Damu changa kwani wanaenda kuzalishwaMwanri si alikosa 2015!..yaan mnabadilishana tu..tunahitaji viongozi wenye damu changa..! Kwani Jimbo ni lake? Jimbo ni la Wana Siha.
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damu changa kwani wanaenda kuzalishwaMwanri si alikosa 2015!..yaan mnabadilishana tu..tunahitaji viongozi wenye damu changa..! Kwani Jimbo ni lake? Jimbo ni la Wana Siha.
Anaangushwa tena na CHADEMAMwanri atapita kama mshale
Jibu zuri sana mkuu hilo, akirudi nistue!!
Hahahaaaa...... Hahahaaaa......... Duh!
Bora arudi bungeni MwanriMwanri atapita kama mshale
Kuna watu humu Kazi yao kuwatafutia ulaji wengineMwanri si alikosa 2015!..yaan mnabadilishana tu..tunahitaji viongozi wenye damu changa..! Kwani Jimbo ni lake? Jimbo ni la Wana Siha.
Aliwahi kuwa mbunge wa Siha na naibu waziri Tamisemi akiwa na kasimu MajaliwaHivi aliwahi kuwa mbunge? sina kumbukumbu
Hahaha Nani huyo Opps usimtajekipara ngoto ajiandae kwenda kuchunga mbuzi
Dah..jf sihami..dah nimecheka Sana .!
Unasahau Sana mkuu...yes aliwahi..alikua kivutio Sana bungeniHivi aliwahi kuwa mbunge? sina kumbukumbu
Wanaboa..boss naomba nikuchek jioni tupeane feedback...huez jua tukawa wa kiNa Laizer🤭Kuna watu humu Kazi yao kuwatafutia ulaji wengine
Utafikiri Wana pasu wanapewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Unasoma darasa la ngapi? kwaniniumeiba simu ya mzee wako na kuja ku comment huku? Vitoto vya sikuhizi bana.Hivi aliwahi kuwa mbunge? sina kumbukumbu
Huyo ni Bavicha mkongwe!Unasoma darasa la ngapi? kwaniniumeiba simu ya mzee wako na kuja ku comment huku? Vitoto vya sikuhizi bana.