Ni kauli au neno gani ulilotamka ndani ya familia hadi leo unajutia?

Ni kauli au neno gani ulilotamka ndani ya familia hadi leo unajutia?

Adolph Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
5,950
Reaction score
9,511
Je, ni kauli gani uliyotamka ndani ya familia ikaleta taharuki na hamaki ambayo hadi leo unajutia na kuomba siku au wakati urudi nyuma uweze kuifuta kama siyo kuirekebisha?

Kwa upande wangu kuna siku nilishikwa na hasira nikamwambia mwanamke aandae vitu vyake maana nitamfukuza ila nikamsamehe. Hadi leo mwanamke akifanya kosa nikijaribu kuwa mkali tu ananikumbusha "Vipi niandae vitu utanifukuza?" Nikiwa mkali utasikia hii kauli "Kwetu sijaua." Daaaah!

Siku nyingine baada ya kuamshwa kula chakula nikatoka na bukta chumbani kuja sebuleni, kumbe shem yupo bila kufahamu, kufunua pazia na dushe limesimama la usingizini aisee!
 
Hapo mwanamke ameshakudharau...😀😀😀
 
Ulifanya kosa kubwa sana kusamehe. Ilibidi umuache aende hata kwa siku moja halafu ndio usamehe.
Na siku mkizinguana tena akakuuliza aondoke mwambie tena sasa hivi. Maana keshakuona joka la kibisa.

Huyo shemeji aliyeona dushe ni wa kike au wa kiume? Kama wa kiume ndio iwe fundisho kukaa kaa kwa mashemeji ila kama wa kike kutokana na reaction yake inaweza ikawa akiba ya kula kimasihara siku nyingine.
 
S
Ulifanya kosa kubwa sana kusamehe. Ilibidi umuache aende hata kwa siku moja halafu ndio usamehe.
Na siku mkizinguana tena akakuuliza aondoke mwambie tena sasa hivi. Maana keshakuona joka la kibisa.

Huyo shemeji aliyeona dushe ni wa kike au wa kiume? Kama wa kiume ndio iwe fundisho kukaa kaa kwa mashemeji ila kama wa kike kutokana na reaction yake inaweza ikawa akiba ya kula kimasihara siku nyingine.
Shemeji wa kike yaani daah
 
Siku moja mjomba yangu aliniuzi sana nikataka kumwambia kuanzia leo sio ndugu yangu tena ilibaki nusu sekunde tu niropoke ila sijui ilikuwaje nikaghairi ila ningejutia sana kama ningesema ile kauli [emoji846]R.I.P uncle!,ila kuna brother yangu nilishawahi kumwambia hivyo ni miaka 18 hatujatafutana hadi leo na wala sijutii
 
Je ni kauli gani uliyotamka ndani ya familia ikaleta taharuki na hamaki ambayo hadi leo unajutia na kuomba siku au wakati urudi nyuma uweze kuifuta kama siyo ku-edit...

Kwa upande wangu kuna siku nilishikwa na hasira nikamwambia mwanamke aandae vitu vyake maana nitamfukuza ila nikamsamehe,

Hadi leo mwanamke akifanya kosa nikijaribu kuwa mkali tu ananikumbusha "vipi niandae vitu, utanifukuza"?

Nikiwa mkali utasikia hii kauli -"kwetu sijaua"..

Daaaah..!

Siku nyingine baada ya kuamshwa kula chakula nikatoka na bukta chumbani kuja sebuleni kumbe shem yupo bila kufahamu, kufunua pazia na dushe limesimama la usingizini aisee....
Mimi niliwaambia nahamia Burundi.
 
Je ni kauli gani uliyotamka ndani ya familia ikaleta taharuki na hamaki ambayo hadi leo unajutia na kuomba siku au wakati urudi nyuma uweze kuifuta kama siyo ku-edit...

Kwa upande wangu kuna siku nilishikwa na hasira nikamwambia mwanamke aandae vitu vyake maana nitamfukuza ila nikamsamehe,

Hadi leo mwanamke akifanya kosa nikijaribu kuwa mkali tu ananikumbusha "vipi niandae vitu, utanifukuza"?

Nikiwa mkali utasikia hii kauli -"kwetu sijaua"..

Daaaah..!

Siku nyingine baada ya kuamshwa kula chakula nikatoka na bukta chumbani kuja sebuleni kumbe shem yupo bila kufahamu, kufunua pazia na dushe limesimama la usingizini aisee....
Mfukuze siku moja ndio atatia akili. Kashakuona nyuki wa machine 😂😂😂
 
Hapo uliharibu sn ulitakiwa umuache aende na usmtafute mpk arud mwnyw kwa kuomb msamaha ogopa sn mwanamke akshakuweza kwny jambo fulan yan mwanamke akfkia hatua ya mpk anakwambia kama vp tuachane tu au kama umenichoka sema nisepe nawe ukawa mpole aisee umeisha hzo n stage za kuelekea kukutawala sku akitamka hvyo mwambie sepa hata saivi aksepa we funga mlango endelea na mambo yako wala usiulzie huko kwao kikubwa wape taarifa mtoto wao anakuja huko ameondoka hapo kwako kwmb anakuja huko ustoe maelezo mengne, nakuhakikshia hamaliz wk huyo kikubwa usmtafute.
 
Hii siwezi toa ushuhuda cos mimi ni wale wanaume ambao tukiuziwa tunaondoka eneo la tukio na kutafuta sehemu ilio tulia huko sitaki buguza nijinunishe hadi hasira ziishe ndio nianze mimi kuwaongelesha.
 
"usijar mshua we msomeshe mwanao mimi niache tu naomba mungu anipe afya njema hivi hivi"

nilimwambiaga mshua baada ya kupishana kauli adi leo nahisi inamuumiza sana hii kauli hasa kira ninacho fanya sjawai kumuomba msaada wala kumshirikisha kwa lolote japo yeye huwa ananiambiaga hatua zake[emoji37][emoji37][emoji37]
 
Duuh nahofia anaweza kupitilizia huko huko, moja kwa moja nikala hasara na alivyonona..!..[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Ngoja nimzalishe zalishe kwanza
Alitishia kuondoka na watoto nikamjibu nenda muda huo saa 3 usiku. Akafungasha mabegi na kuyatoa nje namtazama tu. Nikamsikia anapiga simu kuita bajaj, mara mbona hufiki tu mda unazidi kwenda.. nikazima tv nkaingia kulala, nmekuja kustuka saa saba usiku ikabidi nikaangalie kama alifunga milango wakati anaondoka. Hee! nakuta mabegi yapo nje palepale nikayaingiza ndani ndo namkuta amelala usingiz chumba cha watoto. Kimoyo moyo nikasema shenziiii.
Hakuna hasara wapo wengi sana hawa wanawake huyo ushachemka kumsamehe hapo hapo
 
Ulifanya kosa kubwa sana kusamehe. Ilibidi umuache aende hata kwa siku moja halafu ndio usamehe.
Na siku mkizinguana tena akakuuliza aondoke mwambie tena sasa hivi. Maana keshakuona joka la kibisa.

Huyo shemeji aliyeona dushe ni wa kike au wa kiume? Kama wa kiume ndio iwe fundisho kukaa kaa kwa mashemeji ila kama wa kike kutokana na reaction yake inaweza ikawa akiba ya kula kimasihara siku nyingine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]
 
Back
Top Bottom