Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Mimi nilimuuliza kama ananipenda kweli akaniambia yeye hana chuki na mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuPole sana kijana.
🤣
Ndio maana najiuliza,mbona watanzania wenzangu asilimia kubwa afya mgogoro ...kumbe mapenzi yanamaliza vitamins mwilini.Asante mkuu
Yule nyoko popote alipo, au basi tuMimi nilimuuliza kama ananipenda kweli akaniambia yeye hana chuki na mtu.
😂😂😂Nilimuomba mbususu akanijibu, Nitazoea vibaya 😥😂
Ila nyie wanawake.Mapenzi🙌🏼😂
Kila siku lazima nyuzi zake ziandikweMapenzi🙌🏼😂
Ukaishia kula kwa macho?🤣Nilimuomba mbususu akanijibu, Nitazoea vibaya 😥😂
Alifanyaje mkuu?Yule nyoko popote alipo, au basi tu
Tumefanya nini mkuu?Ila nyie wanawake.
Mkuu alikuweza🤣Aliniambia mwili wake sio wa majaribio