Ni kipaji udambwi upi wamefanya Gaucho, Zidane na Okocha ambacho Neymar Jr hajakifanya katika mpira?

Ni kipaji udambwi upi wamefanya Gaucho, Zidane na Okocha ambacho Neymar Jr hajakifanya katika mpira?

Tatizo umekuja na majibu Yako, ila Gaucho ni Nabii wa Ufundi wote wa
mpira hajawahi tokea mwingine.
Hao hawajamshuhudia gaucho jaman wamuulize David seven world cup dakika za jiooooon alipopiga direct free kick huyo ndo Gaucho uwanya ulikua unalipuka kila akishika mpira ety mess kijeba chabchenga moja goʻli hawez mfikia ucho
 
Gaucho mpira uliumbwa kwa ajili yake na mpka Leo hajazaliwa mwngne anaebisha tafuta mechi ya Chelsea vs Barcelona pale darajan na mechi ya ac Milan vs Barcelona pale sanciro
 
Mpira ni mchezo wa team bt rate ya mchango wa kila mchezaji hutofautiana ndo maana kuna wachezaji wakiwa hawapo direct athari zao huonekana.

Mchango wa messi ktk makombe ya barca na argentina ni wa pekee na huenda bila yeye kuna baadhi ya makombe yasingepatikana.
Si kweli
 
Wazee Leo nimebishana na mtu umu in comments anadai ZIDANE was talented than MESSI nikiangalia hoja zake nikimuwekea statistics anakataa individuals achievements pia anazikataa nikimuuza kipaji kwako ni Nini haeleweke nikapata CONCULUSION kuwa anaongea skills ule UDAMBWI .

Sasa katika uwanja wa skills udambwi hao niliowataja Kuna kitu Gani wamemzidi NEYMAR JR?

Tuachane na kule kukalilishwa kuwa Neymar ni bishoo bishoo
Neymar utoto mwingi
 
Neymar ni mtu na nusu,
Neymar ni mchezaji aliyekamilika Kila eneo anakupa magoli,burudani, skills,
n.b;I) Wachambuzi wa kibongobongo wanatukaririsha kuwa Neymar ni bishoo.
II)UKITAKA KUJUA NEYMAR NI FUNDI KULIKO GAUCHO,ANGALIA NUMBER ZAO.
 
Huyu gaucho kudadeki ile mechi ya pale benabau alipiga boli mpaka mashabiki wa madrid walimpigia makofi...jamaa alikuwa hatari.
Alafu sasa kabla mechi kuanza jamaa anatabasam tuu ready kutoa burudani. Acha kabisa jamaa alijua kuburudisha ulimwengu na miguu yake
Makofi kapigiwa Hadi inesta bernabeu
 
Tatizo umekuja na majibu Yako, ila Gaucho ni Nabii wa Ufundi wote wa
mpira hajawahi tokea mwingine.
Huo ni mtazamu tu mkuu ila sio utafuti Tena zaid nabii wako kazidiwa na Neymar mbali mno goals na assist
 
Mpira ni mchezo wa team bt rate ya mchango wa kila mchezaji hutofautiana ndo maana kuna wachezaji wakiwa hawapo direct athari zao huonekana.

Mchango wa messi ktk makombe ya barca na argentina ni wa pekee na huenda bila yeye kuna baadhi ya makombe yasingepatikana.
Ukweli mtupu
 
Hao hawajamshuhudia gaucho jaman wamuulize David seven world cup dakika za jiooooon alipopiga direct free kick huyo ndo Gaucho uwanya ulikua unalipuka kila akishika mpira ety mess kijeba chabchenga moja goʻli hawez mfikia ucho
Sasa iyo freeckick direct Messi kafunga ngapi?

Yaani hata gaucho mwenyewe anakili Messi yupo juu yake wewe unabisha duh
 
Gaucho mpira uliumbwa kwa ajili yake na mpka Leo hajazaliwa mwngne anaebisha tafuta mechi ya Chelsea vs Barcelona pale darajan na mechi ya ac Milan vs Barcelona pale sanciro
Kwa mechi mbili ndiyo Mpira uumbwe kwajiri yake mbona mnachekesha wazee
 
Nifafanue nini!?..yaani mtoe messi barcelona wanabaki xavi,iniesta,villa, ibrahimovic, Alves,busquet nk,wanakosa kombe hao!?
Khe angalia alikuwa anamaliza na assist ngapi na goals ngapi
 
Back
Top Bottom