Ni kiongozi gani hajawahi kupiga, kutesa na kuua wapinzani wake hapa Duniani?

Najiuliza juu ya viongozi wanaolaumiwa kwa ukatili na mateso kwa raia. Viongozi kama Iddi Amin , Jean Bokasa na wengine wengi wanalaumiwa.

Lakini kiuhalisia Je yupo ambaye hajawahi kufanya ukatili?
Mkuu mbona hujataja watuhumiwa wote ili mada iwe na wigo mpana. Yaani unarukia kwa majirani unaacha kwako.
 
Hakuna silent killer hatari nchi hii kama huyo mzee wako wa kuchekacheka hovyo
 
Acha hii tabia ya kumchafua asiyeweza tena kujitetea.
 
Duh aisee hii hatar sasa kumbe ndiyo maana mniombee zilikuwa nyingi sana
 
Unajua kwa nini alipita bila kupingwa mara mbili ikiwa baada ya kugaragazwa chaguzi mbili za nyuma Biharamulo?
Kuna moja nasikia gari ili ziba njia hii ili trend sana sema kipindi kile hapakuwa na mitandao u know
 
Nipo na Dk. Ulimboka na Babu Seya. Wanakusalimia sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…