Hata Messi maestro lapulga anamkubali Neymar kupita maelezo ndomaana Neymar baada ya kutimka pale new camp lapulga alifadhaika sana.
Note; wakitaka kujua kuwa Neymar mtu na nusu baada ya kuondoka pale Barca ,,akaletwa Coutinho akafeli haikutosha wakamchukua na dembele Naye pia akafeli kuvaa viatu vya Neymar.
Kumbuka Coutinho na dembele wote walitoka kwenye team zao wakiwa wamoto.
kumbuka ; Neymar ametoka katikati ya vita ya Nike na Adidas ambao walikuwa wanatangaziwa biashara zao na Messi na cr7. Hapo Kila kampuni ilitaka mchezaji aliyechini yao kushinda balloon d' or.
nb: KAMA HUNA D' HATA YA SOMO LA DINI HUWEZI KUELEWA.