Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Miaka 59 ya uhuru.Bado akina mama wanandoo kichwani kumbe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 59 ya uhuru.Bado akina mama wanandoo kichwani kumbe?
Endeleeni kupigika mtapata akili tuMimi ni mkazi wa Kanda ya Ziwa ila tunachangamoto kubwa ya maji.
Cha kwanza awamu hii gharama ya maji imepanda sana na maji yenyewe ni ya shida.
Hebu imagine ziwa lipo within 30 km ila maji mnapewa kwa mgao. Kunamaeneo mwanza hii maji yanapatikana usiku tu. Sasa afadhali na uko. Kuna pengine maji yanafunguliwa mara moja kwa wiki.
Hawa wabunge tuliochagua ndyo bure kabisa. Mbali na maji ila barabara vumbi ndyo hovyo kabisa.
Umekaribia uchaguzi ndyo wamezikwangua kihuni huni tu mvua imepiga mara moja tu kwisha mabonde kuinama kama kawaida.
Sasa ni hivi, kura mtapigiwa na mandege mliyonunua.
tena wana ndoo kichwani, mtoto mgongoni. peku-peku miguuni.Bado akina mama wanandoo kichwani kumbe?
Hata mwanza kuna maeneo maji 24/7 yapo. Hasa maeneo ya mjini kati na vigogo wanapoishi. Ila changanikeni ndyo tunapata hii tabuWakati wewe unayeliona ziwa ukisota,mtu aliyeko Shinyanga anatumia maji hayohayo ya ziwa hilohilo 24/7.
Too Sad yaani Buhongwa tunaamka tunaona Ziwa huyoooo.Eti halafu kuna shida ya maji. Stupid policies.Halafu kutwa kunyooshea vidole mabeberu. Hivi mabeberu wanazuia msijenge mabomba na kuwa na huduma ya maji yasiyokatika katika ?
Yeah nimeisha Mhandu 2006-2008 mabomba yalikuwa mapambo tu.Hata mwanza kuna maeneo maji 24/7 yapo. Hasa maeneo ya mjini kati na vigogo wanapoishi. Ila changanikeni ndyo tunapata hii tabu
Vipi mkuu shato nako kuna mgawo wa maji?Mimi ni mkazi wa Kanda ya Ziwa ila tunachangamoto kubwa ya maji.
Cha kwanza awamu hii gharama ya maji imepanda sana na maji yenyewe ni ya shida.
Hebu imagine ziwa lipo within 30 km ila maji mnapewa kwa mgao. Kunamaeneo mwanza hii maji yanapatikana usiku tu. Sasa afadhali na uko. Kuna pengine maji yanafunguliwa mara moja kwa wiki.
Hawa wabunge tuliochagua ndyo bure kabisa. Mbali na maji ila barabara vumbi ndyo hovyo kabisa.
Umekaribia uchaguzi ndyo wamezikwangua kihuni huni tu mvua imepiga mara moja tu kwisha mabonde kuinama kama kawaida.
Sasa ni hivi, kura mtapigiwa na mandege mliyonunua.
Dah, kumekucha!Too Sad yaani Buhongwa tunaamka tunaona Ziwa huyoooo.Eti halafu kuna shida ya maji. Stupid policies.Halafu kutwa kunyooshea vidole mabeberu. Hivi mabeberu wanazuia msijenge mabomba na kuwa na huduma ya maji yasiyokatika katika ?
Sawa wamama zetu na watoto watasota na ndoo kichwani ila msipoteze muda kutuomba kura zetu. Kaombeni kura mandege mliyonunuaSi mkachoke tu kwa mkokoteni na ‘mpilya’.... maji unayaona halafu unasubiri serikali ije ikuingizie!
Kuna mjumbe humu kashajibu swali lako tyarVipi mkuu shato nako kuna mgawo wa maji?
Kumbe Victorie nawe upo kwenye jiji hili! Huku kwetu Bwiru, maji, barabara usiseme. Lakini ukienda mikoa mingine wanaamini huku Kanda ya Ziwa tunapendelewa.Too Sad yaani Buhongwa tunaamka tunaona Ziwa huyoooo.Eti halafu kuna shida ya maji. Stupid policies.Halafu kutwa kunyooshea vidole mabeberu. Hivi mabeberu wanazuia msijenge mabomba na kuwa na huduma ya maji yasiyokatika katika ?
Ni laana mkuuCCM ni balaa
Basi wameridhika na shida ya maji, huwa naona wasukuma wamebeba madumu ya maji kwenye baiskeli na wengine kutumia mikokoteni ya ng'ombe kukokota madumu ya maji, haya mwendo mdundo..Fikiria maeneo yanayounda ya wilaya ya sengerema mfano vijiji vya nyamatongo, nyamilillo, nyamtelela, ibondo nk vyote vina shida kubwa ya maji pamoja na kuwa viko siyo zaidi ya kilomita 20 kutoka lilipo ziwa vikitoria. Nenda wilaya za misungwi, kwimba na Magu, Kote huko maji ni shida sana. na mara zote CCM hushinda kwa kishindo maeneo hayo.
Una maana akamalizie kwanza kujifunza kusoma na kuandika pale darasa la pili.
Sawa wamama zetu na watoto watasota na ndoo kichwani ila msipoteze muda kutuomba kura zetu. Kaombeni kura mandege mliyonunua
Mkiwapigia kura tena mtakuwa mambulula.Mimi ni mkazi wa Kanda ya Ziwa ila tunachangamoto kubwa ya maji.
Cha kwanza awamu hii gharama ya maji imepanda sana na maji yenyewe ni ya shida.
Hebu imagine ziwa lipo within 30 km ila maji mnapewa kwa mgao. Kunamaeneo mwanza hii maji yanapatikana usiku tu. Sasa afadhali na uko. Kuna pengine maji yanafunguliwa mara moja kwa wiki.
Hawa wabunge tuliochagua ndyo bure kabisa. Mbali na maji ila barabara vumbi ndyo hovyo kabisa.
Umekaribia uchaguzi ndyo wamezikwangua kihuni huni tu mvua imepiga mara moja tu kwisha mabonde kuinama kama kawaida.
Sasa ni hivi, kura mtapigiwa na mandege mliyonunua.