Ni kigogo au fisadi gani papa amewahi kuburuzwa mahakamani tangu Rais Samia ashike usukani?

Ni kigogo au fisadi gani papa amewahi kuburuzwa mahakamani tangu Rais Samia ashike usukani?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Vigogo wako juu ya serikali awamu hii, wanatamba na kufanya wapendavyo. Na hakuna wa kufanya fyoko.

Hakuna kigogo yeyote wa serikali, hata waliotajwa na CAG kuwa wamefuja mali za umma ambaye ameburuzwa mahakamani hadi leo.

Mama anabakia kusema tu "stupid" lkn hayagusi haya majitu mazito kuliko serikali.

MaDC, maDED, maRC, maRAS, na maRPC wanainamisha vichwa chini wakipishana na gari za wakubwa zikiwa zinafanya yao. Acha kabisa.

Juzi hapa kuna uongozi wa wilaya moja hapa nchini, uliwaita wenyeviti wa serikali za mitaani na watendaji kata na kuwaamuru wayakusanye madubu yote yanayoendeshwa kinyume na utaratibu ktk maeneo yao.

Viongozi hao wa chini kabisa wa serikali wakageuka mbogo na kuanza kung'aka. Wakasema "hamjui madubu haya yanamilikiwa na nani kwa sehemu kubwa nchi hii? Ninyi mnaishi mbinguni kwamba hamuyaoni? Mbona hamuyakamati? Mnataka kutuangushia zigo sisi? Mkutano ukaishia hapo na maagizo yakaishia hapo.

Kama kwenu aliyetoboa ni mwendesha bodaboda kuwa mpole tu . Waache mafisadi watambe awamu hii.
 
Vigogo wako juu ya serikali awamu hii, wanatamba na kufanya wapendavyo. Na hakuna wa kufanya fyoko.

Hakuna kigogo yeyote wa serikali, hata waliotajwa na CAG kuwa wamefuja mali za umma ambaye ameburuzwa mahakamani hadi leo.

Mama anabakia kusema tu "stupid" lkn hayagusi haya majitu mazito kuliko serikali.

MaDC, maDED, maRC, maRAS, na maRPC wanainamisha vichwa chini wakipishana na gari za wakubwa zikiwa zinafanya yao. Acha kabisa.

Juzi hapa kuna uongozi wa wilaya moja hapa nchini, uliwaita wenyeviti wa serikali za mitaani na watendaji kata na kuwaamuru wayakusanye madubu yote yanayoendeshwa kinyume na utaratibu ktk maeneo yao.

Viongozi hao wa chini kabisa wa serikali wakageuka mbogo na kuanza kung'aka. Wakasema "hamjui madubu haya yanamilikiwa na nani kwa sehemu kubwa nchi hii? Ninyi mnaishi mbinguni kwamba hamuyaoni? Mbona hamuyakamati? Mnataka kutuangushia zigo sisi? Mkutano ukaishia hapo na maagizo yakaishia hapo.

Kama kwenu aliyetoboa ni mwendesha bodaboda kuwa mpole tu . Waache mafisadi watambe awamu hii.
Dr. Slaa....
 
Vigogo wako juu ya serikali awamu hii, wanatamba na kufanya wapendavyo. Na hakuna wa kufanya fyoko.

Hakuna kigogo yeyote wa serikali, hata waliotajwa na CAG kuwa wamefuja mali za umma ambaye ameburuzwa mahakamani hadi leo.

Mama anabakia kusema tu "stupid" lkn hayagusi haya majitu mazito kuliko serikali.

MaDC, maDED, maRC, maRAS, na maRPC wanainamisha vichwa chini wakipishana na gari za wakubwa zikiwa zinafanya yao. Acha kabisa.

Juzi hapa kuna uongozi wa wilaya moja hapa nchini, uliwaita wenyeviti wa serikali za mitaani na watendaji kata na kuwaamuru wayakusanye madubu yote yanayoendeshwa kinyume na utaratibu ktk maeneo yao.

Viongozi hao wa chini kabisa wa serikali wakageuka mbogo na kuanza kung'aka. Wakasema "hamjui madubu haya yanamilikiwa na nani kwa sehemu kubwa nchi hii? Ninyi mnaishi mbinguni kwamba hamuyaoni? Mbona hamuyakamati? Mnataka kutuangushia zigo sisi? Mkutano ukaishia hapo na maagizo yakaishia hapo.

