Ni kiasi gani ambacho MTU ukiwa na uhakika wa kuingiza kwa siku unaweza kuhesabika kama wewe ni Tajiri?

Ni kiasi gani ambacho MTU ukiwa na uhakika wa kuingiza kwa siku unaweza kuhesabika kama wewe ni Tajiri?

HABARI WAKUU, Nimekuwa nikijiuliza hili swali Mara nyingi sana na majibu nilliyokuja kuyapata hakika MTU anaeitwa Tajiri wanapesa nyingi sana, nimegundua hili zaman katika harakati za kutafta tonge ilikuwa hata kuingiza buku3 kwa siku ilikuwa mbinde sana yaani nilikuwa nikikaa naamini kabisa nikipata mchongo ambao walau kwa siku naweza Ku make buku 10 kwa siku nitakuwa nimetoboa, harakat zikaendelea mungu ikafikia hatua nikawa naingiza hata 20 elfu kwa siku ila cha ajabu maisha yakabaki vilevile hakuna lililobadilika maisha yakawa yaleyale tu.

Hapa nikawa nawaza walau ikitokea nikawa na uwezo wa kuingiza 30 kwa siku ndio nitakuwa nishatoboa, harakati zikaendelea kweli mungu si Mshana nikajikuta hiyo pesa inaingia kwa siku tena mda mwingine kwa masaa machache tu ila cha kushangaza maisha yakabaki vilevile yaani hakuna kilichokuja kuwa na unafuu bado nilikuwa najiona wa kiwango cha chini zaidi.

Bado hata pesa ya kulipa kodi ilikuwa inapatikana kwa shida vilevile, bado nikaona walau nikiingiza hata 50 elfu kwa siku hapo sasa nitakuwa ni viwango vingine kabisa kweli bana harakati zimeendelea kusema kweli hadi sasa kwa siku uhakika wa kuingiza 70 elfu hadi 10k na zaidi kwa siku inaingia tena bila kutumia nguvu ila ninachoshangaa bado mambo ni tia maji tia maji yaani Mimi sio lolote sio chochote pamoja kuwa naingiza 100k kwa siku ila cha ajabu hata mtaani sionekani wa maana Niko vilevile yaani naonekana bado nipo kwenye kundi la Wagonga ulimbo AKA tia maji tia maji.

Sina heshima sawa na kama nilivyokuwa nikidhania kuwa nikiwa na uhakika wa kuingiza 100K kwa siku nitakuwa na mwonekano kama wao yaani bado wako vilevile, na kwa maisha budget yangu kwa Siku kiwango cha matumizi 30000 hadi 50000 kwa siku na hapo ni Siku ambazo sina galama za ziada kama kuchakata mbususu za michepuko etc, lakini bado sipati heshima wala kuwafikia wale watu ambao mwanzo nilidhani nitawafikia nikiwa na income kiwango flan perday!

Hapa kwa ambae pengine hajafikia kiwango kiwango hicho perday income atajua nazingua ila wadau ambao wanaingiza hiko hili wanalitambua vizuri,

My take ni kwamba vijana tutafte pesa ili tuishi ila utajiri ni mgum sana tena sana!
HABARI WAKUU, Nimekuwa nikijiuliza hili swali Mara nyingi sana na majibu nilliyokuja kuyapata hakika MTU anaeitwa Tajiri wanapesa nyingi sana, nimegundua hili zaman katika harakati za kutafta tonge ilikuwa hata kuingiza buku3 kwa siku ilikuwa mbinde sana yaani nilikuwa nikikaa naamini kabisa nikipata mchongo ambao walau kwa siku naweza Ku make buku 10 kwa siku nitakuwa nimetoboa, harakat zikaendelea mungu ikafikia hatua nikawa naingiza hata 20 elfu kwa siku ila cha ajabu maisha yakabaki vilevile hakuna lililobadilika maisha yakawa yaleyale tu.

