ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
๐๐๐๐๐Alisema kanikubalia kwasababu mi mtu mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Alisema kanikubalia kwasababu mi mtu mzima
Tena nyingi za malalamikoKila siku lazima nyuzi zake ziandikwe
Moto unawahusu.Tumefanya nini mkuu?
mapenzi ni ushenzi sana, ngoja ninywe maji, nitaleta kisa chote soonAlifanyaje mkuu?
Mimi nitoe jamani๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMoto unawahusu.
Walewale๐คฃMimi nitoe jamani๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Takwimu zinaonyesha nyie jinsia ke ndo mnazingua kwa aslimia kubwaTena nyingi za malalamiko
Eeeh jamani sio kweliTakwimu zinaonyesha nyie jinsia ke ndo mnazingua kwa aslimia kubwa
Najua unajua ukweli ila unatetea jinsia yako, waunk humu kila siku visa haviishi ila vyenu hatuvioniEeeh jamani sio kweli
Japo asilimia kubwa ya matatizo huwa ni nyinyi wenyewe
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMimi nilimuuliza kama ananipenda kweli akaniambia yeye hana chuki na mtu.
Sasa hapo kibaya ni nini alikujibu?nakumbuka kuna demu nilimwambia nakupenda
akajibu ...hahahaha joe wewe uko funny sana
nilihisi kama mguu mmoja unaishiwa nguvu
ni mwaka wa tatu sasa nakumbuka hii sms