Uchaguzi 2020 Ni kama vile Dkt. Mollel wa Siha amekalia kuti kavu, Agrey Mwanri anarejea Jimboni!

CCM ina wenyewe molel awe mjasilimali tu
 
Mwanri ni kabila gani?

Ni kosa kuuliza kabila la mtu na haswa kama wewe ni Mtanzania na mzalendo. Swali lako nikusaidie kidogo; ‘Mhe Mwanri katoka mkoa gani’? Just simple and clear.
 
[emoji1787][emoji1787]sisiemu hana rafiki
 
Wazee wa Siha walimligia magoti Mwanri na kumuomba msamaha wanataka achukue jimbo mchanaa kweupeeeeee....bye bye Mollel ..bye bye msaliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…