TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Tuwe wakweli hapa, hata ikichukua CDM, TLP au CUF kwa katiba hii kamwe hawawezi na hawatakuja kubadirisha kuoata katiba mpya why?.
Katiba hii ni nzuri nyie watanzania yaani ukiwa nje ya huwezi kujua uzuri wake na ndiyo maana wanaCCM wanaikodolea macho na kutoa machozi ya uzuni kwamba ibadilishwe kweli?.
Wakirudi huku wanasikilizia ile tunaita mwangwi wa wananchi!.
Katiba hii ni nzuri nyie watanzania yaani ukiwa nje ya huwezi kujua uzuri wake na ndiyo maana wanaCCM wanaikodolea macho na kutoa machozi ya uzuni kwamba ibadilishwe kweli?.
Wakirudi huku wanasikilizia ile tunaita mwangwi wa wananchi!.