Ni kipaji udambwi upi wamefanya Gaucho, Zidane na Okocha ambacho Neymar Jr hajakifanya katika mpira?

Ni kipaji udambwi upi wamefanya Gaucho, Zidane na Okocha ambacho Neymar Jr hajakifanya katika mpira?

football ya zaman ina utofaut kidg na ya sasa iv,kuanzia wachezaji wa zaman kulikua na viungo wakabaji na mabeki hodari na katili sana lkn pia enzi za kina gaucho kulikua na mafundi wengi sana ambao hawakuwa wabinafsi ndo maana wengi waligawana tuzo mara moja moja au mtu kazid sana mbili..

waliokuja sasa wanaangalia mafanikio yao sana hasa kibiashara,na ushindan wa mess na ronaldo tu umefanya hao mabwana kuwa na takwim za kuwazid wengne..japo mafanikio yao binafsi yamechangia sana timu zao kupata mafanikio pia
 
football ya zaman ina utofaut kidg na ya sasa iv,kuanzia wachezaji wa zaman kulikua na viungo wakabaji na mabeki hodari na katili sana lkn pia enzi za kina gaucho kulikua na mafundi wengi sana ambao hawakuwa wabinafsi ndo maana wengi waligawana tuzo mara moja moja au mtu kazid sana mbili..

waliokuja sasa wanaangalia mafanikio yao sana hasa kibiashara,na ushindan wa mess na ronaldo tu umefanya hao mabwana kuwa na takwim za kuwazid wengne..japo mafanikio yao binafsi yamechangia sana timu zao kupata mafanikio pia
Umeongea kiuanamichezo zaidi.
 
Kuna jamaa yangu mmoja anae houseboy wa mwaka 2006(kazaliwa)mwenyeji wa Iringa,basi ndio kwanza kamiliki smart phone,basi kila kitu kwake ni kipya kuanzia nyimbo mpaka wachezaji,Unaweza kukutana nae anakuuliza bro unamjua Pdidy wewe
 
Bibi yangu aliwahi kuniuliza yule anaecheza mpira muda wote anacheka huko Afrika kusini hayupo Timu ya Taifa daah nikagundua kama Bibi ana uwezo wa kukagua yupi bora mimi nani nimbishie aisee..
 
Wazee Leo nimebishana na mtu umu in comments anadai ZIDANE was talented than MESSI nikiangalia hoja zake nikimuwekea statistics anakataa individuals achievements pia anazikataa nikimuuza kipaji kwako ni Nini haeleweke nikapata CONCULUSION kuwa anaongea skills ule UDAMBWI .

Sasa katika uwanja wa skills udambwi hao niliowataja Kuna kitu Gani wamemzidi NEYMAR JR?

Tuachane na kule kukalilishwa kuwa Neymar ni bishoo bishoo
Gaucho, Robinho na Okocha hao watu walikua ni extraordinary.. sio rahisi kwa binadamu wa kawaida kufanya waliyokua wanayafanya...
Neymar alijitahidi kwa uwezo wake lakini hata kwa zidane tu hafiki
 
The reason dinho, neymar, okocha hawana peak longevity Kwenye game ni style of Play, mbwebwe. Ndicho anachofanya vini sasa.

Mpira kwenye shingo, tumboni, tako, no look pass, etc

Hiyo entertainment sio skill.

Pamoja na hizo mbwembwe how many dribles made?, how many dribble succeeded to goal/assist? playmaking(accurate pass completed)?, Big chances created, freekicks? Assists? Game Longevity ? Peak duration?

Hizo ndizo football metrics sio entertainment za kuchezea mpira tako ukifocus huko kila mtu anaweza ila hailipi.

Tricks vs skills vs talent

You mix things ambazo hazikai pamoja.

Kumpita opponent one can dribble, dinho anarusha mpira juu front flipping, neymar the same is that a skill au trick?

Sawa talk about, efficiency, consistency? Impact?
Robinho huyu jamaa sijui kwa nini haimbwi kama kina dilima zidane na kina gaucho. Huyu mbwa nana skills flan huvi usipokuwa makini unaweza mzaba kofi.
Ana hivyo vitu ulivyovitaja hapo.
 
Ufundi unaupimaje kipi gaucho kafanya Neymar hajafanya?
Na wewe unataka kuleta ubishi kama uyo jamaa yako. Suala la ufundi wa ball uyo Gaucho awekwe pembeni walinganishwe hao wengine
 
Gaucho alikua nabii wa mwisho wa mpira. Alikua na vitu vyote, nguvu, skills na passion ya mpira. Mwenyewe anasema lengo la mpira ni watazamaji wafurahie kuangalia sio wingi wa magoli. Ni mchezaji ambae alikua anashabikiwa hata na timu pinzani.
Neymar hajafurahisha?
 
Anamfikia Ronaldo hizo takwimu?!..kama hapana,Ronaldo ni bora kuliko wote?.. football should be an art bro,mpira ni mashariki,wafurahi, skills, mourinho anakwambia messi hufanya kitu kilekile kila siku,yaani chenga ni zikezile za koni kila siku, unadhani haaland akicheza hadi umri wa messi atafunga magoli mangapi?.. haaland ni bora kuliko messi?..nyinyi mliokuja na mambo ya takwimu man shida sana
Kupiga zanzu sio kitu kile kile mzee?

Mourinho una muona yukogo timamu?
 
Nimekuuliza hiyo orodha nikiyoweka wanakosa kombe?.. ibrahimovic alipoenda barce akawa central striker,messi wako akanuna, akamwambia guardioka kama sichezi mfungaji naondoka,guardiola akaachana na ibrahimovic,yaani wakati cadabra yupo pale,no messi no problems
Zlatan kaipa Nini Barca?

Uliyasikia ayo maneno akiyasema Messi?
 
Sio kweli huko ni kukariri tu na mapenz binafs ila kiuhalisia mambo yote anayoyafanya gaucho ktk skills Neymar anaweza kufanya na zaidi, ukiongelea YouTube neymar Ana skills kuzidi gaucho. Naongea hapa nikiwa nimewatazama ns bila ushabiki.
Neymar tunaaminishwa nj Bishoo Bishoo tu na kuukataa ukweli kwenye udambwi udambwi hakuna anachozidiwa na gaucho
Watakubishia mno ila umeongea ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom