Uchaguzi 2020 Ni kama vile Dkt. Mollel wa Siha amekalia kuti kavu, Agrey Mwanri anarejea Jimboni!

Uchaguzi 2020 Ni kama vile Dkt. Mollel wa Siha amekalia kuti kavu, Agrey Mwanri anarejea Jimboni!

Huyu Laizer tunapo elekea anaweza kuokota nyumba, sio kwa favor hiyo...
Ahhaa ndo maana watu wanapenda kwa waganga....hhha akutafuta vismati..Sasa hapa SoMo la kismati na kujituma linapoeleweka
 
Aliyekuwa Mbunge Wa Siha Mkoani Kilimanjaro Godwin Molel amekamatwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru katika kata ya orkolili akidaiwa kufanya kampeni akiwa na gari ya serikali
Usiku

Inadaiwa kuwa Mbunge huyo amekuwa akifanya kampeni huku akiwalaghai wajumbe kuwa yeye ametumwa na Rais na yeye ni mteule Wa Rais Rais




Tayari moto umewaka... Ng'ombe alie katwa mkia[emoji16][emoji16][emoji16]
Huko Orkolili ni kwa Wamaasai wenzake.. Alidhani Ccm hawana akili kama yeye.. Hata toboa. Ona na Mzee wa jikune karudi home.. Sasa mtajua ni nani katumwa na Mh. Rais
 
Siasa ni sayansi.

Kustaafu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mh. Mwanri siyo habari njema kwa mbunge wa Siha mh Dr Mollel.

Kipingamizi pekee kilichokuwa kinamfunga mh Mwanri kugombea ubunge ni nafasi yake ya ukuu wa mkoa ambayo amestaafu rasmi.

Tusubiri na Tarime vijijini tuone rangi ya CCM.

Maendeleo hayana vyama!
Cheap politicians can be bought and sold
 
Alafu kuna dili lingine tena kapiga huyo Laizer mtaskia tu kwenye social networks soon Kama wataamua kuweka wazi.

Mkuu weka wazi ww, usingoje wengine waweke.
 
Mwanri alikuwa anadanganya live bungeni enzi zile ni naibu waziri. Alikuwa anaongea uongo grade 1 huku katoa jicho zaidi ya Kabudi. Huyu ubunge hafai. Apumzike, ale pension taratibu na atulie na wajukuu
Mwongo na mnafiki wote sawa tu!
 
Mwanri alikuwa anadanganya live bungeni enzi zile ni naibu waziri. Alikuwa anaongea uongo grade 1 huku katoa jicho zaidi ya Kabudi. Huyu ubunge hafai. Apumzike, ale pension taratibu na atulie na wajukuu
Hao ndio watu wanaotakiwa na watawala kwa maana "uongo unapaswa kuaminiwa kuwa ndio ukweli!"
 
Aliyekuwa Mbunge Wa Siha Mkoani Kilimanjaro Godwin Molel amekamatwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru katika kata ya orkolili akidaiwa kufanya kampeni akiwa na gari ya serikali
Usiku

Inadaiwa kuwa Mbunge huyo amekuwa akifanya kampeni huku akiwalaghai wajumbe kuwa yeye ametumwa na Rais na yeye ni mteule Wa Rais Rais




Tayari moto umewaka... Ng'ombe alie katwa mkia[emoji16][emoji16][emoji16]
Huko Orkolili ni kwa Wamaasai wenzake.. Alidhani Ccm hawana akili kama yeye.. Hata toboa. Ona na Mzee wa jikune karudi home.. Sasa mtajua ni nani katumwa na Mh. Rais
Huyo ubunge atausikia hewani kwa TV
 
Mwanri alikuwa anadanganya live bungeni enzi zile ni naibu waziri. Alikuwa anaongea uongo grade 1 huku katoa jicho zaidi ya Kabudi. Huyu ubunge hafai. Apumzike, ale pension taratibu na atulie na wajukuu
Kumzidi Trump?
 
Back
Top Bottom