Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Simaanishi hivyo! Kitanda cha chuma ukikitoa juani wanaungua balaa cha mbao kuwadhibiti ni issue hadi furmigation ya kufa mtu!Nawajua ila sio sababu ya kitanda...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simaanishi hivyo! Kitanda cha chuma ukikitoa juani wanaungua balaa cha mbao kuwadhibiti ni issue hadi furmigation ya kufa mtu!Nawajua ila sio sababu ya kitanda...
Au brown fulani hivi ni unyama mnooooMbao ni unyama sana.....upate white yake saasa
Kuna mbao ambayo haipekechwi hovyo wala haibunguliwi ni ngumu na nzito ila tu thamani yake sio kubwa sana ni mkatusi, unaweza kudumu nacho kwa muda sana labda kiishe fashion tuAsante mkuu barikiwa na wewe pia ila Mimi sio mzoefu na aina ya mbao ngumu maana Kuna za kupekechwa na bajeti yangu ni lk 3
Sijajua ila huku mbao ghaliHuku kijijini kwetu mbao ni nyingi mno.Vya vyuma ndiyo bei ghali.
Sanaa...Au brown fulani hivi ni unyama mnoooo
Cha kamba? Duh! Atakuwa anadumbukia katikati kama yumo ndani ya kalavati. Halafu, siku hizi hutumika kuoshea maiti. Atakuwa haishiwi ndoto anafanya kazi mochwari.😂Chukua cha kamba mzee hutojuta.
Vile vya chuma vya spring vimepotea sokoni.
Hapo chuma haiiingii ng'ooSanaa...
Kitanda kinaishaje fashion mkuu! Kiko chumbani kwako nani anachunguza! Mimi nina kitanda cha mbao ya mninga mwaka wa 20! Nabadilisha chaga tuu.Kuna mbao ambayo haipekechwi hovyo wala haibunguliwi ni ngumu na nzito ila tu thamani yake sio kubwa sana ni mkatusi, unaweza kudumu nacho kwa muda sana labda kiishe fashion tu
Mbona kama bei kubwa sana mkuu, hiki hapa ni mjinga nimekitengeneza kwa 350,00 hapa Dar, sasa huko si ingeweza kuwa bei chini kidogo walao 300,000Ungekua na pesa ningekuunganisha upate kitanda og na kipya cha mninga unachongewa kutoka Lindi kinasafirishwa unakipokea kwenye bus kwa 500,000
Hakiishi fashion ila kuna miundo mipya itatokea, utaona mbona kama cha kwangu kimepitwa sana.Kitanda kinaishaje fashion mkuu!kiko chumbani kwako nani snachunguza!mimi nina kitanda cha mbao ya mningamwaka wa 20! Nabadilisha chaga tuu.
Kizuri mkuu! Cha chuma sehemu za baridi ni sawa na kununua fridge usiku?Mbona kama bei kubwa sana mkuu, hiki hapa ni mjinga nimekitengeneza kwa 350,00 hapa dar, sasa huko si ingeweza kuwa bei chini kido walao 300,000View attachment 2761286
Hakiishi fashion ila kuna miundo mipya itatokea, utaona mbona kama cha kwangu kimepitwa sana.
Kuna watu wanasemaga wanaenda kulala kumbe wanajidanganya huwa wanajinyoosha tu😂kwenye godoro za ulimi
Hii imetengenezwa na fundi maiko au mchina!nzuriiii
Kuna watu wanalala na kuna tunao jilaza 😂kuna watu wanasmaga wana enda kulala kumbe wanajidanganya huwa wanajinyoosha tu😂kwenyw godoro za ulimi
Wataalam wako wazuri tu tembelea kwenye furnitureH
Hii imetengenezwa na fundi maiko au mchina!nzuriiii
Una uhakika ni mninga mninga unaujua wewe mafundi watakuambia ni mningaMbona kama bei kubwa sana mkuu, hiki hapa ni mjinga nimekitengeneza kwa 350,00 hapa dar, sasa huko si ingeweza kuwa bei chini kido walao 300,000View attachment 2761286
Sawa mkuu uko vizuri sana kama wewe ndo umetengeneza au huyo fundi wako!Wataalam wako wazuri tu tembelea kwenye furniture