Je Deep State wetu ni Wazaledo halisi au wapigaji?Habari wana JF ,Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji ,Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi ?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa ?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba .
Elimu ,Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki .
Elimu inahitajika sana ,watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko .
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili .Hakuna kitu kibaya kama machawa .
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu ,akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu .
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka .
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku justify kitacho kwenda kutokea .watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo ,watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda .
Mm ni mwanaccm ninayekukatalia hoja yako waulize waokuwa ktk sensa ndo utayagundua yaliyojificha.Ccm bado inao mtaji mkubwa mnooo wa wananchi kwa upande wa bara na ndio maana kuna baadhi ya majimbo ubunge ccm unachukua bila ya figisu zozote ila kwa upande wa znz ccm hawana mtaji wa wananchi wa kuweza kupitisha ata diwan na ccm itaendelea kukaa madarakan kwa upande wa bara kwaa mda mrefu sana
Umesema haihitaji kuingia barabarani na kuhatarisha usalama hapo CCM itaendelea kubaki madarakani bila nguvu ya kuingia barabarani...tutakua tunajidanganya tu
Kwa akili za baadhi ya watu unaona kabisa ilivyo ngumu hawa jamaa kutoka madarakani, nchi yenye watu zaidi ya 60 ml bado wanauliza wakitoka akae nani? sijui tulipigwa na nini mpaka tunaona bora kuyazoea matatizo, kumtetea mtanzania ni ngumu mno bora kuwaacha tuu hivyo walivyo
Mimi sina shida na CCM kuwatoa madarakani je chama kitaingia ambacho kina kwaajili ya kusimamia maslahi ya wananchi, kina demokrasia nzuri, chenye viongozi wenye vision na pia chenye viongozi wenye maadili
Inawezekana siku wananchi wakijitambua na kuelewa siasa wataitoa kwa kura, CCM wakitumia Mbinu kuiba kura basi wannchi watatumia nguvu ya umma. Lakini kipindi hicho Unyererelism utakuwa haupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF ,Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji ,Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi ?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa ?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba .
Elimu ,Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki .
Elimu inahitajika sana ,watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko .
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili .Hakuna kitu kibaya kama machawa .
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu ,akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu .
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka .
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku justify kitacho kwenda kutokea .watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo ,watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda .
hata tukibadili katiba ccm wakigoma kuifuata ?Mimi sina shida na CCM kuwatoa madarakani je chama kitaingia ambacho kina kwaajili ya kusimamia maslahi ya wananchi, kina demokrasia nzuri, chenye viongozi wenye vision na pia chenye viongozi wenye maadili.
HahahahaaVile CCM huwa wanajibu wakiulizwa ni kwa nini nchi hii ni masikini ndani ya utawala wao ndani ya miaka 60 tokea uhuru
View attachment 2353313
HakikaKwa akili za baadhi ya watu unaona kabisa ilivyo ngumu hawa jamaa kutoka madarakani, nchi yenye watu zaidi ya 60 ml bado wanauliza wakitoka akae nani? sijui tulipigwa na nini mpaka tunaona bora kuyazoea matatizo, kumtetea mtanzania ni ngumu mno bora kuwaacha tuu hivyo walivyo.
Katiba mpya hasa ile ya Rasimu ya WARIOBA ikipatikana yaani ccm itafia usingizini....Habari wana JF
Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji. Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba.
Elimu, Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki.
Elimu inahitajika sana, watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko.
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili. Hakuna kitu kibaya kama machawa.
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu, akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu.
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka.
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku-justify kitacho kwenda kutokea. Watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo, watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda.
Sawa, wewe senge basiJinga hili
Ianze kwa kudai Tanganyika yenu ni bora zaidi ya vyoteHabari wana JF
Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji. Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba.
Elimu, Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki.
Elimu inahitajika sana, watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko.
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili. Hakuna kitu kibaya kama machawa.
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu, akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu.
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka.
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku-justify kitacho kwenda kutokea. Watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo, watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda.