johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Muda siyo rafiki....... Dr Mollel ataungana na Dr Mashinji hospitali!Usishangae tume ikiligawa jimbo la SIHA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda siyo rafiki....... Dr Mollel ataungana na Dr Mashinji hospitali!Usishangae tume ikiligawa jimbo la SIHA
Alafu kuna dili lingine tena kapiga huyo Laizer mtaskia tu kwenye social networks soon Kama wataamua kuweka wazi.Wanaboa..boss naomba nikuchek jioni tupeane feedback...huez jua tukawa wa kiNa Laizer[emoji2960]
Alafu kuna dili lingine tena kapiga huyo Laizer mtaskia tu kwenye social networks soon Kama wataamua kuweka wazi.
Kwa CCM utakuwa umemuuza mkuu, hawezi kuyashinda ma-CHADEMABora Mwanri, anakubalika agombee kwa ccm au chadema anapita bila kupingwa
Wataambukizana Corona haoIkitokea Mwanri na Kabudi wakakaa meza moja bungeni basi dekio litahusika maana daaaah!
Hahaha huko hapana
Ila mabos mjini hawatatuweza kwa mpnga
Yule mzee jpili ndy anaingia mjini kutoka kule nlikokwambia,
Umenichekesha mmb ya laizer[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Kuna jiwe lilitolewa kwenye mgodi wake pamoja na yale mawe mawili limekamatwa watu waliliiba likashikwa pale getini jana.like 6Kg
Ule ukuta umesaidia sana hamna janja janja tena.Hakyanani! Mwenye nacho huongezewa..inakuwaj wanakamatwa jamani?? Ah..mie niliwah pewa mawe nipitishehahhaa nikaweka kwa bra..dadek! Pyee
Nadhani hatokujibu tena umemmaliza.Angalia uongozi wa Chadema kwa mfano... Mbowe, Mrema, Munisi nk!
PoleniUle ukuta umesaidia sana hamna janja janja tena.
hata uenyekiti cdm inahitajika damu changa na isiyochanganyika na bapa, naunga mkono hoja.Mwanri si alikosa 2015!..yaan mnabadilishana tu..tunahitaji viongozi wenye damu changa..! Kwani Jimbo ni lake? Jimbo ni la Wana Siha.
Na kwa jinsi meko alivyo, haya maneno yako yanaweza timia bwashee hasa ukizingatia upungufu wa rasilimali watu tulio nao kwenye mediko fildi.Muda siyo rafiki....... Dr Mollel ataungana na Dr Mashinji hospitali!
Huyu Laizer tunapo elekea anaweza kuokota nyumba, sio kwa favor hiyo...Boss katusua zaidi??? Uwiii
Wale washazoea kuchota[emoji38][emoji38][emoji38]! Hapa mjini kundi la wanawake wanajiita G5! Hahhaa...Wana ukwasi kias Cha mboga..natamani Sana Sana kuwepo huko mwakani boss..inshallah![emoji1732][emoji1732]
Angalia 'kanda pendwa' ilivyotamalaki. kama hukupata uongozi awamu hii na wewe ni kanda pendwa pole sana.Hasa Chadema!
Usijaribu....Hakyanani! Mwenye nacho huongezewa..inakuwaj wanakamatwa jamani?? Ah..mie niliwah pewa mawe nipitishehahhaa nikaweka kwa bra..dadek! Pyee