Huyu ni mwanaume au mwanamke ?Kila Kona nchini watu wamekuwa wakilalamikia Visa vinavyofanywa na Dada wa Kazi.
Visa hivyo hufanyiwa Watoto, na hata Ma Boss wenyewe waliowaajiri.
Wengine hufikia hatua ya kueleza kuwa pengine malezi yanasababisha visa hivyo kutokea.
Mfano wa Kisa kimoja huu hapa chini
kama ni mdada ni sawa tu kwa ujasiri wa beki 3 aliouonyesha(kila uvumilivu una kikomo),wadada wanakera sana..Mdada
wamepandishwa cheo tena,aisee!! Kumbe hapo kichapo ni lazimaSiyo madada wa kazi ni maafisa ulezi,hebu waheshimuni la sivyo mtadundwa sana
Duuu!Alikuwa muda wa kazi anakaribisha bwanaake ni story na kupenzika hata wateja wakifika hawahudumiwi kwa wakati, anajivutavuta hadi wanaende kwengine. Nikapewa malalamiko nikafuatilia na kuthibitisha hilo. Nikamkanya muda wa kazi ni kazi, huyo jamaa yake akija aje kama mteja na siyo kuchombezana pale. Hakusikia baadae nikamtimua. Akanisemea kwa wife eti nilimtaka akatakaa ndomaana nimemfukuza
Ulianzaje kumuomba akupe penziAlikuwa anatingisha wowowo kila akikatiza nilipo...weee nilimla yule binti, wife alipohisi kitu alimrudisha kwao
Kwani mlikua mnajipumzisha kwenye kitanda kimoja?Alikuwa anajikojolea halafu ananisingizia mimi.