Uchaguzi 2020 Ni kama vile Dkt. Mollel wa Siha amekalia kuti kavu, Agrey Mwanri anarejea Jimboni!

Uchaguzi 2020 Ni kama vile Dkt. Mollel wa Siha amekalia kuti kavu, Agrey Mwanri anarejea Jimboni!

Mwanri anachukua jimbo mapema asubuhi, ule upepo wa UKAWA ya Lowassa ndio ilimharibia Mwanri huko Siha, sasa hivi, anapita fasta tu..
Karibu bunge lijalo Mh. Mwanri
 
Hahaha huko hapana
Ila mabos mjini hawatatuweza kwa mpnga
Yule mzee jpili ndy anaingia mjini kutoka kule nlikokwambia,
Umenichekesha mmb ya laizer[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

😆😆😆! Hapa mjini kundi la wanawake wanajiita G5! Hahhaa...Wana ukwasi kias Cha mboga..natamani Sana Sana kuwepo huko mwakani boss..inshallah!🤸🤸
 
Kuna jiwe lilitolewa kwenye mgodi wake pamoja na yale mawe mawili limekamatwa watu waliliiba likashikwa pale getini jana.like 6Kg

Hakyanani! Mwenye nacho huongezewa..inakuwaj wanakamatwa jamani?? Ah..mie niliwah pewa mawe nipitishehahhaa nikaweka kwa bra..dadek! Pyee
 
Mollel asubiri wale wanaopewaga ubunge na Rais. Jimbo la siha hawezi kupewa.mwandri atapewa jimbo
 
Muda siyo rafiki....... Dr Mollel ataungana na Dr Mashinji hospitali!
Na kwa jinsi meko alivyo, haya maneno yako yanaweza timia bwashee hasa ukizingatia upungufu wa rasilimali watu tulio nao kwenye mediko fildi.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]! Hapa mjini kundi la wanawake wanajiita G5! Hahhaa...Wana ukwasi kias Cha mboga..natamani Sana Sana kuwepo huko mwakani boss..inshallah![emoji1732][emoji1732]
Wale washazoea kuchota
Kutafuta hawawezi....
Kuna mtu alishazoea kuchota Hela na alikuwa nayo
Sahv anauliza Hvi nyie 1000 mnaizalishaji na kuwa 2000 nkamwambia tulia hivyo hivyo

Ova
 
Back
Top Bottom