Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Asee hadi kua mywake,,,,,,na mie nna mwani geto njoo maiNi kweli kabisa, sitokuangusha mywangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee hadi kua mywake,,,,,,na mie nna mwani geto njoo maiNi kweli kabisa, sitokuangusha mywangu
🤣🤣🤣Sitaki wako naupenda wa mywanguAsee hadi kua mywake,,,,,,na mie nna mwani geto njoo mai
Limeisha HiloUtaniachia address pm mana nahis ndani ya siku nne hiz nitakuwa dar
Unajua kuutumia?Limeisha Hilo
Dah mwana kawini kilainii🤣🤣🤣Sitaki wako naupenda wa mywangu
Yes,Joannah wadada wote wanaofatilia Natural beauty wanaujua kutumia huu
Si Kila sehemu unatumia nguvu kwingine akili tuDah mwana kawini kilainii
HuuYes,
Kuna wadada Wana upromote MWANI wenyewe wanaita WANAUZA UTELEZI
Wanamaanisha unaongeza utelezi ama?Yes,
Kuna wadada Wana upromote MWANI wenyewe wanaita WANAUZA UTELEZI
Sijui,ila Kwa maelezo ya mtoa mada Nimepata mwanga na nitagoogle....vipi unaweza kunipa Moja na mbili?Unajua kuutumia?
Kwakweli na mie nipe address nikuletee mwani wa nyongezaSi Kila sehemu unatumia nguvu kwingine akili tu
NdioWanamaanisha unaongeza utelezi ama?
Ngoja niweke picha
Natoa darasa bure kwako namna mbalimbali ya kutumia. Utaona faida zake. Ukiupata nitagSijui,ila Kwa maelezo ya mtoa mada Nimepata mwanga na nitagoogle....vipi unaweza kunipa Moja na mbili?
Wanamaanisha unaongeza utelezi ama?
Sawa nitaichimba
Nashauri darasa lianze hapa Leo kabla ya mzigo.asanteNatoa darasa bure kwako namna mbalimbali ya kutumia. Utaona faida zake. Ukiupata nitag
Good😋Ndio
Toa darasa mkuu.. upo wa kutosha hapa
Anishukuru na mimi mpatanishi. 😂Dah mwana kawini kilainii