incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
HABARI WAKUU, Nimekuwa nikijiuliza hili swali Mara nyingi sana na majibu nilliyokuja kuyapata hakika MTU anaeitwa Tajiri wanapesa nyingi sana, nimegundua hili zaman katika harakati za kutafta tonge ilikuwa hata kuingiza buku3 kwa siku ilikuwa mbinde sana
Yaani nilikuwa nikikaa naamini kabisa nikipata mchongo ambao walau kwa siku naweza Ku make buku 10 kwa siku nitakuwa nimetoboa, harakat zikaendelea mungu ikafikia hatua nikawa naingiza hata 20 elfu kwa siku ila cha ajabu maisha yakabaki vilevile hakuna lililobadilika maisha yakawa yaleyale tu.
Hapa nikawa nawaza walau ikitokea nikawa na uwezo wa kuingiza 30 kwa siku ndio nitakuwa nishatoboa, harakati zikaendelea kweli mungu si Mshana nikajikuta hiyo pesa inaingia kwa siku tena mda mwingine kwa masaa machache tu ila cha kushangaza maisha yakabaki vilevile yaani hakuna kilichokuja kuwa na unafuu bado nilikuwa najiona wa kiwango cha chini zaidi.
Bado hata pesa ya kulipa kodi ilikuwa inapatikana kwa shida vilevile, bado nikaona walau nikiingiza hata 50 elfu kwa siku hapo sasa nitakuwa ni viwango vingine kabisa kweli bana harakati zimeendelea kusema kweli hadi sasa kwa siku uhakika wa kuingiza 70 elfu hadi 10k na zaidi kwa siku inaingia tena bila kutumia nguvu
Ila ninachoshangaa bado mambo ni tia maji tia maji yaani Mimi sio lolote sio chochote pamoja kuwa naingiza 100k kwa siku ila cha ajabu hata mtaani sionekani wa maana Niko vilevile yaani naonekana bado nipo kwenye kundi la Wagonga ulimbo AKA tia maji tia maji.
Sina heshima sawa na kama nilivyokuwa nikidhania kuwa nikiwa na uhakika wa kuingiza 100K kwa siku nitakuwa na mwonekano kama wao yaani bado wako vilevile, na kwa maisha budget yangu kwa Siku kiwango cha matumizi 30000 hadi 50000 kwa siku na hapo ni Siku ambazo sina galama za ziada kama kuchakata mbususu za michepuko etc, lakini bado sipati heshima wala kuwafikia wale watu ambao mwanzo nilidhani nitawafikia nikiwa na income kiwango flan perday!
Hapa kwa ambae pengine hajafikia kiwango kiwango hicho perday income atajua nazingua ila wadau ambao wanaingiza hiko hili wanalitambua vizuri,
My take ni kwamba vijana tutafte pesa ili tuishi ila utajiri ni mgum sana tena sana!
Yaani nilikuwa nikikaa naamini kabisa nikipata mchongo ambao walau kwa siku naweza Ku make buku 10 kwa siku nitakuwa nimetoboa, harakat zikaendelea mungu ikafikia hatua nikawa naingiza hata 20 elfu kwa siku ila cha ajabu maisha yakabaki vilevile hakuna lililobadilika maisha yakawa yaleyale tu.
Hapa nikawa nawaza walau ikitokea nikawa na uwezo wa kuingiza 30 kwa siku ndio nitakuwa nishatoboa, harakati zikaendelea kweli mungu si Mshana nikajikuta hiyo pesa inaingia kwa siku tena mda mwingine kwa masaa machache tu ila cha kushangaza maisha yakabaki vilevile yaani hakuna kilichokuja kuwa na unafuu bado nilikuwa najiona wa kiwango cha chini zaidi.
Bado hata pesa ya kulipa kodi ilikuwa inapatikana kwa shida vilevile, bado nikaona walau nikiingiza hata 50 elfu kwa siku hapo sasa nitakuwa ni viwango vingine kabisa kweli bana harakati zimeendelea kusema kweli hadi sasa kwa siku uhakika wa kuingiza 70 elfu hadi 10k na zaidi kwa siku inaingia tena bila kutumia nguvu
Ila ninachoshangaa bado mambo ni tia maji tia maji yaani Mimi sio lolote sio chochote pamoja kuwa naingiza 100k kwa siku ila cha ajabu hata mtaani sionekani wa maana Niko vilevile yaani naonekana bado nipo kwenye kundi la Wagonga ulimbo AKA tia maji tia maji.
Sina heshima sawa na kama nilivyokuwa nikidhania kuwa nikiwa na uhakika wa kuingiza 100K kwa siku nitakuwa na mwonekano kama wao yaani bado wako vilevile, na kwa maisha budget yangu kwa Siku kiwango cha matumizi 30000 hadi 50000 kwa siku na hapo ni Siku ambazo sina galama za ziada kama kuchakata mbususu za michepuko etc, lakini bado sipati heshima wala kuwafikia wale watu ambao mwanzo nilidhani nitawafikia nikiwa na income kiwango flan perday!
Hapa kwa ambae pengine hajafikia kiwango kiwango hicho perday income atajua nazingua ila wadau ambao wanaingiza hiko hili wanalitambua vizuri,
My take ni kwamba vijana tutafte pesa ili tuishi ila utajiri ni mgum sana tena sana!