Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaKuna wale jamaa wa Telegram, yaan hamna anayevaa kondomu
Hahaahh ila watukuna kijana nilimsikia akiwachota wenzake eti ujue ukimwi sikuizi hauna nguvu unaweza kuishi nao bila hata kumeza dawa
nilimcheki!! nikamwambia usiombe kukutana na hiyo ndoige
Hqhqh2004 nakumbuka Kipindi hicho naangaia UEFA mwaka huo alichukua fc porto itv walikua wanaonyesha half time walikuwa wanaweka hilo Tangazo ni wimbo wakiwepo wakina stara thomas, banana zoro, solo thang na mr paul
Miaka hiyo watu walizitafuna sana hela za ukimwi
Ishi campaign haikuanza 2004 Mkuu ndiyo niliporekebishaUmemrekebisha jambo gani katika aliyosema? Upande wa kutokuwa sahihi
Tamgazo la mwaka 2004 miaka 20 imepita
Wakina stara thomas, mr II, banana zoro
Kitambo sana
Kuna ambao miili yao imeshindwa kucontrol sukari kwa asilimia 100 hao wanatumia dawa karibia kila siku sidhani na hili linahitaji ubishikaka kuna mahali umepotosha, si wote wenye visukari na age wanakunywa dawa kila siku. Kisukari si dawa kila siku, age si dawa kila siku. Ni wanatumia muda fulan basda ya hapo wanaacha na kuendelea na maisha.
Lakin hiyo sio justification against aids
unajua dini zina pumbaza, unlike ukimwi kisukar unaweza kuku reverse ukapona kabisa japo inahitaji jitihada. Ila ukimwi ni CHapa ya milele. Hao wanao puuza ndio wasambazaji
si kweli watu wenye visukari wanakunywa dawa kila siku, i have close people naishi nao even wengine kuwapeleka hospital. Wengi sikuizi wana fuata special diet si dawa. Na pia inategemea umefika level gani. kuna level kisukar unaweza kuki reverse ukarudi normal
Na pia si wenye old age wanakunywa dawa kila siku, asilimia ndogo sana the rest but all in all magonjwa kama hiyo sio fun kabisa, yasikukute
Ugongwa ni siri na sio swala la PRWanakunywa hata mbele ya umati bila kujificha ficha.
Dokta ushauri wako tafadhali
It possible ila kwenye pre na type 2. Lakini unahitaji heavy dedication, si jambo rahisi. Hao wenye 100 idadi yao ni wachache, mostly old age, the rest bado wako kwenye grace zone. Sio nabisha, nimekuwa kwenye field inayonifanya nikutane nao sana na kujua kiundaniKuna ambao miili yao imeshindwa kucontrol sukari kwa asilimia 100 hao wanatumia dawa karibia kila siku sidhani na hili linahitaji ubishi
Hao ambao wanatumia diet wapo kwenye stage za mwanzoni na sukari huwezi reverse asilimia kubwa wanaosema una reverse wanaacha kufuata masharti na kwenda clinic wanakuja stukia wana kidney failure
Watu wengi figo zinafeli kwa kudanganywa unaweza ponya sukariIt possible ila kwenye pre na type 2. Lakini unahitaji heavy dedication, si jambo rahisi. Hao wenye 100 idadi yao ni wachache, mostly old age, the rest bado wako kwenye grace zone. Sio nabisha, nimekuwa kwenye field inayonifanya nikutane nao sana na kujua kiundani
Figo kufeli hiyo ni advanced level, which is type 1. Hiyo hakuna return. Hizo level zingine its possible kwa kukata sukari kabisa out of your life. Shida ni watu hawazingatiiWatu wengi figo zinafeli kwa kudanganywa unaweza ponya sukari
Hawaendi clinics na hawatumii dawa baada ya mda figo zinafeli ndo maana kuna watu wengi na idadi inaongezeka kwa sababu wanaamini unaweza tibu kisukari
Ukimwi sio kabisa love
Yaani ni dawa mpaka tukome na tusikie au sio Masikio??Watu wengi umri ulioenda wanakunywa dawa kila siku
Watu wenye pressure wanakunywa dawa kila siku
Watu wenye colestrol wanakunywa dawa za colestrol kila siku
Watu wa kisukari wanakunywa dawa kila siku