David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Pole sana2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu,ndani hakulaliki,naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake .
Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!!
Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.
Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi
Make unaweza kuoa mwingine,Mama utampata wapi?Mkuu mkuu usikufuru kama hauoni umuhimu wa mzazi potezea na sio kuanza kumuombea kifo kisa mtu uliyekutana nae ukubwani. Mzazi ana umuhimu wake na mke,mume ana umuhimu wake pia. Jambo usilolijua au kulifahamu asilimia kubwa ya wanawake wapo tayari kumpoteza Mume na sio mtoto au mzazi wazazi wake.
Pole kwa msiba
Pole sanaPole sana.
Ingawa kwangu nahisi wazazi inauma zaidi maana tuna baba mmoja tu na mama mmoja… Paka leo huwa naweweseka nikikumbuka moment na dingi yangu
Mchumba wangu alipata miscarriage, aliumia sana. Ajabu akaniambia ni bora angenipoteza mimi! I was perplexed! Since then I learned mke siyo ndugu yako. They're too selfish.Mkuu mkuu usikufuru kama hauoni umuhimu wa mzazi potezea na sio kuanza kumuombea kifo kisa mtu uliyekutana nae ukubwani. Mzazi ana umuhimu wake na mke,mume ana umuhimu wake pia. Jambo usilolijua au kulifahamu asilimia kubwa ya wanawake wapo tayari kumpoteza Mume na sio mtoto au mzazi wazazi wake.
Pole kwa msiba
Wewe utakuwa ni malaya,hakuna kitu spendi kama watoto wangu kulelewa na mama mwingine.Make unaweza kuoa mwingine,Mama utampata wapi?