Ni kiongozi gani hajawahi kupiga, kutesa na kuua wapinzani wake hapa Duniani?

Ni kiongozi gani hajawahi kupiga, kutesa na kuua wapinzani wake hapa Duniani?

Najiuliza juu ya viongozi wanaolaumiwa kwa ukatili na mateso kwa raia. Viongozi kama Iddi Amin , Jean Bokasa na wengine wengi wanalaumiwa.

Lakini kiuhalisia Je yupo ambaye hajawahi kufanya ukatili?
Mkuu mbona hujataja watuhumiwa wote ili mada iwe na wigo mpana. Yaani unarukia kwa majirani unaacha kwako.
 
Marehemu wakati ni mbunge, alipata changamoto baada ya meneja wa chama Cha ushirika Biharamulo/chato kutaka kugombea, jamaa alikuwa maarufu sana, alichofanya marehemu ni kumpa sumu, Figo zikafeli, Kila jamaa akifikia tarehe ya kwenda India kwa matibabu, marehemu alikuwa anasababisha faili la jamaa kupotea pale wizara ya afya, mpaka muda wa safari inafika, jamaa anabaki bila kwenda India, jamaa aliokolewa na Mzee wa msoga baada ya Mzee wa msoga "kupelekewa" habari hizo.
Hakuna silent killer hatari nchi hii kama huyo mzee wako wa kuchekacheka hovyo
 
Marehemu wakati ni mbunge, alipata changamoto baada ya meneja wa chama Cha ushirika Biharamulo/chato kutaka kugombea, jamaa alikuwa maarufu sana, alichofanya marehemu ni kumpa sumu, Figo zikafeli, Kila jamaa akifikia tarehe ya kwenda India kwa matibabu, marehemu alikuwa anasababisha faili la jamaa kupotea pale wizara ya afya, mpaka muda wa safari inafika, jamaa anabaki bila kwenda India, jamaa aliokolewa na Mzee wa msoga baada ya Mzee wa msoga "kupelekewa" habari hizo.
Acha hii tabia ya kumchafua asiyeweza tena kujitetea.
 
Marehemu wakati ni mbunge, alipata changamoto baada ya meneja wa chama Cha ushirika Biharamulo/chato kutaka kugombea, jamaa alikuwa maarufu sana, alichofanya marehemu ni kumpa sumu, Figo zikafeli, Kila jamaa akifikia tarehe ya kwenda India kwa matibabu, marehemu alikuwa anasababisha faili la jamaa kupotea pale wizara ya afya, mpaka muda wa safari inafika, jamaa anabaki bila kwenda India, jamaa aliokolewa na Mzee wa msoga baada ya Mzee wa msoga "kupelekewa" habari hizo.
Duh aisee hii hatar sasa kumbe ndiyo maana mniombee zilikuwa nyingi sana
 
Unajua kwa nini alipita bila kupingwa mara mbili ikiwa baada ya kugaragazwa chaguzi mbili za nyuma Biharamulo?
Kuna moja nasikia gari ili ziba njia hii ili trend sana sema kipindi kile hapakuwa na mitandao u know
 
Marehemu wakati ni mbunge, alipata changamoto baada ya meneja wa chama Cha ushirika Biharamulo/chato kutaka kugombea, jamaa alikuwa maarufu sana, alichofanya marehemu ni kumpa sumu, Figo zikafeli, Kila jamaa akifikia tarehe ya kwenda India kwa matibabu, marehemu alikuwa anasababisha faili la jamaa kupotea pale wizara ya afya, mpaka muda wa safari inafika, jamaa anabaki bila kwenda India, jamaa aliokolewa na Mzee wa msoga baada ya Mzee wa msoga "kupelekewa" habari hizo.
Nipo na Dk. Ulimboka na Babu Seya. Wanakusalimia sana!
 
Back
Top Bottom