Hapa nikawa nawaza walau ikitokea nikawa na uwezo wa kuingiza 30 kwa siku ndio nitakuwa nishatoboa, harakati zikaendelea kweli mungu si Mshana nikajikuta hiyo pesa inaingia kwa siku tena mda mwingine kwa masaa machache tu ila cha kushangaza maisha yakabaki vilevile yaani hakuna kilichokuja kuwa na unafuu bado nilikuwa najiona wa kiwango cha chini zaidi.

Bado hata pesa ya kulipa kodi ilikuwa inapatikana kwa shida vilevile, bado nikaona walau nikiingiza hata 50 elfu kwa siku hapo sasa nitakuwa ni viwango vingine kabisa kweli bana harakati zimeendelea kusema kweli hadi sasa kwa siku uhakika wa kuingiza 70 elfu hadi 10k na zaidi kwa siku inaingia tena bila kutumia nguvu ila ninachoshangaa bado mambo ni tia maji tia maji yaani Mimi sio lolote sio chochote pamoja kuwa naingiza 100k kwa siku ila cha ajabu hata mtaani sionekani wa maana Niko vilevile yaani naonekana bado nipo kwenye kundi la Wagonga ulimbo AKA tia maji tia maji.

Sina heshima sawa na kama nilivyokuwa nikidhania kuwa nikiwa na uhakika wa kuingiza 100K kwa siku nitakuwa na mwonekano kama wao yaani bado wako vilevile, na kwa maisha budget yangu kwa Siku kiwango cha matumizi 30000 hadi 50000 kwa siku na hapo ni Siku ambazo sina galama za ziada kama kuchakata mbususu za michepuko etc, lakini bado sipati heshima wala kuwafikia wale watu ambao mwanzo nilidhani nitawafikia nikiwa na income kiwango flan perday!

Hapa kwa ambae pengine hajafikia kiwango kiwango hicho perday income atajua nazingua ila wadau ambao wanaingiza hiko hili wanalitambua vizuri,

My take ni kwamba vijana tutafte pesa ili tuishi ila utajiri ni mgum sana tena sana!
kuna makala moja inatoka marekani(utanisamehe nimesahau jina) swali liliuzwa TO WHAT EXTEND DOES A PERSON CONSIDERED TO BE RICH OR NOT POOR?
Jibu lilikuwa hivi
kwanza kwenye definition ya RICH or WEALTH ilisema kwa namna 2, utajiri ni pesa nyingi au vitu au bidhaa nying ambazo in a specific time has makert value,,
ila wakasema kuna watu hiyo DEFINATION KWAO SIO SAHIHI wao wanaamin utajiri ni kuwa na amani ya moyo tu au wengne wanaamin ukisaidia sana masikina bas ww ni tajiri n.k
n.b ukiwa tajiri haimaanish ndo unafuraha zaid

Turudi kwenye mada
mpaka mtu uitwe sio masikini kitu cha kwanza kabisa inabidi uwe na PESA CASH AU MALI ZENYE THAMAN ZISIZOPUNGUWA $2 MILLION sawa na tsh 4.5 bilioni,hicho ni kigezo cha kwanza

kigezo cha pili
au unakipato cha atleast $138,000 kwa mwaka sawa na zaidi ya tsh 300,000,000 kwa mwaka
ambapo kwa mwezi inabid uingize zaidi ya milioni 25 (25,000,000)
na kwa siku uingize atleast lak 8 na ushee (830,000)
naomba kuwasilisha mkuu
 
Sikia.

If you don't find a way to make money while you sleep, you will work until you die. Huyo ni Warren tajiri mkubwa kabisa.

Masualaa ya finance ni somo pana, soma vitabu, onana na washauri wa masuala ya finance.

Kauli ni ya kukata tamaa na ndivyo masikini wengi huwa tunafanya maamuzi mfano "siwezi" wakati tajiri anasema "nitawezaje?"..

So kama mindset yako kwamba kuwa tajiri ni ngumu utaendelea kua hapo hapo.

Ushauri: delete hio programu kichwani ya kwamba utajiri ni mgumu, kwa maana hata katika biblia inasema kinywa huumba.

