Ni kauli gani aliisema ukajua kabisa hakupendi?

Ni kauli gani aliisema ukajua kabisa hakupendi?

1726522571127.jpg
 
Ila kuna watu wana dharau aisee yaani limtu linaonesha kukuelewa nikatupia nyavu pale
"Nakupenda" likasema asante

nikamuambiaaa sema kitu basi roho itulie likajibu "Hautaniwezaa kabisaaaaa" kweli ngoja nikazane kutafuta hela tu aisee hamna siku nilijisikia vibaya kama hiyo siku aisee ...
 
Back
Top Bottom