Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅-Alikuwa na tako hilo kinoma
-Akawa ile noma anaonekana wa moto sana
-Akaombwa mechi akagoma kutoa
-Akafukuzwa arudi kwao akakataa
-Akapelekwa kwa mwenyekiti akasema hawezi fukuzwa kama mbwa,huku kila usiku anapigwa pipe,basi ahesabiwe na kutoa hiyo huduma.
Mengine wahusika watakuja wenyewe.
Tangu lini we Pisi zuri ulimpenda Me, si ulishasema "no money no honey" au ushasahau?Huu ni umbea ndo ukaona uscreenshot na comment yangu, sikupendi
Limelipenda hili jina.Kumbe jina limebadilika ni afisa malezi
Basi house girl,kwani dada wa kazi ina shida gani?Siyo madada wa kazi ni maafisa ulezi,hebu waheshimuni la sivyo mtadundwa sana
Fafanua kidogo we mtotoAlinipa sumu kwenye uji,mchicha,akaja kushikwa alikuwa aniue nilikuwa na 2years mdogoo
Kwenye chumba chake kumejaa magazeti na vitabu na ma past paper.. hakuna hata pa kupita bado yupo akimaliza kazi zake anaingia chimbo kupiga msuli...
ndio mkuuKwani mlikua mnajipumzisha kwenye kitanda kimoja?