Tengeneza namna ambayo utakuwa unaingiza pesa hata kama unakula papuchi.

Kingine wekeza sana kwenye assets, vitu ambavyo vinaingiza pesa mfukoni mwako na si vinavyotoa.

Hio ni kwa kuanzia tu, kunaa mengi ya kujifunza.
 
Jibu lilikuwa hivi
kwanza kwenye definition ya RICH or WEALTH ilisema kwa namna 2, utajiri ni pesa nyingi au vitu au bidhaa nying ambazo in a specific time has makert value,,
ila wakasema kuna watu hiyo DEFINATION KWAO SIO SAHIHI wao wanaamin utajiri ni kuwa na amani ya moyo tu au wengne wanaamin ukisaidia sana masikina bas ww ni tajiri n.k
n.b ukiwa tajiri haimaanish ndo unafuraha zaid

Turudi kwenye mada
mpaka mtu uitwe sio masikini kitu cha kwanza kabisa inabidi uwe na PESA CASH AU MALI ZENYE THAMAN ZISIZOPUNGUWA $2 MILLION sawa na tsh 4.5 bilioni,hicho ni kigezo cha kwanza

kigezo cha pili
au unakipato cha atleast $138,000 kwa mwaka sawa na zaidi ya tsh 300,000,000 kwa mwaka

naomba kuwasilisha mkuu
Duh, hii ni kwa mujibu wa utajiri wa Marekani na Ulaya au hata kwetu Africa Mkuu? Usikute waliotoa hii definition hawajui hata kama kuna watu huku dunia ya 3 kupata tu 1M kwa mwezi ni shughuli pevu.
 
Jikite kwenye kitafuta mpunga zaidi, wakati wa hiyo process hakikisha unafanya uwekezaji uwe na mali zinazokuingizia mpunga...
 
Hatari!! Ila akili huna mkuu
haha akili anazo mkuu ndio maana kawez kumake laki kwa siku sawa na 3m kwa mwez(mshahara wa madisi huo) na weng tu wameshndwa kufika hapo ila anachokosa huyu ni kukosa maarifa ya utunzaji pesa mi nachopenda ni mshauri ni KWANZA INABIDI AJUE KUWA SAFARI YAKE YA UCHUMI BADO INAENDELEA NA HAIJAFIKA kwenye climax kwahyo asilirelax then
BANA MATUMIZI YAKO MKUU
BANA MATUMIZI YAKO MKUU
BANA MATUMIZI
Nimerudia mara 3 kwa msisitizo coz nilivyokuelewa ni kipengele hcho ndo unafeli kumbuka LOW EXPENDITURE LEADS TO HIGHER INVESTMENT LEVEL and viceversa is true pia mtafute jamaa anaitwa JOEL NANAUKA AUTHOR kwenye economic mentoring aise yuko vizuri msearch fb,insta,twiter jina ni hlo hilo utanishukuru baadae
 
Inaonekana status yako ya maisha inapanda kadri kipato chako kinavyopanda. Ndio maana unakuwa unaendelea kustruggle kwa sababu pesa unayoingiza si kubwa ukilinganisha na maisha yako.

Jifunze kuishi status ya chini ya kipato chako na utapata pesa ya ziada kwa ajili ya akiba na investments.

Nilivyokuwa na miaka 19 nilipiga dili flani nikapata 4 mil mgao wangu net profit. Nikaanza yale ya maneno ya mtaani nikanunua bodaboda ila sikujiinua status kwa kuwa niliona bado pesa ni kidogo. Nilipata hasara ile boda ila kazi zikaendelea kuingia nilikuwa sikosi mil 2 at least kwenye akaunti

Miaka 21 nikaanza kuingiza pesa nyingi takribani 4 kila mwezi. Ghafla nikajikuta nina zaidi ya 25 mil kwenye akaunti sina cha kufanyia. Bata zikaanza. Nilisafiri na kula kama mil 20. Bahati nzuri biashara ilikuwa inaendelea kuingiza so 20 mil nikaendelea kuwa sikosi kwenye akaunti japokuwa by 23 mwishoni nilikuwa nishaingiza zaidi ya mil 100 ambazo nyingi zilikuwa zimepotea juu kwa juu.

