Ni kheri ufiwe na mzazi kuliko kufiwa na mume/mke

Ni kheri ufiwe na mzazi kuliko kufiwa na mume/mke

Mkuu pole sana. Ila inaonekana we huna huruma na ni mbinafsi sana. Yan unahisi kufiwa na mke kunauma kuliko kufiwa na mzazi just imagine watoto wanajisikiaje kumpoteza mama yao. Ubinafsi ni pale unahisi wewe ndio mwenye maumivu wao hawana maumivu that is not fair. Kuwa na fikra pengine ndio inapelekea haya maumivu kuchukua muda sana kupona.

Hebu kuwa strong kwa ajili ya familia yao kwa sababu hata wao wamepoteza mama.
 
2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.

Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!

Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.

Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Amka mkuu kumekucha.

Yaani ktk ulimwengu huu huu unadiriki kusema ni kheri ufiwe na....kuliko kufiwa....?
Huu mlinganyo wako kwa upande wangu siyo sahili.
Kifo kisikie mbaaaali na siyo kufiwa na yeyote wa karibu nawe iwe ni ukaribu wa damu ama uhusiano wa kirafiki (mahusiano).
Pengo linalo achwa na mwanadamu kutokana na umauti halizibiki.
 
Mkuu pole sana. Ila inaonekana we huna huruma na ni mbinafsi sana. Yan unahisi kufiwa na mke kunauma kuliko kufiwa na mzazi just imagine watoto wanajisikiaje kumpoteza mama yao. Ubinafsi ni pale unahisi wewe ndio mwenye maumivu wao hawana maumivu that is not fair. Kuwa na fikra pengine ndio inapelekea haya maumivu kuchukua muda sana kupona.

Hebu kuwa strong kwa ajili ya familia yao kwa sababu hata wao wamepoteza mama.
Umenea vyema mkuu.
 
2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.

Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!

Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.

Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Pole sana! Ujaliwe ujasiri wa kukabiliana na hali halisi.
 
2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.

Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!

Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.

Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Mimi yote yaliishanitokea. Nilifiwa na baba; nikafiwa na mama; nikafiwa na mtoto; na mwisho nikafiwa na mke. Hapo katikati nilifiwa na kaka watano na dada watatu. Kila kimoja wa vifo hivyo kina uzito wake. Huwezi kulinganisha kwamba afadhali hiki kuliko kile.
 
Mkuu mkuu usikufuru kama hauoni umuhimu wa mzazi potezea na sio kuanza kumuombea kifo kisa mtu uliyekutana nae ukubwani. Mzazi ana umuhimu wake na mke,mume ana umuhimu wake pia. Jambo usilolijua au kulifahamu asilimia kubwa ya wanawake wapo tayari kumpoteza Mume na sio mtoto au mzazi wazazi wake.

Pole kwa msiba
Yaani mimi nina hisi huyu ndugu yetu ana msongo wa mawazo (matatizo ya kiakili).
 
Mimi yote yaliishanitokea. Nilifiwa na baba; nikafiwa na mama; nikafiwa na mtoto; na mwisho nikafiwa na mke. Hapo katikati nilifiwa na kaka watano na dada watatu. Kila kimoja wa vifo hivyo kina uzito wake. Huwezi kulinganisha kwamba afadhali hiki kuliko kile.
Pole sana kwa misiba mizito!
 
2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.

Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!

Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.

Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.
Sema basi lkn nilitaka nikwambie hivi;
Hivi km mkeo angekuwepo ukamwambia afanye uchaguzi wa kumuua mtu mmoja kati ya mzazi wake ama wewe mmewe unadhani angelimchagua nani?
 
umekufuru ile mbaya
unafananisha mzazi na mambo ya kijinga aisee
Ukiwa umepata ugonjwa mkubwa wewe ni wa kitandani muda wote, umefulia huwezi kuhudumia mke na watoto

Mke anaweza kukukimbia ila kuna mtu anaitwa mama huyo atashikamana na wewe na kukuhudumia, kukutunza na kukutia moyo mpaka ufe au upone na kurudia hali yako
 
2019 nilifiwa na mke wangu hakika maumivu yake ni mazito,nyumba naiona chungu, ndani hakulaliki, naisikia harufu ya mke wangu mpaka sasa nikiingia ndani nasikia sauti yake.

Mke amefariki amekuachia watoto wadogo 3!

Kwa ambao hamjapitia hii changamoto ombeni sana Mungu awaepushe nayo.

Huu ni mwaka wa 4 lakini bado sijaweza kupata ahueni nimeenda kwa psychologist lakini wapi.

Pole sana mkuu
Mshukuru Mungu kwa uhai wake, mshukuru kwa watoto
Pambana kusimama kwenye nafasi yake kwa watoto wenu3
 
Back
Top Bottom