Ni kawaida Serikali kuwasaidia wananchi wake hali ya maisha inapokuwa ngumu

Biashara zao vichwani maana yake ni kwamba mf. Mjomba wako anakwambia Michele hapa kilosa ni shs 1600 anakwambia njoo uchukue hata gunia 200, at the same time unajua kabisa dar ni 2000-2500, maana yake biashara nyingi za Watanzania ndivyo zilivyo mkuu TUJITEGEMEE
 
Hii kitu hata viongozi wa nchi hawana habari nayo .utasikia ukiwa na hati miliki utakopa bank as if ndo kigezo pekee binafsi nilishawahi kutinga bank na hati kama tatu ,mkikaa wanakwambia leta cash flow yako
wenyewe bankers wanakuambia cash is king.. ni bora kuwa na biashara nzuri bila dhamana unaweza pata mkopo ila sio unakuwa na dhamana bila biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…