Ni kampuni gani unanunua mwani?

Ni kampuni gani unanunua mwani?

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Wakuu vipi?

Nina Imani wote mu wazima, ni kampuni gani kwa dar hapa inanunua mwani wakuu? Bei ya kilo ikoje?

Nawezaje na naanzaje kupata mteja nje ya nchi ikiwezakana wakuu?
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    12 KB · Views: 11
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    11.8 KB · Views: 12
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    11.9 KB · Views: 14
Pengine alimaanisha mwani. Unajua "u" na "i" kwenye keyboard zipo karibu.
Anhaa
Mkuu,hivi una kazi Gani specific?
Mwani Ina kazi nyingi sana. Ni raw material kwa makampuni yanayotengeneza virutubisho na yale yanayotengeza vipodozi. Mwani unatengeza scrubs n some lotions na powder.

Kuna nchi mwani ni supu. Wanachemsha na kula. Lakini pia Ina madini nyingi sana.. inashauriwa kula endapo kama unaishi mazingira ambayo samaki wa bahari hawafiki kwani mwani Ina madini joto, chuma na mengineyo.

Wat wenye mimba wanashauriwa kula huu kuepusha kuzaa watoto wenye borne deformations kama matege na rickets. Pia watu wazima kula, ili kuepukana na rovu au goita kwani HISTORIA inaonyesha pia, fact, ni maeneo yaliyo mbali na bahari watu wake wako kwenye risk ya kupata magonjwa hayo.

Mwaka 1948 mikoa ya nyanda za juu kusini, watu Kijiji kizima walivimba shingo (goitre) na hii ilishauriwa kutumika kwani circle ya samaki bahari kufika kule ni mtihani.
 
Anhaa

Mwani Ina kazi nyingi sana. Ni raw material kwa makampuni yanayotengeneza virutubisho na yale yanayotengeza vipodozi. Mwani unatengeza scrubs n some lotions na powder.

Kuna nchi mwani ni supu. Wanachemsha na kula. Lakini pia Ina madini nyingi sana.. inashauriwa kula endapo kama unaishi mazingira ambayo samaki wa bahari hawafiki kwani mwani Ina madini joto, chuma na mengineyo.

Wat wenye mimba wanashauriwa kula huu kuepusha kuzaa watoto wenye borne deformations kama matege na rickets. Pia watu wazima kula, ili kuepukana na rovu au goita kwani HISTORIA inaonyesha pia, fact, ni maeneo yaliyo mbali na bahari watu wake wako kwenye risk ya kupata magonjwa hayo.

Mwaka 1948 mikoa ya nyanda za juu kusini, watu Kijiji kizima walivimba shingo (goitre) na hii ilishauriwa kutumika kwani circle ya samaki bahari kufika kule ni mtihani.
Ooh safi sana,je nikitaka Kwa level tu ya matumizi binafsi unapatikana wapi?
 
Ooh safi sana,je nikitaka Kwa level tu ya matumizi binafsi unapatikana wapi?
Hiki ni kilimo common sana Zanzibar vijijini. Bara Kuna watu washayatoa kwenye hali ya ughafi na kupakia kwenye packages. Kilo nadhani ni 30000 net. Sijajua nani anauza ila ukijua namna ya kuundaa na utakuwa na tokeo gani nitakuletea kilo kama nne hiv mana narudi dsm soon
 
Hiki ni kilimo common sana Zanzibar vijijini. Bara Kuna watu washayatoa kwenye hali ya ughafi na kupakia kwenye packages. Kilo nadhani ni 30000 net. Sijajua nani anauza ila ukijua namna ya kuundaa na utakuwa na tokeo gani nitakuletea kilo kama nne hiv mana narudi dsm soon
Unaniletea Kwa sh ngapi au zawadi 😔?
 
Back
Top Bottom