Uchaguzi 2020 Ni Kanda ya Ziwa ila maji tunapata kwa masaa na unataka tukupigie kura tena?

Ha ha ha kweli wewe zero hasa. Kwani Kanda ya ziwa unaishi peke yako?. Adui yako, rafiki wa mwenzako..
 
Hii itakuwa balaaa Sasa Yani Kila Kona kumbe Hamna kitu,,ndonaelewa kwanini waliwapaka watu super group mdomoni ,,
 
Uko bulale ndugu yangu anamradi wakuuza maji. Kanunua matank maji yakiingia anajaza. Ila yanaingia kwa nadra sana. Kunakipind anakosa maji wiki nzima
achane naye kumjibu niko mwanza najua hali ya kila mahali,hali ya maji ni mbaya sanaaaaaaaaa
 
Ahahahah
 
Too Sad yaani Buhongwa tunaamka tunaona Ziwa huyoooo.Eti halafu kuna shida ya maji. Stupid policies.Halafu kutwa kunyooshea vidole mabeberu. Hivi mabeberu wanazuia msijenge mabomba na kuwa na huduma ya maji yasiyokatika katika ?
Ndiyo ushangae mkuu
 
Kanda ya ziwa maji yapo 24/7
Kwa hilo Magu amejitahidi.
Tena huko interior watu wanatumia hadi heater daah sijui ni kanda ya ziwa ipi.
 
Too Sad yaani Buhongwa tunaamka tunaona Ziwa huyoooo.Eti halafu kuna shida ya maji. Stupid policies.Halafu kutwa kunyooshea vidole mabeberu. Hivi mabeberu wanazuia msijenge mabomba na kuwa na huduma ya maji yasiyokatika katika ?
Sasa wewe unaona ziwa hilo hapo unasubiri maji siukachote ziwani, ngoja nikukute hauna maji hakyamungu utaniona
 
sikia ukienda mita thelasthini chini kisima kuna maji ila wasukuma ni wajinga wa ccm hakyamungu ukweli ni huo
Mita 30 wapi foot 20 unapata maji, upepo upo wakutosha ukifunga windmill unapata maji Hadi unauzia na majirani unafuga na samaki
 
Mwamba yuko bize na kununua ndege,wakati kuna baadhi ya maeneo tanzania wanakunywa maji ya kijivu,colourless wanayaonaga kwenye tv tu
 
Uko bulale ndugu yangu anamradi wakuuza maji. Kanunua matank maji yakiingia anajaza. Ila yanaingia kwa nadra sana. Kunakipind anakosa maji wiki nzima
Kuna plant inajengwa Butimba kwa ajili ya kusupply eneo kubwa la Nyamagana na ile ya Capri point ibaki kusupply maeneo ya Ilemela so nadhani tatizo litapungua au kuisha kabisa.
Ila na nyie wakazi wa Mwanza mkome kuendekeza uzawa katika chaguzi zenu. Mnawaacha watu waelewa, wenye exposure na experience ya kuishi mijini mnawachagua wazawa wenzenu kisa ni ndugu zenu. Mtu kakulia maisha ya kushea maji na mifugo kwenye madimbwi halafu unampa uenyekiti au udiwani halafu utegemee ataguswa na mtaa/kata kukosa maji? Yaani unategemea Rais aje akuletee bomba la la inch 2.5 kusupply maji mtaa unaoishi? Hii si miradi ime ndani ya uwezo wa MWAUWASA! Hapa anaepaswa kuwasumbua na kuwatia pressure si mwenyekiti au diwani, ila anafanyaje wakati akishanawa uso na miguu kwake amemaliza matumizi ya maji? Si wengi wamekuzwa kutotumia hata maji chooni!

Hata historia inaonyesha Mwanza manispaa ilibadilishwa na Ole Njorai sio hao wazawa.
 
Hapa ni Bariadi, Simiyu wananchi wanamdhamini Rais ajaye.

Ili mpate maji kwa masaa 24 siku 7 za wiki twendeni na Lissu huyo mwingine mwonyesheni mlango wa kutokea. Hana skills za uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…