Aliyekuwa Mbunge Wa Siha Mkoani Kilimanjaro Godwin Molel amekamatwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru katika kata ya orkolili akidaiwa kufanya kampeni akiwa na gari ya serikali
Usiku
Inadaiwa kuwa Mbunge huyo amekuwa akifanya kampeni huku akiwalaghai wajumbe kuwa yeye ametumwa na Rais na yeye ni mteule Wa Rais Rais
Tayari moto umewaka... Ng'ombe alie katwa mkia[emoji16][emoji16][emoji16]
Huko Orkolili ni kwa Wamaasai wenzake.. Alidhani Ccm hawana akili kama yeye.. Hata toboa. Ona na Mzee wa jikune karudi home.. Sasa mtajua ni nani katumwa na Mh. Rais