Hao hawajamshuhudia gaucho jaman wamuulize David seven world cup dakika za jiooooon alipopiga direct free kick huyo ndo Gaucho uwanya ulikua unalipuka kila akishika mpira ety mess kijeba chabchenga moja goʻli hawez mfikia uchoTatizo umekuja na majibu Yako, ila Gaucho ni Nabii wa Ufundi wote wa
mpira hajawahi tokea mwingine.