Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ilikuwa 2011 hebu kaa kwa kutuliaKumbe unakuwaga mpole ukikutana watu wa hivo ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa 2011 hebu kaa kwa kutuliaKumbe unakuwaga mpole ukikutana watu wa hivo ...
Samahani ww ni mhaya?Ilikuwa 2011 hebu kaa kwa kutulia
HapanaSamahani ww ni mhaya?
ila Kanda maalumu hioHapana
Hao ni majirani zangu wa karibu,ila Kanda maalumu hio
sio wa karibu sema wa faida na maana kabisaHao ni majirani zangu wa karibu,
Yule alizidi,yaani alikuwa malaya aliyechangamka hata kama ni nyege zilipitilizaWanapenda sana kuongea na Simu
Jamani usingerudi ingekuaje hapo? 😭😭😭watoto Mungu awalindekuna siku nilirudi home mara moja kuchukua pesa niliyokuwa nimeisahau ili nirudi kazini chap. Ilikuwa kama saa 5 kasoro hivi ile kufika nyumbani nikakuta watoto wangu wawili mmoja ana miezi 8 mwingine miaka 2 wapo wenyewe dada hayupo nikajua kaenda dukani labda. Nikakaa na watoto pale walikuwa hata hawajala wala hawajaogeshwa mana walikuwa bado na nguo za kulalia. Baada ya nusu saa kupita nikampigia wife kumuuliza huyu house girl vipi mbona hayupo na yeye wife alikuwa kazini, akashangaa kuwa hajamtuma popote. Nikwauliza majirani wakasema walimuona katoka asb akiwa na begi.
Kuingia chumbani nikakuta kaiba nguo na viatu vya wife na makorokocho mengine mpaka begi alilochukua ni begi letu na pesa pia nilizokuwa nimezifuata nazo nikakuta kaziiba. Hapo alikuwa ana siku 5 tu tangu aje.
Tulijifunza kutokuacha mlango wa chumbani kwetu wazi na kwa sababu tulikuwa na mtoto mdogo basi kila asb tulikuwa tunamuhamisha mtoto kwenye chumba kingine na kufunga mlango wa chumbani.. Mwanzo tulikuwa tunamuacha mtoto kalala na tulikuwa tunamwambia dada kuwa mtoto akiamka amchukue kisha afunge mlango ndio akapata chansi ya kutuibia.
😅😅😅lakini ulikua unatamani?Moja ya sababu watu wanapunguza kutafuta watoto ni changamoto ya malezi. Wasaidizi wa nyumbani wamekuwa changamoto sana.
Nakumbuka wife alisafiri two weeks kaniachia msingidani, katoto keupe kazuri, kafupi...ni kipindi kigumu sana nilipitia.
Alitumia mbinu zote nimkule ila kumbe nilikuwa mvumilivu sana...!
Acha kabisa mkuu, niliishinda tamaa. Siwezi kulala na msaidizi wetu, nilishajiwekea hivyo.😅😅😅lakini ulikua unatamani?
Ungemuita kitombise aje kukusaidiaAlikuwa na wowowo kubwa mno la kinyakyusa.
Nilishangaa mno kuona AFISA ULEZI anamiliki MKUNDUH WA HAJA wakati mimi MAMA MJENGO nina vitako vidogo kama HOHO.
Nilimfukuza huku namsimanga sana.
Cc: Poor Brainfundi bishoo Mbaga Jr Half american min -me mimiamadiwenani The Icebreaker
Wewe kama haunionyeshi kile kitu sifafanuiiFafanua kidogo we mtoto