Wanakwambia wanaogopa Kisukari sio UKIMWIInasikitisha labda kwa sababu siku hizi kuna ARV, Maana kipindi hicho ilikuwa hakuna ARV so ukipata HIV lazma ujiandae kisaikolojia aisee Maana hakuna Dawa..
Dawa zimeanza kuingia miaka ya 2010s...
So Ndo maana wengi wana Jeuri maana Wamatumia Dawa so ni Vigumu kumjua..
Na hakuna Anayepona Ukimwi wanawadamganya Tu
Stop fornication... Condoms ni sawa na chanjo ... nothing less, nothing more...USE CONDOMS
Unakula Chenza na maganda yake,Stop fornication... Condoms ni sawa na chanjo ... nothing less, nothing more...
Aisee... umenikbusha Kampeni hii...[emoji444][emoji444][emoji445]Usione soo Sema naye, Kuhusu Kusubiri ,Kuwa mwaminifu au Tumia kondom..[emoji445][emoji445]
Ishi campaign..
View attachment 2927239
Kuna wale jamaa wa Telegram, yaan hamna anayevaa kondomuYani vijana sasa hivi ni kavu kavu huku wakiwa na fikra ya kuchukulia aids kwa uwepesi sana.
"aaah huyu haonekani kama ana ukimwi".
"aaah siku hizi sio kama zamani ukimwi haupo kirahisi rahisi".
Kama tunavyo amini siku hizi tunaweza kupatiana UTI kirahisi basi hivyo hivyo HIV/AIDS inakukamata kirahisi tu.
USE CONDOMS.
Nyimbo 2003 Mwezi wa nne MkuuNaongelea hio nyimbo na sio ishi
ARVs zimeanza kutolewa 2004 au 2005 sio 2010'sInasikitisha labda kwa sababu siku hizi kuna ARV, Maana kipindi hicho ilikuwa hakuna ARV so ukipata HIV lazma ujiandae kisaikolojia aisee Maana hakuna Dawa..
Dawa zimeanza kuingia miaka ya 2010s...
So Ndo maana wengi wana Jeuri maana Wamatumia Dawa so ni Vigumu kumjua..
Na hakuna Anayepona Ukimwi wanawadamganya Tu
Uko sawa kabisa mkuu!ARVs zimeanza kutolewa 2004 au 2005 sio 2010's
Hivi kale kakifaa kakujipima mwenyewe kanauzwa sh ngapi 😢Yani vijana sasa hivi ni kavu kavu huku wakiwa na fikra ya kuchukulia aids kwa uwepesi sana.
"aaah huyu haonekani kama ana ukimwi".
"aaah siku hizi sio kama zamani ukimwi haupo kirahisi rahisi".
Kama tunavyo amini siku hizi tunaweza kupatiana UTI kirahisi basi hivyo hivyo HIV/AIDS inakukamata kirahisi tu.
USE CONDOMS.
hamna starehe kubwa dunian kama hiyo.vwe hupendiNa unavyopenda kutombw.a sasa hilo neno umelitoa kutoka uvunguni wa moyo
eti ngoma kitu gani wakati sikio pia linangoma na halijawah kuacha kusikiaUmemalizia vizuri sana mkuu, we pigwa pipe tu wala waskutishe kwa ngoma
kwenye homa ya ini risk ni kubwa sana jasho la mgonjwa wa ini mkigusana umenasa haiambukizwi kwa ngono tu ni vile Mungu anatulinda na wala hatuna habarVyote vinasababishwa na ngono zembe,so bado mzembe hachomoki!
kuna mtoto hum?Umelitamka kwa mapana yake, dah!! Siku hizi tushasahau tafsida.
Nazidi kusisitiza watu wapigwe pipe tu...😋eti ngoma kitu gani wakati sikio pia linangoma na halijawah kuacha kusikia
kua makini n muhimuNazidi kusisitiza watu wapigwe pipe tu...😋
Wanakunywa hata mbele ya umati bila kujificha ficha.Watu wengi umri ulioenda wanakunywa dawa kila siku
Watu wenye pressure wanakunywa dawa kila siku
Watu wenye colestrol wanakunywa dawa za colestrol kila siku
Watu wa kisukari wanakunywa dawa kila siku
Umemrekebisha jambo gani katika aliyosema? Upande wa kutokuwa sahihiMkuu unaweza ukawa sawa ila usiwe sahihi..
Ishi campaign ilizinduliwa Mwezi wa 11 mwaka 2001 na Waziri Mkuu wa Enzi hizo Fredrick Sumaye..
Na waliamza kuzindua Dar, Dodoma wakazindua December 2001..
Wakamalizia Iringa maana ndo kulikuwa na maambukizi makubwa January 2002..
Ila hayo mabango yote yalianza kuwekwa mwaka 2002 kama sijasahau mwezi June 2002, Mwisho wa mwkaa wa serkali 2001/2002..
Redioni ilianza mwaka 2002 na Nyimbo zilitungwa mwaka wa fedha 2002/2003..
Ile nyimbo ya usione soo ilitungwa 2003 mwezi wa nne
kaka kuna mahali umepotosha, si wote wenye visukari na age wanakunywa dawa kila siku. Kisukari si dawa kila siku, age si dawa kila siku. Ni wanatumia muda fulan basda ya hapo wanaacha na kuendelea na maisha.Watu wengi umri ulioenda wanakunywa dawa kila siku
Watu wenye pressure wanakunywa dawa kila siku
Watu wenye colestrol wanakunywa dawa za colestrol kila siku
Watu wa kisukari wanakunywa dawa kila siku
unajua dini zina pumbaza, unlike ukimwi kisukar unaweza kuku reverse ukapona kabisa japo inahitaji jitihada. Ila ukimwi ni CHapa ya milele. Hao wanao puuza ndio wasambazajiWanasema siku hizi hawaogopi Ukimwi wanaogopa Kisukari, wengi watakwambia Ukimwi haupo ndio maana wanatoa ushuhuda feki kwa mitume na manabii feki/wa mchongo eti wamepona HIV
si kweli watu wenye visukari wanakunywa dawa kila siku, i have close people naishi nao even wengine kuwapeleka hospital. Wengi sikuizi wana fuata special diet si dawa. Na pia inategemea umefika level gani. kuna level kisukar unaweza kuki reverse ukarudi normalWatu wengi umri ulioenda wanakunywa dawa kila siku
Watu wenye pressure wanakunywa dawa kila siku
Watu wenye colestrol wanakunywa dawa za colestrol kila siku
Watu wa kisukari wanakunywa dawa kila siku
Zama zimebadilika zamani ngono haikuwa burudaniVitabu vitakatitifu na babu zetu hawakuwa wajinga kutuasa tuoe (hasa bikra) na tuikwepe zinaa, yani sex ni ruhusa ila tufanye na watu tunaoaminiana, kila moja ana jukumu la usalama wa mwenzake pamoja na familia.
Haya magonjwa yamewekwa pabaya sana, shuguhuli ya dakika kadhaa inakupa majuto mpaka kifo.