Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Chelsea hawamsahau, aliwafunga lakini wakajikuta wanatabasamu moyoni kwa anachokifanya gauchoHuyu gaucho kudadeki ile mechi ya pale benabau alipiga boli mpaka mashabiki wa madrid walimpigia makofi...jamaa alikuwa hatari.
Alafu sasa kabla mechi kuanza jamaa anatabasam tuu ready kutoa burudani. Acha kabisa jamaa alijua kuburudisha ulimwengu na miguu yake
Kwanza kila mmoja na position yake, na role yake uwanjani, kulinganisha wachezaji ambao wanacheza nafasi tofauti uwanjani ni kazi.Wazee Leo nimebishana na mtu umu in comments anadai ZIDANE was talented than MESSI nikiangalia hoja zake nikimuwekea statistics anakataa individuals achievements pia anazikataa nikimuuza kipaji kwako ni Nini haeleweke nikapata CONCULUSION kuwa anaongea skills ule UDAMBWI .
Sasa katika uwanja wa skills udambwi hao niliowataja Kuna kitu Gani wamemzidi NEYMAR JR?
Tuachane na kule kukalilishwa kuwa Neymar ni bishoo bishoo
Acha uongo mtu akishakataa number namuona tapeli sanaKwanza kila mmoja na position yake, na role yake uwanjani, kulinganisha wachezaji ambao wanacheza nafasi tofauti uwanjani ni kazi.
MESSI over Zidane sawa ila Neymar na Okocha bado kuwa level ya Zidane, Dinho katika prime anaweza kumzidi Zidane ila alikua na prime fupi sana kama misimu miwili MA mitatu tu wakati Zidane alitamba kama miaka 10.
Pia Zidane haitwi bora kwa Magoli na Assist kwamba ugoogle huyu kafunga mangapi basi ndio bora, Sifa kubwa ya Zidane ni kufanya anaocheza nao waone mpira ni rahisi. Kama umri mdogo nenda YouTube angalia Highlight ya Brazil na Ufaransa mwaka 2006 uone kwanini Zidane ni highly rated na anawekwa kundi Moja na kina Maradona, Pelle, Messi na Ronaldo.
Kwa hio Vidic na Rio Ferdinand hawakuwa mabeki bora sababu wana Magoli na Assist chache? Na smalling alikua bora sababu alikua anafunga zaidi yao?Acha uongo mtu akishakataa number namuona tapeli sana
Kwaiyo Kuna magoli wamefunga hayajulikani?Kwa hio Vidic na Rio Ferdinand hawakuwa mabeki bora sababu wana Magoli na Assist chache? Na smalling alikua bora sababu alikua anafunga zaidi yao?
Pia data kama stats zimeanza hivi karibuni, hakuna Data za Kumjudge Zidane ama Ronaldinho, hazikuwepo wakati huo. Kampuni nyingi kama Opta zimeanza 2004 kama sijakosea, kama hujawaangalia wakati wanacheza basi huna lolote unalojua kama una subiria kugoogle.
Data sio Magoli tu,Kwaiyo Kuna magoli wamefunga hayajulikani?
Umemaliza kila kituMpira ni mchezo wa timu,makombe ya barcelona au argentina huwezi mbebesha messi pekee yake,kwa skills za mpira messi hasogei kwa gaucho,labda kama hukumshuhudia gaucho
Gatusso alipigwa step over Moja matata 🤣🤣🤣🤣Hata Chelsea hawamsahau, aliwafunga lakini wakajikuta wanatabasamu moyoni kwa anachokifanya gaucho
Mtu kama hakumwona gaucho usibishane naye,alimkatia kiuno peter check,akabaki anashangaa kitu Iko nyavuni,Hata Chelsea hawamsahau, aliwafunga lakini wakajikuta wanatabasamu moyoni kwa anachokifanya gaucho