu vibaya mnoooo
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ni 2002 mpaka 2003 mkuu..Tamgazo la mwaka 2004 miaka 20 imepita
Wakina stara thomas, mr II, banana zoro
Kitambo sana
2004 nakumbuka Kipindi hicho naangaia UEFA mwaka huo alichukua fc porto itv walikua wanaonyesha half time walikuwa wanaweka hilo Tangazo ni wimbo wakiwepo wakina stara thomas, banana zoro, solo thang na mr paulNi 2002 mpaka 2003 mkuu..
Sio 2004
Mkuu unaweza ukawa sawa ila usiwe sahihi..2004 nakumbuka Kipindi hicho naangaia UEFA mwaka huo alichukua fc porto itv walikua wanaonyesha half time walikuwa wanaweka hilo Tangazo ni wimbo wakiwepo wakina stara thomas, banana zoro, solo thang na mr paul
Miaka hiyo watu walizitafuna sana hela za ukimwi
Wanasema siku hizi hawaogopi Ukimwi wanaogopa Kisukari, wengi watakwambia Ukimwi haupo ndio maana wanatoa ushuhuda feki kwa mitume na manabii feki/wa mchongo eti wamepona HIVMkuu unaweza ukawa sawa ila usiwe sahihi..
Ishi campaign ilizinduliwa na Mwezi wa 11 mwaka 2001 na Waziri Mkuu wa Enzi hizo Fredrick Sumaye..
Na waliamza kuzindua Dar, Dodoma wakazindua December 2001..
Wakamalizia Iringa maana ndo kulikuwa na maambukizi makubwa January 2002..
Ila hayo mabango yote yalianza kuwekwa mwaka 2002 kama sijasahau mwezi June 2002, Mwisho wa mwkaa wa serkali 2001/2002..
Redioni ilianza mwaka 2002 na Nyimbo zilitungwa mwaka wa fedha 2002/2003..
Ile nyimbo ya usione soo ilitungwa 2003 mwezi wa nne
Inasikitisha labda kwa sababu siku hizi kuna ARV, Maana kipindi hicho ilikuwa hakuna ARV so ukipata HIV lazma ujiandae kisaikolojia aisee Maana hakuna Dawa..Wanasema siku hizi hawaogopi Ukimwi wanaogopa Kisukari, wengi watakwambia Ukimwi haupo ndio maana wanatoa ushuhuda feki kwa mitume na manabii feki/wa mchongo eti wamepona HIV