Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kumbe unajua unachotaka!Hautakiwi kuishi kwa kujaribu kufikia hapo umeishapoteza kigezo muhimu[emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unajua unachotaka!Hautakiwi kuishi kwa kujaribu kufikia hapo umeishapoteza kigezo muhimu[emoji125]
Pesa pesa pesa pesahawa viumbe hawana formula hivi madem hupagawa na nini haswa kwa mwanaume
mgegedo mkubwa?
handsome?
six pack?
pesa?
akili?
unene?
kitambi?
urefu?
utundu?
ubahili?
starehe?
usuper star? au maana hawa viumbe hawaelewi kiukweli wapo kundi gani ebu tupeane uzoefu wa hawa viumbe maana wanaume wengi wanasema ata kama una ela alafu unasimamia show vizuri ndiyo wananasa zaidi.... ni kweli wanachanganyikiwa na pulling ya kusuguliwa?
zimefanyaje sasa ?hahahahahhaha mbavu zangu mie
Hata hiyo namba moja we hauipendi..Kitambi na mi kimeanza kuja..Hapo ondoa ubahili na kitambi.
Na huu ndo ukweli halisi, true love mengine yatafuata.Ngoja tu nikwambie ni asilimia kidgo tu ya wanawake wanapenda hizo mambo za puli sijui/sex
Wengi wao wanapenda true love,yaani umpende,umjali,umthamini,umpe nafasi ya kusikilizwa,ukikosea umuombe msamaha na mengine mengi ambayo yanampendeza
NB😛esa inaongeza raha ya mapenzi kwahy usijidanganye ukampetipeti bila hata kumpeleka dinner/usimpe hata hela ya shopping ukategemea akupende na njaa zako sahau
Hahahaha kumbe nacho ni kigezo eeeh?Kumbe unajua unachotaka!
Teh teh..Hapo le super mutindiz wote watakupendaAct as a king
of all bongo social
network with three degree
Mie hata thijui!Hahahaha kumbe nacho ni kigezo eeeh?
zinaumia bhana nitashindwa kufanya mtongozo wangu jioni. najipanga hivyooozimefanyaje sasa ?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] nimecheka sanaaa.kaka we mfanyie ivyo vyoote unavyosema but ushindwe kumfikisha kileleni then apate wa kumsugua vizuri, hakika nakwambia utashinda humu JF ukiomba ushauri miaka 8
Hahah...short and clear!Hapo ondoa ubahili na kitambi.
Mkwe upo? Umeadimika kweli!Hahah...short and clear!
Thubutuuuu!Teh teh..Hapo le super mutindiz wote watakupenda
Nakuangalia tu unavyokazana nacho!Hata hiyo namba moja we hauipendi..Kitambi na mi kimeanza kuja..
Hahah...halafu unawamaliza na zile selfieTeh teh..Hapo le super mutindiz wote watakupenda
Hahaaaa!! Yaani nimecheka kwa nguvu!kidogo siku hizi unakua sio mtu hovyo hovyo
nipo mama-nimekumisimoMkwe upo? Umeadimika kweli!