Mbona hata sisi tunakuona wewe unayeiponda Serikali na CCM kama chawa wa upinzani tu!!??Habari wana JF
Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji. Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba.
Elimu, Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki.
Elimu inahitajika sana, watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko.
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili. Hakuna kitu kibaya kama machawa.
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu, akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu.
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka.
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku-justify kitacho kwenda kutokea. Watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo, watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda.
KabisaUmesema haihitaji kuingia barabarani na kuhatarisha usalama hapo CCM itaendelea kubaki madarakani bila nguvu ya kuingia barabarani...tutakua tunajidanganya tu
Habari wana JF
Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji. Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba.
Elimu, Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki.
Elimu inahitajika sana, watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko.
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili. Hakuna kitu kibaya kama machawa.
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu, akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu.
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka.
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku-justify kitacho kwenda kutokea. Watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo, watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda.
IQ hafifu,lakini angeulizwa mambo ya Yanga Simba Vigodoro ungeshangaa.😁Vile CCM huwa wanajibu wakiulizwa ni kwa nini nchi hii ni masikini ndani ya utawala wao ndani ya miaka 60 tokea uhuru
View attachment 2353313
Ccm ni janga la kitaifaHabari wana JF
Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji. Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba.
Elimu, Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki.
Elimu inahitajika sana, watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko.
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili. Hakuna kitu kibaya kama machawa.
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu, akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu.
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka.
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku-justify kitacho kwenda kutokea. Watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo, watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda.
🤣🤣Nafikiri cha kwanza tungeanza na kuwaondoa watanzania.
Huu ni ukweli wa wazi. NAKED TruthHakuna Mwananchi anayeielewa CCM kama huamini, itisha mkutano wa hadhara, usitumie magari kusomba Watu, usiwape bodaboda Petrol, Wala usihonge pesa Wala usitumie wasanii then tuone mkutano wa Nani utafanikiwa.
🤣🤣🤣🤣Wananchi walishaikataa CCM, wanaotuangusha ni Polisi, TISS na Jeshi kwa upande wa Zanzibar.... out of that, CCM Haina kitu
Duh,Habari wana JF
Nimewaza sana nikagundua CCM kuwepo madarakani ni tatizo kubwa kuliko hata hii katika tunayo hitaji. Hivi kwa hii CCM tunaweza pata Tume huru ya Uchaguzi?
Sasa tunayo katiba lakini tumeshuhudia mara kadhaa ikivunjwa na Kwa mizizi kiliyo nayo hiki Chama mnadhani ni rahisi Katiba ikafuatwa?
Mi nadhani CCM ni Tatizo katika hii Nchi zaidi ya Katiba.
Elimu, Elimu na Uzalendo ndio nguzo pekee za kuikomboa hii Nchi kutoka Mikononi mwa hiki.
Elimu inahitajika sana, watu wengi wanaishi maisha magumu ila hawajui ni kwa namna gani Serikali inaweza saidia maisha yao kuwa bora hivyo hawaoni haja ya Mabadiliko.
Uzalendo ni kitu kikubwa sana watu wengi hawana uzalendo wako radhi washinde mitandaoni au majukwaani kusifia serikali hata ambapo haistahili. Hakuna kitu kibaya kama machawa.
Kama tukikataa CCM kwa umoja wetu, akili zetu na nguvu zetu hakika itatoka Madarakani na Katiba Mpya itafuatu.
Haihitaji Kuingia barabarani na kuhatarisha Amani ili kuitoa ila kama kila mtanzania kwa akili na uzalendo wake atamua kuitoa itatoka.
CCM husafirisha watu kuja mikutanoni na mambo mengine ili ku-justify kitacho kwenda kutokea. Watu wakiwa na elimu hawawezi kutumika kama sehemu ya mchezo, watujua ni mkusanyiko upi wa kwenda na kutokwenda.
Unaijua vizuri tume ya uchaguzi mzeeCCM kuondoka madarakani inaondoka.. Tena kwa urahisi sana.. Kuiondoa CCM madarakani iwe ndio kipaumbele cha kwanza.. Katiba itafuata.. Tunashindwa kuiondoa CCM madarakani kwa sababu wengi wetu hatupigi kura.. Hii nchi sio ya kutawaliwa na Rais aliyeshinda kwa kura milioni sita.. Ukifuatilia idadi ya wapiga kura miaka yote, ni chini ya theluthi mbili.. Wapiga kura wengine wapo wapi..?? Siku itakapofika tuhamasishane kwa umoja wetu twende kwenye sanduku la kura tukaikatae CCM .. Inawezekana.. Mara zote wakati sisi tunasusia uchaguzi na kuwahamasisha wanachama wetu wasishiriki uchaguzi wenzetu huwa wanawahamasisha wanachama wao kupiga kura.. Na hakuna wanachama waaminifu kama wanachama wa CCM .. Tuhamasishane tukapige kura kuikataa CCM.. CCM kuondoka madarakani kwa sanduku la kura inawezekana..
hahahaa huko mbali sanaIanze kwa kudai Tanganyika yenu ni bora zaidi ya vyote