Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Najiuliza juu ya viongozi wanaolaumiwa kwa ukatili na mateso kwa raia. Viongozi kama Iddi Amin , Jean Bokasa na wengine wengi wanalaumiwa.
Lakini kiuhalisia Je yupo ambaye hajawahi kufanya ukatili?
Lakini kiuhalisia Je yupo ambaye hajawahi kufanya ukatili?