Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wewe alikua anakuona ni mporipori wa kutoka huko meatu ndani ndani?Aliniambia saiv ametulia na mimi ana amani kabisa, maana vijana watanashati hawaaminik washamuumiza sana nikajisemea moyoni mwangu kheee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka nilijitosa kumwandikia sms ya mahaba na kumuamsha hisia ila alinijibu "USJALI MKUU"
Jamaniiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]me: nakupenda
her: au siyo?
Si ndo hapo, kumbe mi mwenyew muhuni tuKwamba alikuwa anakuona wewe PASTOR
Yes! Hapa kweli tatizo ni ukosefu wa pesa, tafuta helaaa narudia tena hizo PESA zisake sanaaaIla kuna watu wana dharau aisee yaani limtu linaonesha kukuelewa nikatupia nyavu pale
"Nakupenda" likasema asante
nikamuambiaaa sema kitu basi roho itulie likajibu "Hautaniwezaa kabisaaaaa" kweli ngoja nikazane kutafuta hela tu aisee hamna siku nilijisikia vibaya kama hiyo siku aisee ...
Lukamba anasema "tafuta hela mchawi hela ukweli wanakupenda tatizo hela ndo nikajua pale kumbee Ni kweliYes! Hapa kweli tatizo ni ukosefu wa pesa, tafuta helaaa narudia tena hizo PESA zisake sanaaa
Sio siri ni kitu kibaya Sana kuachwa kwa kejeli na dharau tu kisa hauna PESA daaahh😭😭Lukamba anasema "tafuta hela mchawi hela ukweli wanakupenda tatizo hela ndo nikajua pale kumbee Ni kweli
Yule hajielewiiii badoo yaani nakatongoza kanajitetea visingizio vya ajabu sanaaa "mara kanasema kana tabia mbaya mara nini" mara niniSio siri ni kitu kibaya Sana kuachwa kwa kejeli na dharau tu kisa hauna PESA daaahh😭😭
Mimi bana mwanaume akiniomba pesa najua hapa hakuna mapenzi na sitaki hata kuona bichwa lake tenaahh!! 😹