Jambo hilo limenifunza. Nikatafuta sehemu nzuri ya kuishi ambayo nikajua sitahama muda wowote soon na kuendelea na kazi. Lifestyle yangu sikuibadilisha zaidi pia.

Nilipoanza kuingiza pesa nyingi zaidi (100 mil plus) nikawa sikimbizani na maisha ya anasa na nikabaki humble. Nashukuru Mungu nimeweza kufanya mazuri sana kwa pesa hizo badala ya kuila na bado akiba na investment nilizoweka ziko vizuri. Mpango ni kuendelea kuishi simple mpaka 35 na hata ikibidi 40 ili niwe na muda wa kutosha kujenga biashara nzuri zitazoingiza kipato cha kizazi hadi kizazi.
Hongera sana mkuu.
 
Kumbe humu JF tuna watu wenye maisha haya ya kuingiza 100M+ per month? Nilidhani haya mambo ni nadharia na stories za kusadikika ama fantasies. Hongera sana Mkuu. Siku moja uki-share ulivyoanza na kufikia level hii kibishara hatua kwa hatu utakuwa umetusaidia sana sisi wapambanaji huku chini.
Shukran sana mkuu. Ni bidii, nguvu na bahati kidogo tu ipo siku nitashare uzi.
 
haha akili anazo mkuu ndio maana kawez kumake laki kwa siku sawa na 3m kwa mwez(mshahara wa madisi huo) na weng tu wameshndwa kufika hapo ila anachokosa huyu ni kukosa maarifa ya utunzaji pesa mi nachopenda ni mshauri ni KWANZA INABIDI AJUE KUWA SAFARI YAKE YA UCHUMI BADO INAENDELEA NA HAIJAFIKA kwenye climax kwahyo asilirelax then
BANA MATUMIZI YAKO MKUU
BANA MATUMIZI YAKO MKUU
BANA MATUMIZI
Nimerudia mara 3 kwa msisitizo coz nilivyokuelewa ni kipengele hcho ndo unafeli kumbuka LOW EXPENDITURE LEADS TO HIGHER INVESTMENT LEVEL and viceversa is true pia mtafute jamaa anaitwa JOEL NANAUKA AUTHOR kwenye economic mentoring aise yuko vizuri msearch fb,insta,twiter jina ni hlo hilo utanishukuru baadae
Umeniandikia mimi au mletamada???
 
Inshu za pesa n ngumu mno,kuna mtu anaingiza buku 10 tu lakin ajabu yuko anajenga

Lakin wengine tunaingiza buku 30 lakin tumeshindwa hata kununua kiwanja
 
haha akili anazo mkuu ndio maana kawez kumake laki kwa siku sawa na 3m kwa mwez(mshahara wa madisi huo) na weng tu wameshndwa kufika hapo ila anachokosa huyu ni kukosa maarifa ya utunzaji pesa mi nachopenda ni mshauri ni KWANZA INABIDI AJUE KUWA SAFARI YAKE YA UCHUMI BADO INAENDELEA NA HAIJAFIKA kwenye climax kwahyo asilirelax then
BANA MATUMIZI YAKO MKUU
BANA MATUMIZI YAKO MKUU
BANA MATUMIZI
Nimerudia mara 3 kwa msisitizo coz nilivyokuelewa ni kipengele hcho ndo unafeli kumbuka LOW EXPENDITURE LEADS TO HIGHER INVESTMENT LEVEL and viceversa is true pia mtafute jamaa anaitwa JOEL NANAUKA AUTHOR kwenye economic mentoring aise yuko vizuri msearch fb,insta,twiter jina ni hlo hilo utanishukuru baadae
mkuu umeongea point kwanza kabisa niseme kwenye hicho kiasi nimebahatika kujenga nyumba ninayoishi thaman yake ni max 30mil.... changamoto majukum mkuu kuhusu investment nje ya nyumba na biashara sina kabisa mkuu na kila nikijaribu kuwekeza inashindikana Nina majukum makubwa sana ninasomesha watoto wa ndugu na familia nadhan hii hali ndio inanikwamisha kuhusu Huyo mdau aliesema sina akili nampongeza pia maana ni mtazamo wake ila nisingekosa akili nianzie kumake buku3 kwa wiki had now na make 100k kwa siku na zaidi, na ninavyohis atakuwa hajawai kuingiza hivyo ndio maana anaona angekuw yy angeshakuwa bakhresa
 
Punguza kujifananisha na ridhika na Hali yako...