Kama kwenu aliyetoboa ni mwendesha bodaboda kuwa mpole tu . Waache mafisadi watambe awamu hii.
Hakuna na hatakuja kupatikana wa kupelekwa huko kutoka miongon mwake
 
Vigogo wako juu ya serikali awamu hii, wanatamba na kufanya wapendavyo. Na hakuna wa kufanya fyoko.

Hakuna kigogo yeyote wa serikali, hata waliotajwa na CAG kuwa wamefuja mali za umma ambaye ameburuzwa mahakamani hadi leo.

Mama anabakia kusema tu "stupid" lkn hayagusi haya majitu mazito kuliko serikali.

MaDC, maDED, maRC, maRAS, na maRPC wanainamisha vichwa chini wakipishana na gari za wakubwa zikiwa zinafanya yao. Acha kabisa.

Juzi hapa kuna uongozi wa wilaya moja hapa nchini, uliwaita wenyeviti wa serikali za mitaani na watendaji kata na kuwaamuru wayakusanye madubu yote yanayoendeshwa kinyume na utaratibu ktk maeneo yao.

Viongozi hao wa chini kabisa wa serikali wakageuka mbogo na kuanza kung'aka. Wakasema "hamjui madubu haya yanamilikiwa na nani kwa sehemu kubwa nchi hii? Ninyi mnaishi mbinguni kwamba hamuyaoni? Mbona hamuyakamati? Mnataka kutuangushia zigo sisi? Mkutano ukaishia hapo na maagizo yakaishia hapo.

Kama kwenu aliyetoboa ni mwendesha bodaboda kuwa mpole tu . Waache mafisadi watambe awamu hii.
"Hizo hela mnazoiba mtakufa nazo?"

Hilo ndio kqlipio lake kubwa kabisa alilowahi kutoa
Itakusaidia Nini?
 
Mama mwenyewe anayaogopa mafisadi sasa sijui mamlaka kapewa ya kazi gani, hadi leo wizi ripoti ya CAG kaikalia tu adhabu pekee aliyowapa waliotuibia ni kuwaita 'stupid'!.
Tumepigwa na kitu kizito kama taifa!.
 
Ili Yale mafisadi papa yakamatwe na kutiwa adabu inabidi likodiwe jeshi la Wagner Pmc waje wapindue na kuongoza nchi tofauti na hapo haiwezekani kwa sababu Yale mafisadi papa yana mizizi karibu Kila sekta hapa uswahilini, hakuna sehemu utawagusa
 
Vigogo wako juu ya serikali awamu hii, wanatamba na kufanya wapendavyo. Na hakuna wa kufanya fyoko.

Hakuna kigogo yeyote wa serikali, hata waliotajwa na CAG kuwa wamefuja mali za umma ambaye ameburuzwa mahakamani hadi leo.

Mama anabakia kusema tu "stupid" lkn hayagusi haya majitu mazito kuliko serikali.

MaDC, maDED, maRC, maRAS, na maRPC wanainamisha vichwa chini wakipishana na gari za wakubwa zikiwa zinafanya yao. Acha kabisa.

Juzi hapa kuna uongozi wa wilaya moja hapa nchini, uliwaita wenyeviti wa serikali za mitaani na watendaji kata na kuwaamuru wayakusanye madubu yote yanayoendeshwa kinyume na utaratibu ktk maeneo yao.

Viongozi hao wa chini kabisa wa serikali wakageuka mbogo na kuanza kung'aka. Wakasema "hamjui madubu haya yanamilikiwa na nani kwa sehemu kubwa nchi hii? Ninyi mnaishi mbinguni kwamba hamuyaoni? Mbona hamuyakamati? Mnataka kutuangushia zigo sisi? Mkutano ukaishia hapo na maagizo yakaishia hapo.

Kama kwenu aliyetoboa ni mwendesha bodaboda kuwa mpole tu . Waache mafisadi watambe awamu hii.
Anza kwanza kututajia vigogo wa serikalini waliowahi kushtakiwa enzi za Mwendazake.
Nakumbuka enzi za JK aliwaburuza Mahakamani na kuwafunga waliokuwa mawaziri wa Fedha na Madini
 
Kigogo wa ufisadi ni Samia mwenyewe
 
Back
Top Bottom