olinkobole j
Senior Member
- Aug 24, 2019
- 121
- 65
CCM ina wenyewe molel awe mjasilimali tuSiasa ni sayansi.
Kustaafu kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mh. Mwanri siyo habari njema kwa mbunge wa Siha mh Dr Mollel.
Kipingamizi pekee kilichokuwa kinamfunga mh Mwanri kugombea ubunge ni nafasi yake ya ukuu wa mkoa ambayo amestaafu rasmi.
Tusubiri na Tarime vijijini tuone rangi ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Mwanri ni kabila gani?
[emoji1787][emoji1787]sisiemu hana rafikiAliyekuwa Mbunge Wa Siha Mkoani Kilimanjaro Godwin Molel amekamatwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru katika kata ya orkolili akidaiwa kufanya kampeni akiwa na gari ya serikali
Usiku
Inadaiwa kuwa Mbunge huyo amekuwa akifanya kampeni huku akiwalaghai wajumbe kuwa yeye ametumwa na Rais na yeye ni mteule Wa Rais Rais
Tayari moto umewaka... Ng'ombe alie katwa mkia[emoji16][emoji16][emoji16]
Huko Orkolili ni kwa Wamaasai wenzake.. Alidhani Ccm hawana akili kama yeye.. Hata toboa. Ona na Mzee wa jikune karudi home.. Sasa mtajua ni nani katumwa na Mh. Rais
Atawasukuma wote ndani na kuwatupa wengine kule.Mwanri atapita kama mshale
Kabisa kuliko huyo poyoyoBora arudi bungeni Mwanri
Unataka kugundua sayari mpya ama nini?Mwanri ni kabila gani?
Kasaidie Bukoba tetemeko na ukimwiUnataka kugundua sayari mpya ama nini?