Pole sana...
 
HABARI WAKUU, Nimekuwa nikijiuliza hili swali Mara nyingi sana na majibu nilliyokuja kuyapata hakika MTU anaeitwa Tajiri wanapesa nyingi sana, nimegundua hili zaman katika harakati za kutafta tonge ilikuwa hata kuingiza buku3 kwa siku ilikuwa mbinde sana yaani nilikuwa nikikaa naamini kabisa nikipata mchongo ambao walau kwa siku naweza Ku make buku 10 kwa siku nitakuwa nimetoboa, harakat zikaendelea mungu ikafikia hatua nikawa naingiza hata 20 elfu kwa siku ila cha ajabu maisha yakabaki vilevile hakuna lililobadilika maisha yakawa yaleyale tu.

Hapa nikawa nawaza walau ikitokea nikawa na uwezo wa kuingiza 30 kwa siku ndio nitakuwa nishatoboa, harakati zikaendelea kweli mungu si Mshana nikajikuta hiyo pesa inaingia kwa siku tena mda mwingine kwa masaa machache tu ila cha kushangaza maisha yakabaki vilevile yaani hakuna kilichokuja kuwa na unafuu bado nilikuwa najiona wa kiwango cha chini zaidi.

Bado hata pesa ya kulipa kodi ilikuwa inapatikana kwa shida vilevile, bado nikaona walau nikiingiza hata 50 elfu kwa siku hapo sasa nitakuwa ni viwango vingine kabisa kweli bana harakati zimeendelea kusema kweli hadi sasa kwa siku uhakika wa kuingiza 70 elfu hadi 10k na zaidi kwa siku inaingia tena bila kutumia nguvu ila ninachoshangaa bado mambo ni tia maji tia maji yaani Mimi sio lolote sio chochote pamoja kuwa naingiza 100k kwa siku ila cha ajabu hata mtaani sionekani wa maana Niko vilevile yaani naonekana bado nipo kwenye kundi la Wagonga ulimbo AKA tia maji tia maji.

Sina heshima sawa na kama nilivyokuwa nikidhania kuwa nikiwa na uhakika wa kuingiza 100K kwa siku nitakuwa na mwonekano kama wao yaani bado wako vilevile, na kwa maisha budget yangu kwa Siku kiwango cha matumizi 30000 hadi 50000 kwa siku na hapo ni Siku ambazo sina galama za ziada kama kuchakata mbususu za michepuko etc, lakini bado sipati heshima wala kuwafikia wale watu ambao mwanzo nilidhani nitawafikia nikiwa na income kiwango flan perday!

Hapa kwa ambae pengine hajafikia kiwango kiwango hicho perday income atajua nazingua ila wadau ambao wanaingiza hiko hili wanalitambua vizuri,

My take ni kwamba vijana tutafte pesa ili tuishi ila utajiri ni mgum sana tena sana!
Biashara gani unaifanya ndugu!? Naona ni miongoni mwa watu wenye bahati na tajir.
Hongera sn, kama inawezekana naomba a.b,c nami nitumie huenda nikatoka kwenye kipato cha 10000 per day nikaingia japo 30000 nitakua nimetoboa sana maisha.
 
utajiri ni mali unazo miliki kihalali hakuna makadirio ya kuingiza pesa kila siku mana kuna majanga,kuyumba kwa biashara, kuanguka kwa uchumi, hivyo hakuna kiwango maalumu..
 
Back
Top Bottom