P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Sep 8, 2023 #21 Usitarajie! haitotokea! labda awe kinyume chao!
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Sep 8, 2023 Thread starter #22 narogo said: Anza kwanza kututajia vigogo wa serikalini waliowahi kushtakiwa enzi za Mwendazake. Nakumbuka enzi za JK aliwaburuza Mahakamani na kuwafunga waliokuwa mawaziri wa Fedha na Madini Click to expand... Jiwe aliwaburuza mahakamani akina Kitilya (kamishna TRA), Masamaki (TRA), Sanare (kutoka BoT), Sioi (mtoto wa Lowasa),
narogo said: Anza kwanza kututajia vigogo wa serikalini waliowahi kushtakiwa enzi za Mwendazake. Nakumbuka enzi za JK aliwaburuza Mahakamani na kuwafunga waliokuwa mawaziri wa Fedha na Madini Click to expand... Jiwe aliwaburuza mahakamani akina Kitilya (kamishna TRA), Masamaki (TRA), Sanare (kutoka BoT), Sioi (mtoto wa Lowasa),
D Daisam JF-Expert Member Joined May 23, 2016 Posts 2,625 Reaction score 3,141 Sep 8, 2023 #23 Awamu hii ni ovyo kabisa kuwahi kutokea katika Historia ya Nchi yetu.