Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetumiwa voice note na PDF za maelekezoToa darasa mkuu.. upo wa kutosha hapa
Anhaaa. Nitumie hizo voice note nakuachia namba pmNimetumiwa voice note na PDF za maelekezo
PowaaaAnhaaa. Nitumie hizo voice note nakuachia namba pm
Wakuu vipi?
Nina Imani wote mu wazima, ni kampuni gani kwa dar hapa inanunua mwani wakuu? Bei ya kilo ikoje?
Nawezaje na naanzaje kupata mteja nje ya nchi ikiwezakana wakuu?
Sijawahi kuwa vision kubwa kias hiki ingawa natamani kufika huko. Kwa sasa ninapambana kuwa supplier wa malighafi kwa viwanda aidha vidogo au kati nipo capital accumulation stageRaw materials unazo kwanini usifikirie kuanzisha kiwanda wewe mwenyewe
Kilo elfu 15 tu mkuuUnauzaje Kwa sisi watumiaji wadogo?
Mkuu,Kilo elfu 15 tu mkuu
Unapatikana maeneo Gani daslamKilo elfu 15 tu mkuu
Dsm nahana mkuu, ila nikija napatikana kijichiUnapatikana maeneo Gani daslam
wapi huko na sisi tukauze.Kilo elfu 15 tu mkuu
Kuna wanaouza Kilo moja kwa 80000 - 100000😅🥲😇🤣Hiki ni kilimo common sana Zanzibar vijijini. Bara Kuna watu washayatoa kwenye hali ya ughafi na kupakia kwenye packages. Kilo nadhani ni 30000 net. Sijajua nani anauza ila ukijua namna ya kuundaa na utakuwa na tokeo gani nitakuletea kilo kama nne hiv mana narudi dsm soon
Kilo ukiwa umesaga ama bado haijasafishwa?Dsm nahana mkuu, ila nikija napatikana kijichi
HaijasagwaKilo ukiwa umesaga ama bado haijasafishwa?